Kumbe saa 5 anatambulishwa Kevin Twissa ila Barbara jifunze basi dah

Kumbe saa 5 anatambulishwa Kevin Twissa ila Barbara jifunze basi dah

Kuna jamaa yeye anaishi hapahapa bongo hii, yaani kazakiwa hapa, kasoma hapa kuna watu maarufu tena hawa wasanii ambao wapo kwenye media aina zote kila siku ila nashangaa yeye hawajui, mfano unamuuliza harmonize au Alikiba au Mario au wale wadada maarufu hawajui halafu eti mtu ashangae Kelvin Twisa kutokujulikana?

Unamjua mtu kutokana na mahitajio yako. Ni sawa na mimi nianze kumshangaa mtu eti humjui kweli Kingai mbona alivuma sana kwenye kesi ya Mbowe? Utahisi kila mtu alikua anafuatilia kesi ya Mbowe.
 
Yes simfahamu hata kidogo, na hata huhitaji kunishangaa, Unaweza muona ww ni maarufu lakn kwa upande wangu akawa hayupo kwenye chain ya kumfahamu.

Kuna watu nashirikiana nao kwenye Biashara na hata wewe huwajui ingawa kwa wengine ni maarufu.

Mf. Nafanya kazi sana na TAJIRI no 1 Tanzania, yaan tajiri halisi anaitwa YOGESH MANEK, wengi hawamjui na umaarufu anao MO DEWJI.

So ni kawaida hasa watu kama hao wanuka mikojo sio wote tutawafahamu, sasa kumsimamia Mwakinyo ni big Deal?

Yaani mtu kutomjua Twissa ni mshamba tena? Haya nimekaa nje miaka 8 nawezaje kuwajua hao watu?
Twissa ananuka mkojo? Upo serious kweli?
 
Twissa ananuka mkojo? Upo serious kweli?
Sasa angekuwa top si ningemfahamu mkuu?? Mbona Waziri mkuu namjua?? Mbona MD wa NMB namjua, MD wa CRDB namjua??

Shida yenu mnahisi umaarufu wa mtu basi unakuwa kwa kila mtu, hiyo hapana mazee. Nimezaliwa Dar, Mwananyamala, nimesoma hapo, Advance nimepiga Azania, Chuo nimesoma Mzumbe, then nikanyanyuka kwenda walikostaarabika, so nawezaje kumfahamu huyo mtu kirahisi hivyo wakati hayuko kwenye chain yangu???

Kumjua mtu inategemea umeegemea upande upi, na si kila maarufu kwako basi kwa mwenzako atamjua.

Siku moja nilikuwa KEMPTON PARK, mwenyeji wangu alikuwa hamjui DJ CLEO, nilishangaa as i know niko GAUTENG PROVINCE ambapo huyo msanii amezaliwa. Niliweka wimbo wake wa FACEBOOK ndio akasema huwa hamfatilii hivyo hakuwa anamjua.
 
Mpuuzi wewe, ingekuwa mihemko magori na Gonzalez wangepanick? umeona vitu walivypost twitter na instagram?

Yaani Barbara anaringia picha ya simba na mtoto wake aliyopost manzoki?Barabra wa ku comment picha ya Hersi na manzoki na ku refer picha yake na etoo kwamba ingekuwa hivyo hata etoo ingekuwa tumemsajili?

Kama hawakupaniki wange relax, mood ya wanasimba ilibadilika kabisa jana HIYO NI DALILI KWAMBA VIONGOZI KWA SASA WANAONEKANA NI WAONGOONGO TU siyo kama miaka ya kurudi nyuma wakisema kitu mnakaa mnawaamini
Mkuuu uko sahihi.
GAPE la HANS POPE limekuwa gumu sana kuzibwa ndani ya Simba SC
 
Miaka ya huko nyuma nilijawa na umbumbu wa kuamini kila ninayemjua maarufu na kwa mwingine/wengine atamjua/watamjua.

Ndicho kinaendelea hapa umbumbu wa The MoNA wengi wanao.
Huyo wa kuitwa Twissa licha ya kumjua ndio kwanza namsikia.
 
Miaka ya huko nyuma nilijawa na umbumbu wa kuamini kila ninayemjua maarufu na kwa mwingine/wengine atamjua/watamjua.

Ndicho kinaendelea hapa umbumbu wa The MoNA wengi wanao.
Huyo wa kuitwa Twissa licha ya kumjua ndio kwanza namsikia.
Hata mm ndio kwanza namsikia ila naonekana mtoto kutoka Sengerema huko
 
Taharuki iliyotokea jana Miss Gonzalez nafikiri umeiona hata wewe na Magori ilibidi muingilie kati kutoa maneno ya faraja huko twitter na instagram na bado leo pia na wewe umerusha vijembe vya kiaina

Yote haya ni kutokana na jinsi team inavyopwaya nafasi muhimu za namba 9 na namba 6 mlizokuwa na karibu miezi 3 kuzihangaikia MKAZIPUUZA, imani kwenu imepungua sana mmekuwa kama yule kiongozi mkubwa serikalini tena shabiki wa simba anayeongeaga mambo ya uongo uongo kila siku ambaye hata akikuambia kesho jua litawaka unajiuliza mara mbilimbii kama ni kweli

Shukuruni sana huyo manzoki inaonekana ka calculate kuja kutengeneza ufalme wake simba na siyo kuuchukua wa mayele na pia yanga wameonyesha kwamba wakitaka kitu kizuri ubahili kwao ni msamiati ni vile tu jamaa kawakatalia

Ndugu zangu YANGA LEO SAA TANO WANAMTAMBULISHA KEVIN TWISSA NA JACKSON GROUP YAKE kusimamia digital marketing and branding, smart move sana .
Sawa wasalimie huko Utopoloni na uwape hongera zao.
 
Yes simfahamu hata kidogo, na hata huhitaji kunishangaa, Unaweza muona ww ni maarufu lakn kwa upande wangu akawa hayupo kwenye chain ya kumfahamu.

Kuna watu nashirikiana nao kwenye Biashara na hata wewe huwajui ingawa kwa wengine ni maarufu.

Mf. Nafanya kazi sana na TAJIRI no 1 Tanzania, yaan tajiri halisi anaitwa YOGESH MANEK, wengi hawamjui na umaarufu anao MO DEWJI.

So ni kawaida hasa watu kama hao wanuka mikojo sio wote tutawafahamu, sasa kumsimamia Mwakinyo ni big Deal?

Yaani mtu kutomjua Twissa ni mshamba tena? Haya nimekaa nje miaka 8 nawezaje kuwajua hao watu?
maelezo mengi na kujieleza ni udhaifu
 
Mkuu, huyu ni zaidi ya Mayele?
Huyo atawaingizia hela Yanga, huyo ni mayele upande wa deals za hela ndefu 😂😂😂!!!


Huyo jamaa aliwatengenezea hela Tigo, Voda wakamuiba akaenda kuwazalishia na sasa alikuwa Sportpesa, kumchukua mtu kama huyo utopoloni ni pigo kwa sisi wana Thimba Mlete mdhungu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom