Kumbe saa 5 anatambulishwa Kevin Twissa ila Barbara jifunze basi dah

Kumbe saa 5 anatambulishwa Kevin Twissa ila Barbara jifunze basi dah

Halafu madogo wa leo kweli hawamjui Kevin Twissa?? Enzi za tigo longa longa, vodacom kipind kile, fiesta alizipandisha
Mwisho akaja na j milionea
Kipindi cha nyuma co za simu zilikua zinapiga promishen zinabamba ss hv naona mambo ni tofauti sijui imekuaje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ko huyo twika sjui ndo atasimaisha dunia???duh haya bhn ngoja tuone
 
Mpuuzi wewe, ingekuwa mihemko magori na Gonzalez wangepanick? umeona vitu walivypost twitter na instagram?

Yaani Barbara anaringia picha ya simba na mtoto wake aliyopost manzoki?Barabra wa ku comment picha ya Hersi na manzoki na ku refer picha yake na etoo kwamba ingekuwa hivyo hata etoo ingekuwa tumemsajili?

Kama hawakupaniki wange relax, mood ya wanasimba ilibadilika kabisa jana HIYO NI DALILI KWAMBA VIONGOZI KWA SASA WANAONEKANA NI WAONGOONGO TU siyo kama miaka ya kurudi nyuma wakisema kitu mnakaa mnawaamini

Kaka bando si lake???unampangia mtu matumizi ya smart phone yake khaa!!
 
Taharuki iliyotokea jana Miss Gonzalez nafikiri umeiona hata wewe na Magori ilibidi muingilie kati kutoa maneno ya faraja huko twitter na instagram na bado leo pia na wewe umerusha vijembe vya kiaina

Yote haya ni kutokana na jinsi team inavyopwaya nafasi muhimu za namba 9 na namba 6 mlizokuwa na karibu miezi 3 kuzihangaikia MKAZIPUUZA, imani kwenu imepungua sana mmekuwa kama yule kiongozi mkubwa serikalini tena shabiki wa simba anayeongeaga mambo ya uongo uongo kila siku ambaye hata akikuambia kesho jua litawaka unajiuliza mara mbilimbii kama ni kweli

Shukuruni sana huyo manzoki inaonekana ka calculate kuja kutengeneza ufalme wake simba na siyo kuuchukua wa mayele na pia yanga wameonyesha kwamba wakitaka kitu kizuri ubahili kwao ni msamiati ni vile tu jamaa kawakatalia

Ndugu zangu YANGA LEO SAA TANO WANAMTAMBULISHA KEVIN TWISSA NA JACKSON GROUP YAKE kusimamia digital marketing and branding, smart move sana .
Una njaa kali huku unapoteza muda wako kulilia upuuzi?
 
Mpuuzi wewe, ingekuwa mihemko magori na Gonzalez wangepanick? umeona vitu walivypost twitter na instagram?

Yaani Barbara anaringia picha ya simba na mtoto wake aliyopost manzoki?Barabra wa ku comment picha ya Hersi na manzoki na ku refer picha yake na etoo kwamba ingekuwa hivyo hata etoo ingekuwa tumemsajili?

Kama hawakupaniki wange relax, mood ya wanasimba ilibadilika kabisa jana HIYO NI DALILI KWAMBA VIONGOZI KWA SASA WANAONEKANA NI WAONGOONGO TU siyo kama miaka ya kurudi nyuma wakisema kitu mnakaa mnawaamini
Wewe ndiye mpuuzi namba moja. Unaokoteza umbeya huko kisha unauposti kimuhemko kisha wapuuzi wenzako wakakuunga mkono. Halafu eti unauita taharuki. Nadhani umejiona mpuuzi wa kupuuzwa kabisa na kila mwanasimba.
 
Taharuki iliyotokea jana Miss Gonzalez nafikiri umeiona hata wewe na Magori ilibidi muingilie kati kutoa maneno ya faraja huko twitter na instagram na bado leo pia na wewe umerusha vijembe vya kiaina

Yote haya ni kutokana na jinsi team inavyopwaya nafasi muhimu za namba 9 na namba 6 mlizokuwa na karibu miezi 3 kuzihangaikia MKAZIPUUZA, imani kwenu imepungua sana mmekuwa kama yule kiongozi mkubwa serikalini tena shabiki wa simba anayeongeaga mambo ya uongo uongo kila siku ambaye hata akikuambia kesho jua litawaka unajiuliza mara mbilimbii kama ni kweli

Shukuruni sana huyo manzoki inaonekana ka calculate kuja kutengeneza ufalme wake simba na siyo kuuchukua wa mayele na pia yanga wameonyesha kwamba wakitaka kitu kizuri ubahili kwao ni msamiati ni vile tu jamaa kawakatalia

Ndugu zangu YANGA LEO SAA TANO WANAMTAMBULISHA KEVIN TWISSA NA JACKSON GROUP YAKE kusimamia digital marketing and branding, smart move sana .
Sasa kawaombe msamaha viongozi wa simba kwa shombo uliyowapakaza.
 
Mkuu njaakalihatari msingi wa matusi yako yote na kufungua thread lukuki hapa jf kuwadhihaki Barbra na viongozi wengine wa simba ilikuwa ni Manzoki kusajiliwa na Yanga

Sasa ikiwa jambo hilo halijatokea na wala halijakuwa la kweli kwanini usitumie busara ndogo tu kuwaomba radhi hao viongoxi kama ulivyoweza fungua nyuzi lukuki za kuwananga kwa udhaifu wao why sasa usifungue tena nyuzi za kuwaomba radhi Barbra na viongozi wengine pale klabuni
 
Mkuu njaakalihatari msingi wa matusi yako yote na kufungua thread lukuki hapa jf kuwadhihaki Barbra na viongozi wengine wa simba ilikuwa ni Manzoki kusajiliwa na Yanga

Sasa ikiwa jambo hilo halijatokea na wala halijakuwa la kweli kwanini usitumie busara ndogo tu kuwaomba radhi hao viongoxi kama ulivyoweza fungua nyuzi lukuki za kuwananga kwa udhaifu wao why sasa usifungue tena nyuzi za kuwaomba radhi Barbra na viongozi wengine pale klabuni
Wanatakiwa wote wachapwe viboko kadhaa makalioni kwa dharau wanayofanyia wanasimba , tatizo la namba 6 na 9 siyo la jana wala leo, wamelifanyia majaribio utadhani simba sc ni guinea pig huku wakiweka malengo ya kufika nusu fainali..sasa tunaambiwa akpan kaonekana garasa, huku namba 9 kuna mzungu garasa
Yaani niombe radhi, hata kama manzoki akienda al hilal nitalalamika tu, alikosekana namba 9 mwingine afrika nzima hii
HAWA VIONGOZI WACHAPWE VIBOKO MAKALIONI NA BARBARA ANYOLEWE ZILE NYWELE ZIOTE NYINGINE LABDA AKILI YA MPIRA ITAOTA NAZO
Naomba unikumbushe tusi nililowatukana hao viongozi
 
Back
Top Bottom