Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyoso hata kwenye mzigo watetemeka? that is fun
una njaa sasa wewe, wakupatie uji ama mtori kwanza kama supu hakuna utakaa sawa tu,Nimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
Naona CCM mnashauriana vema. Tunataka muwe na Afyauna njaa sasa wewe, wakupatie uji ama mtori kwanza kama supu hakuna utakaa sawa tu 🐒
Kumbe maombi hayafanyi kazi mkuu. Mana nilikuwa nimefikilia niende kwa mwamposa keshoPole mkuu angalau umeyafanahamu madhara yake kwa kuyaona mwenyewe. Kama unataka kutoka huko basi ACHA POMBE. Hauhitaji mwanasaikolojia wala maombi. Amua mwenyewe acha
Pole sana mkuu,Nimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
Mbona mm hyo hali hainitokeiuna njaa sasa wewe, wakupatie uji ama mtori kwanza kama supu hakuna utakaa sawa tu,
uwe una kula vizuri,sawa?🐒
Ana vibrate 😄Pole sana mkuu,
Hii kitu ni hatari sana, jamaa yangu ndio ameshakuwa zaidi yako...kila kitu kikiwa kwa kiasi maisha yanakuwa poa sana.
Kama ushatambua shida ilipo huko unapotaka kwenda siko, acha pombe kali hivyo visungura sio vitu vya kunywa.Kumbe maombi hayafanyi kazi mkuu. Mana nilikuwa nimefikilia niende kwa mwamposa kesho