Raphael Mtui
Member
- Nov 26, 2024
- 78
- 204
Kilichonishangaza zaidi ni kiwango cha kipato alichokuwa anapata kupitia biashara hiyo ambayo ilikuwa inasimamiwa na kaka yake.
Yaani, alikuwa anapata dola bilioni kumi kwa mwaka, wakati pato la taifa lilikuwa chini ya dola bilioni tisa!!!
Kama ni kweli, hizi dhambi zinakuwaje?
Yaani, familia inaingiza hela kuliko nchi tena kwa namna hiyo?
Tumtafuteni Mungu aisee!!
Tuitazame hii video.
View: https://youtu.be/u9FDVayJSB8?si=s6lcjzzKieHpvWoG
Yaani, alikuwa anapata dola bilioni kumi kwa mwaka, wakati pato la taifa lilikuwa chini ya dola bilioni tisa!!!
Kama ni kweli, hizi dhambi zinakuwaje?
Yaani, familia inaingiza hela kuliko nchi tena kwa namna hiyo?
Tumtafuteni Mungu aisee!!
Tuitazame hii video.
View: https://youtu.be/u9FDVayJSB8?si=s6lcjzzKieHpvWoG