Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,293
Kuna jamaa yeye anaishi hapahapa bongo hii, yaani kazakiwa hapa, kasoma hapa kuna watu maarufu tena hawa wasanii ambao wapo kwenye media aina zote kila siku ila nashangaa yeye hawajui, mfano unamuuliza harmonize au Alikiba au Mario au wale wadada maarufu hawajui halafu eti mtu ashangae Kelvin Twisa kutokujulikana?
Unamjua mtu kutokana na mahitajio yako. Ni sawa na mimi nianze kumshangaa mtu eti humjui kweli Kingai mbona alivuma sana kwenye kesi ya Mbowe? Utahisi kila mtu alikua anafuatilia kesi ya Mbowe.
Unamjua mtu kutokana na mahitajio yako. Ni sawa na mimi nianze kumshangaa mtu eti humjui kweli Kingai mbona alivuma sana kwenye kesi ya Mbowe? Utahisi kila mtu alikua anafuatilia kesi ya Mbowe.