Kumbe Rais Samia alisema ukweli kuhusu kesi ya Mbowe. Watanzania tutembee kifua mbele ikibidi vua hata shati tunaenda vizuri

Kumbe Rais Samia alisema ukweli kuhusu kesi ya Mbowe. Watanzania tutembee kifua mbele ikibidi vua hata shati tunaenda vizuri

Legendary Late John Pombe Magufuri.
 
Mkuu kuichafua serikali kwa propaganda mfu namna hii ni kupoteza muda wako bure. Hebu fikiria kuna watu walikuja na propaganda kabambe za ufisadi ili kuwachafua viongozi wa serikali na wa chama kilichopo madarakan kama vile kina Lowasa, Kinana nk lkn uchaguzi ulipofika 2010, 2015 na 2020 wananchi walitumia haki yao ya kupiga kura kuwaadhibu watengeneza propaganda hao bila huruma.

Hata zile propaganda za kumchafua hayati Magufuli kuwa ni dikteta, sijui anakandamiza demokrasia nk hazikusaidia upinzani kuingia ikulu 2020.. yan ilikuwa ni sawa na kujaza pipa kwa kisoda. So kama unaishi, unasomesha na hata kwenda msalani kwa malipo ya propaganda za namna hii. Nakushauri ndugu yang utafute, 2020 kibarua kingine cha kukusaidka kupata riziki ingine ya halali bila kuchafua watu.
Wewe hujui maana ya neno "propaganda", unalitumia tu kwa mazoea huku ukiwa mjinga juu yake.
Ni 'propaganda' kusema Samia alihojiwa na BBC na kusema kwamba Mbowe alikimbilia Nairobi; wewe hukumsikia kwa masikio yako kwenye mahojiano hayo?

Sasa angalia tofauti na haya uliyoandika wewe hapo chini kuhusu chaguzi zilizofanyika 2010, 2015, 2020. Unaweza kusema chaguzi hizo zilifanyika kwa haki na wananchi walipata viongozi waliowataka bila ya mizengwe?

Pamoja na kutaka uonekane wewe ni mjuzi wa kufanya propaganda, lakini kiwango cha ujuzi wako kinaonekana kuwa kiko chini sana.
 
Wewe hujui maana ya neno "propaganda", unalitumia tu kwa mazoea huku ukiwa mjinga juu yake.
Ni 'propaganda' kusema Samia alihojiwa na BBC na kusema kwamba Mbowe alikimbilia Nairobi; wewe hukumsikia kwa masikio yako kwenye mahojiano hayo?

Sasa angalia tofauti na haya uliyoandika wewe hapo chini kuhusu chaguzi zilizofanyika 2010, 2015, 2020. Unaweza kusema chaguzi hizo zilifanyika kwa haki na wananchi walipata viongozi waliowataka bila ya mizengwe?

Pamoja na kutaka uonekane wewe ni mjuzi wa kufanya propaganda, lakini kiwango cha ujuzi wako kinaonekana kuwa kiko chini sana.
Raisi alizungumza kuhusu kesi ya Mbowe na akasema kwamba Mbowe mwenyewe alikuwa anafahamu uwepo wa kesi hiyo mahakamani..

Pia raisi hakuzungumzia kuhusu hukumu ya kesi ya Mbowe kwani anafahamu fika kwamba kesi hiyo bado ipo mahakamani na ni mahakama pekee inayoweza kuamua kuhusu kesi hiyo.

Hii ya kusema kuwa raisi alisema Mbowe kaisha hukumiwa kwa ugaidi ni uongo mtupu ambao hauwezi kuachwa hivi hivi. Kuhusu haki ya uchaguzi bila shaka unajua kwamba miaka yote uchaguzi huwa wa haki na huru ndio maana kina Mbowe, Lisu, Lema nk waliweza kushinda chaguzi mbali mbali na kutangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi.

Ila kwa vile miaka yote walioshinda hakuna cha maana walichofanya katika majimbo yao zaidi ya kujineemesha wao na watoto wao ndio maana mwaka 2020 wananchi wakaamua kuwagalagaza kwa kuwanyima kura, na dalili za unyimwaji wa kura kutoka kwa wananchi zilianza kuonekana pale mwenyekiti wa Chadema na mbunge wa Hai ndugu Freeman Mbowe alipotupiwa chupa za maji na kuzomewa na wapiga kura wake mwenyewe kutokana na kuchoshwa na ulaghai wa mwanasiasa huyo na genge lake.
 
Hii Kesi Itaenda kutufumbua macho Mambo mengi sana Juu ya huu utawala wa Majiccm wa mda mrefu

Tusubiri!
Mungu huwa ana makusudi yake ktk kilajambo. Amemtumia mtumishi wake Freeman Aikael Mbowe kufichua uovu wa Ibilisi (CCM) na malaika zake (polisi)
Hakika Mungu ni mwema

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Niwakumbushe tuu kidogo Rais akihojiwa na shirika la habari la Uingereza BBC aliitamkia Dunia na Tanzania kuwa Mbowe ni gaidi alikimbilia kujificha Kenya na wenzie alio kuwa akishilikiana nao walisha hukumiwa alibakia Mbowe tuu kuhukumiwa.

Watanzania wengi tulishitushwa na taarifa hiyo na kumshutumu Rais kuwa anasema uongo. Kwa kuwa hapakuwa na kesi yoyote ya Ugaidi Mahakamani iliyo hukumiwa Wala mtuhumiwa yeyote wa Ugaidi aliye hukumiwa zaidi ya wale Mashekhe wa Uamsho kutolewa Mahabusu baada ya kusota kwa miaka zaidi ya 7 bila hatia yoyote.

Lakini ushahidi unao tolewa Mahakamani na Washitakiwa ambao pia ni Mashahidi upande wa Jamhuri unatuoonesha wazi kuwa Kuna Watuhumiwa wawili tayari wamesha hukumiwa. Na hukumu yao ilitekelezwa kuteswa na baadae kutupwa.

Mashadi wanasema walimuona Moses Lijenje na Denisi Urio wakiteswa na polisi na Kisha polisi wakawaeleza mwenzao Moses Lijenje wamemtupa baada ya kumtesa.Kwamba Moses Lijenje ametupwa kaburini au baharini hatujui ila uhakika ni kwamba wametupwa.

Hatuwezi kutilishaka maelezo ya Washitakiwa kuwa Kuna wenzao wamesha uawa na polisi kwa kuwa maelezo yao yanafanana na maelezo ya Rais aliyoyasema akihojiwa na BBC kuwa Kuna Watuhumiwa tayari wamesha hukumiwa alibakia Mbowe tuu.

Kuhusu CCM kuua raia hilo halina shaka ushahidi ndio huu Rais ameusema wazi wazi na Watuhumiwa pia wamekiri wenzao wameuwa. Pia aliyekuwa Katibu mkuu CCM Bashiru Ally alikiri hadharani akisema CCM tunatumia Dora kubakia Madarakani

Sio hivyo tuu hata kiongozi wa umoja wa vijana CCM ambaye Sasa amepewa cheo Cha Ukuu wa Wilaya Kheri James eti ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya alisema walimkosa kosa Tundu Lissu kumuua kwa Risasi ila kwa Sasa watatumia sumu kumuua.

Sio hivyo tuu Makamu mwenyekiti wa CCM Philpi Mangula alinisurika kuuwa akiwa ktk kikao na Wana CCM wenzake kwa kupewa sumu. Polisi walisema wanawatafuta walio husika lakini mpka Sasa hakuna mtuhumiwa hata mmoja ili hali walio hudhuria kikao hicho kilicho ongozwa na mwenyekiti wao wanajulikana.

CCM oyeeeee
Rais safiiiii
Kingai oyeeee
Mahita juuu
JWTZ oyeee
Polisi safiiiiii!!
Siro ngangariiii!!

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Kama kuna ukweli hivi!!! 🤔
 
Sijui kama huyu mama anajua wasaidizi wake wanavyomzunguka!
Sijui kwanini hakupenda kuchunguza ajue ukweli wa kesi ya mbowe!
Hii aibu wanayotembea nayo ni laana mbaya sana kwao na Taifa!
Hivi mtaficha wapi nyuso zenu siku ya kiyama? ukatili mnaofanyia wenzenu kwa vyeo vyenu siku zaja mtajuta milele jehenam!
Uzuri wake malipo ni hapahapa duniani
 
Niwakumbushe tuu kidogo Rais akihojiwa na shirika la habari la Uingereza BBC aliitamkia Dunia na Tanzania kuwa Mbowe ni gaidi alikimbilia kujificha Kenya na wenzie alio kuwa akishilikiana nao walisha hukumiwa alibakia Mbowe tuu kuhukumiwa.

Watanzania wengi tulishitushwa na taarifa hiyo na kumshutumu Rais kuwa anasema uongo. Kwa kuwa hapakuwa na kesi yoyote ya Ugaidi Mahakamani iliyo hukumiwa Wala mtuhumiwa yeyote wa Ugaidi aliye hukumiwa zaidi ya wale Mashekhe wa Uamsho kutolewa Mahabusu baada ya kusota kwa miaka zaidi ya 7 bila hatia yoyote.

Lakini ushahidi unao tolewa Mahakamani na Washitakiwa ambao pia ni Mashahidi upande wa Jamhuri unatuoonesha wazi kuwa Kuna Watuhumiwa wawili tayari wamesha hukumiwa. Na hukumu yao ilitekelezwa kuteswa na baadae kutupwa.

Mashadi wanasema walimuona Moses Lijenje na Denisi Urio wakiteswa na polisi na Kisha polisi wakawaeleza mwenzao Moses Lijenje wamemtupa baada ya kumtesa.Kwamba Moses Lijenje ametupwa kaburini au baharini hatujui ila uhakika ni kwamba wametupwa.

Hatuwezi kutilishaka maelezo ya Washitakiwa kuwa Kuna wenzao wamesha uawa na polisi kwa kuwa maelezo yao yanafanana na maelezo ya Rais aliyoyasema akihojiwa na BBC kuwa Kuna Watuhumiwa tayari wamesha hukumiwa alibakia Mbowe tuu.

Kuhusu CCM kuua raia hilo halina shaka ushahidi ndio huu Rais ameusema wazi wazi na Watuhumiwa pia wamekiri wenzao wameuwa. Pia aliyekuwa Katibu mkuu CCM Bashiru Ally alikiri hadharani akisema CCM tunatumia Dora kubakia Madarakani

Sio hivyo tuu hata kiongozi wa umoja wa vijana CCM ambaye Sasa amepewa cheo Cha Ukuu wa Wilaya Kheri James eti ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya alisema walimkosa kosa Tundu Lissu kumuua kwa Risasi ila kwa Sasa watatumia sumu kumuua.

Sio hivyo tuu Makamu mwenyekiti wa CCM Philpi Mangula alinisurika kuuwa akiwa ktk kikao na Wana CCM wenzake kwa kupewa sumu. Polisi walisema wanawatafuta walio husika lakini mpka Sasa hakuna mtuhumiwa hata mmoja ili hali walio hudhuria kikao hicho kilicho ongozwa na mwenyekiti wao wanajulikana.

CCM oyeeeee
Rais safiiiii
Kingai oyeeee
Mahita juuu
JWTZ oyeee
Polisi safiiiiii!!
Siro ngangariiii!!

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
HUU NI UCHOCHEZI TYPICALLY
 
Hii ya kusema kuwa raisi alisema Mbowe kaisha hukumiwa kwa ugaidi ni uongo mtupu ambao hauwezi kuachwa hivi hivi. Kuhusu haki ya uchaguzi bila shaka unajua kwamba miaka yote uchaguzi huwa wa haki na huru ndio maana kina Mbowe, Lisu, Lema nk waliweza kushinda chaguzi mbali mbali na kutangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi.
Wewe unanifahamisha mimi kwamba "miaka yote uchaguzi huwa wa haki na huru...."? Tena unadai kabisa "najua"?
Sasa kama nikiuita huu ni upumbavu utaona kuwa nakuonea kwa kukupa sifa hiyo? Wewe ni nani hadi unipangie ninachojua?

Kiufupi ni kwamba huna uelewa, au hutaki kutumia akili yako kuelewa mambo yaliyo nje ya yale uliyokariri kuyakubali hata kama ni mambo ambayo yapo wazi kabisa kuyaelewa.
 
Niwakumbushe tuu kidogo Rais akihojiwa na shirika la habari la Uingereza BBC aliitamkia Dunia na Tanzania kuwa Mbowe ni gaidi alikimbilia kujificha Kenya na wenzie alio kuwa akishilikiana nao walisha hukumiwa alibakia Mbowe tuu kuhukumiwa.

Watanzania wengi tulishitushwa na taarifa hiyo na kumshutumu Rais kuwa anasema uongo. Kwa kuwa hapakuwa na kesi yoyote ya Ugaidi Mahakamani iliyo hukumiwa Wala mtuhumiwa yeyote wa Ugaidi aliye hukumiwa zaidi ya wale Mashekhe wa Uamsho kutolewa Mahabusu baada ya kusota kwa miaka zaidi ya 7 bila hatia yoyote.

Lakini ushahidi unao tolewa Mahakamani na Washitakiwa ambao pia ni Mashahidi upande wa Jamhuri unatuoonesha wazi kuwa Kuna Watuhumiwa wawili tayari wamesha hukumiwa. Na hukumu yao ilitekelezwa kuteswa na baadae kutupwa.

Mashadi wanasema walimuona Moses Lijenje na Denisi Urio wakiteswa na polisi na Kisha polisi wakawaeleza mwenzao Moses Lijenje wamemtupa baada ya kumtesa.Kwamba Moses Lijenje ametupwa kaburini au baharini hatujui ila uhakika ni kwamba wametupwa.

Hatuwezi kutilishaka maelezo ya Washitakiwa kuwa Kuna wenzao wamesha uawa na polisi kwa kuwa maelezo yao yanafanana na maelezo ya Rais aliyoyasema akihojiwa na BBC kuwa Kuna Watuhumiwa tayari wamesha hukumiwa alibakia Mbowe tuu.

Kuhusu CCM kuua raia hilo halina shaka ushahidi ndio huu Rais ameusema wazi wazi na Watuhumiwa pia wamekiri wenzao wameuwa. Pia aliyekuwa Katibu mkuu CCM Bashiru Ally alikiri hadharani akisema CCM tunatumia Dora kubakia Madarakani

Sio hivyo tuu hata kiongozi wa umoja wa vijana CCM ambaye Sasa amepewa cheo Cha Ukuu wa Wilaya Kheri James eti ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya alisema walimkosa kosa Tundu Lissu kumuua kwa Risasi ila kwa Sasa watatumia sumu kumuua.

Sio hivyo tuu Makamu mwenyekiti wa CCM Philpi Mangula alinisurika kuuwa akiwa ktk kikao na Wana CCM wenzake kwa kupewa sumu. Polisi walisema wanawatafuta walio husika lakini mpka Sasa hakuna mtuhumiwa hata mmoja ili hali walio hudhuria kikao hicho kilicho ongozwa na mwenyekiti wao wanajulikana.

CCM oyeeeee
Rais safiiiii
Kingai oyeeee
Mahita juuu
JWTZ oyeee
Polisi safiiiiii!!
Siro ngangariiii!!

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Aiseee !!
 
Nilishasema sana bavicha na bawacha mnajisumbua sana kuanzisha viji threads vya kuomboleza si haba kwa siku viji threads 20 ila haitamsaidia mbowe na wenzake kunyongwa au kifungo Cha maisha

Tanzania bila ugaidi inawezekana
 
Niwakumbushe tuu kidogo Rais akihojiwa na shirika la habari la Uingereza BBC aliitamkia Dunia na Tanzania kuwa Mbowe ni gaidi alikimbilia kujificha Kenya na wenzie alio kuwa akishilikiana nao walisha hukumiwa alibakia Mbowe tuu kuhukumiwa.

Watanzania wengi tulishitushwa na taarifa hiyo na kumshutumu Rais kuwa anasema uongo. Kwa kuwa hapakuwa na kesi yoyote ya Ugaidi Mahakamani iliyo hukumiwa Wala mtuhumiwa yeyote wa Ugaidi aliye hukumiwa zaidi ya wale Mashekhe wa Uamsho kutolewa Mahabusu baada ya kusota kwa miaka zaidi ya 7 bila hatia yoyote.

Lakini ushahidi unao tolewa Mahakamani na Washitakiwa ambao pia ni Mashahidi upande wa Jamhuri unatuoonesha wazi kuwa Kuna Watuhumiwa wawili tayari wamesha hukumiwa. Na hukumu yao ilitekelezwa kuteswa na baadae kutupwa.

Mashadi wanasema walimuona Moses Lijenje na Denisi Urio wakiteswa na polisi na Kisha polisi wakawaeleza mwenzao Moses Lijenje wamemtupa baada ya kumtesa.Kwamba Moses Lijenje ametupwa kaburini au baharini hatujui ila uhakika ni kwamba wametupwa.

Hatuwezi kutilishaka maelezo ya Washitakiwa kuwa Kuna wenzao wamesha uawa na polisi kwa kuwa maelezo yao yanafanana na maelezo ya Rais aliyoyasema akihojiwa na BBC kuwa Kuna Watuhumiwa tayari wamesha hukumiwa alibakia Mbowe tuu.

Kuhusu CCM kuua raia hilo halina shaka ushahidi ndio huu Rais ameusema wazi wazi na Watuhumiwa pia wamekiri wenzao wameuwa. Pia aliyekuwa Katibu mkuu CCM Bashiru Ally alikiri hadharani akisema CCM tunatumia Dora kubakia Madarakani

Sio hivyo tuu hata kiongozi wa umoja wa vijana CCM ambaye Sasa amepewa cheo Cha Ukuu wa Wilaya Kheri James eti ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya alisema walimkosa kosa Tundu Lissu kumuua kwa Risasi ila kwa Sasa watatumia sumu kumuua.

Sio hivyo tuu Makamu mwenyekiti wa CCM Philpi Mangula alinisurika kuuwa akiwa ktk kikao na Wana CCM wenzake kwa kupewa sumu. Polisi walisema wanawatafuta walio husika lakini mpka Sasa hakuna mtuhumiwa hata mmoja ili hali walio hudhuria kikao hicho kilicho ongozwa na mwenyekiti wao wanajulikana.

CCM oyeeeee
Rais safiiiii
Kingai oyeeee
Mahita juuu
JWTZ oyeee
Polisi safiiiiii!!
Siro ngangariiii!!

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Rais kauli zake zinatutia mashaka sana.
 
Mkuu kuichafua serikali kwa propaganda mfu namna hii ni kupoteza muda wako bure. Hebu fikiria kuna watu walikuja na propaganda kabambe za ufisadi ili kuwachafua viongozi wa serikali na wa chama kilichopo madarakan kama vile kina Lowasa, Kinana nk lkn uchaguzi ulipofika 2010, 2015 na 2020 wananchi walitumia haki yao ya kupiga kura kuwaadhibu watengeneza propaganda hao bila huruma.

Hata zile propaganda za kumchafua hayati Magufuli kuwa ni dikteta, sijui anakandamiza demokrasia nk hazikusaidia upinzani kuingia ikulu 2020.. yan ilikuwa ni sawa na kujaza pipa kwa kisoda. So kama unaishi, unasomesha na hata kwenda msalani kwa malipo ya propaganda za namna hii. Nakushauri ndugu yang utafute kibarua kingine cha kukusaidka kupata riziki ingine ya halali bila kuchafua watu.
Wanamuomboleza mbowe kwa kuikashifu kumbe ndio wanazidi kudata na kuchanganyikiwa
 
Mungu huwa ana makusudi yake ktk kilajambo. Amemtumia mtumishi wake Freeman Aikael Mbowe kufichua uovu wa Ibilisi (CCM) na malaika zake (polisi)
Hakika Mungu ni mwema

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Vituko jamani mbowe kawa mtumishi wa mungu ukishangaa ya firauni utashagaa ya mtumishi mbowe mbavu zangu jamani[emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom