Twissa ananuka mkojo? Upo serious kweli?Yes simfahamu hata kidogo, na hata huhitaji kunishangaa, Unaweza muona ww ni maarufu lakn kwa upande wangu akawa hayupo kwenye chain ya kumfahamu.
Kuna watu nashirikiana nao kwenye Biashara na hata wewe huwajui ingawa kwa wengine ni maarufu.
Mf. Nafanya kazi sana na TAJIRI no 1 Tanzania, yaan tajiri halisi anaitwa YOGESH MANEK, wengi hawamjui na umaarufu anao MO DEWJI.
So ni kawaida hasa watu kama hao wanuka mikojo sio wote tutawafahamu, sasa kumsimamia Mwakinyo ni big Deal?
Yaani mtu kutomjua Twissa ni mshamba tena? Haya nimekaa nje miaka 8 nawezaje kuwajua hao watu?
huyo jamaa anachangamsha mada tu,Twissa awezi kua mnuka mkojo bana[emoji23][emoji28]Twissa ananuka mkojo? Upo serious kweli?
Sasa angekuwa top si ningemfahamu mkuu?? Mbona Waziri mkuu namjua?? Mbona MD wa NMB namjua, MD wa CRDB namjua??Twissa ananuka mkojo? Upo serious kweli?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Yes hata simjui na imenibidi nitafute anafanya wapi.huyo jamaa anachangamsha mada tu,Twissa awezi kua mnuka mkojo bana[emoji23][emoji28]
Mkuuu uko sahihi.Mpuuzi wewe, ingekuwa mihemko magori na Gonzalez wangepanick? umeona vitu walivypost twitter na instagram?
Yaani Barbara anaringia picha ya simba na mtoto wake aliyopost manzoki?Barabra wa ku comment picha ya Hersi na manzoki na ku refer picha yake na etoo kwamba ingekuwa hivyo hata etoo ingekuwa tumemsajili?
Kama hawakupaniki wange relax, mood ya wanasimba ilibadilika kabisa jana HIYO NI DALILI KWAMBA VIONGOZI KWA SASA WANAONEKANA NI WAONGOONGO TU siyo kama miaka ya kurudi nyuma wakisema kitu mnakaa mnawaamini
Hata mm ndio kwanza namsikia ila naonekana mtoto kutoka Sengerema hukoMiaka ya huko nyuma nilijawa na umbumbu wa kuamini kila ninayemjua maarufu na kwa mwingine/wengine atamjua/watamjua.
Ndicho kinaendelea hapa umbumbu wa The MoNA wengi wanao.
Huyo wa kuitwa Twissa licha ya kumjua ndio kwanza namsikia.
Sawa wasalimie huko Utopoloni na uwape hongera zao.Taharuki iliyotokea jana Miss Gonzalez nafikiri umeiona hata wewe na Magori ilibidi muingilie kati kutoa maneno ya faraja huko twitter na instagram na bado leo pia na wewe umerusha vijembe vya kiaina
Yote haya ni kutokana na jinsi team inavyopwaya nafasi muhimu za namba 9 na namba 6 mlizokuwa na karibu miezi 3 kuzihangaikia MKAZIPUUZA, imani kwenu imepungua sana mmekuwa kama yule kiongozi mkubwa serikalini tena shabiki wa simba anayeongeaga mambo ya uongo uongo kila siku ambaye hata akikuambia kesho jua litawaka unajiuliza mara mbilimbii kama ni kweli
Shukuruni sana huyo manzoki inaonekana ka calculate kuja kutengeneza ufalme wake simba na siyo kuuchukua wa mayele na pia yanga wameonyesha kwamba wakitaka kitu kizuri ubahili kwao ni msamiati ni vile tu jamaa kawakatalia
Ndugu zangu YANGA LEO SAA TANO WANAMTAMBULISHA KEVIN TWISSA NA JACKSON GROUP YAKE kusimamia digital marketing and branding, smart move sana .
Voda ya joji poji πππHalafu madogo wa leo kweli hawamjui Kevin Twissa?? Enzi za tigo longa longa, vodacom kipind kile, fiesta alizipandisha
maelezo mengi na kujieleza ni udhaifuYes simfahamu hata kidogo, na hata huhitaji kunishangaa, Unaweza muona ww ni maarufu lakn kwa upande wangu akawa hayupo kwenye chain ya kumfahamu.
Kuna watu nashirikiana nao kwenye Biashara na hata wewe huwajui ingawa kwa wengine ni maarufu.
Mf. Nafanya kazi sana na TAJIRI no 1 Tanzania, yaan tajiri halisi anaitwa YOGESH MANEK, wengi hawamjui na umaarufu anao MO DEWJI.
So ni kawaida hasa watu kama hao wanuka mikojo sio wote tutawafahamu, sasa kumsimamia Mwakinyo ni big Deal?
Yaani mtu kutomjua Twissa ni mshamba tena? Haya nimekaa nje miaka 8 nawezaje kuwajua hao watu?
know the guy,KEVIN TWISSA
Mkuu, huyu ni zaidi ya Mayele?Kama Yanga wamemchukua Kelvin Twisa simba tumeisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Majibu yako, soma post #14Unatokea kijiji gani hapa Tanzania na Dar ulikuja kwa basi au treni au lori la mizigo, kelvin twissa usimfahamu kweli na utakuta unajiita mtoto wa mjini
Huyo atawaingizia hela Yanga, huyo ni mayele upande wa deals za hela ndefu πππ!!!Mkuu, huyu ni zaidi ya Mayele?
Hakupi presha kwasababu unajiamini na unaamini Simba haijawai kufeli.Jamani huyo manzoki mimi mbona hanipi presha?