Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Watanzania tunapenda Sana matukio na udaku.....na kila mmoja tayari anakuwa na jibu lake juu ya tukio......hakusikilizi kuelewa unachomwambia Bali kulinganisha anachotamani kusikia na unachomwambia........

Hapo ndio itashangaa kuwa anakuulizia kitu alafu anabishana na majibu yako!!!!....

Only in Tanzania
 
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.

Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.

Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.

Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.

Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.

Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.

RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.

Paskali
BADO JAMBO MOJA HALIJAWEKWA WAZI. NI HOSPITALI GANI ALIKOFIA? HAYA MAMBO YA KUFICHA FICHA NI USHAMBA. KANUNI ZA TANGAZO KWA UMMA (PRESS RELEASE) NI KWAMBA LIJIELEZE LENYEWE (SELF EXPLANATORY) USITOE TANGAZO LENYE KUIBUA MASWALI YASIYO YA LAZIMA.
 
Asante Kaka Mimi maamuma tu Muuza Al kasus Tandale sema ninapenda kusoma vitabu vya elimu tofauti km alivyosema MAREHEMU Mkapa kuwa TUPENDE KUJISOMEA na tusiwe MAKANJANJA MALOFA km baadhi ya wale waandishi.....watu wakamchukia Mkapa kumbe aliwaambia ukweli maskini mzee wa watu.
Rip BWM,aamen
Bwana jumbe bia yetu aliechangamka...

Mambo vipi mkuu
 
Sioni haja ya kujua marehemu kafa Na ugonjwa gani?.
NI UTARATIBU MBAYA.
ugonjwa wa marehemu ni siri yake Na ndugu zake.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
HATA KAMA KAFA KWA AJALI ISISEMWE? KAMA HUTAKI HILO, USIWATANGAZIE WATU KWAMBA UNA MSIBA. UKITANGAZA TU, SHARTI USEME KIFO NI CHA NAMNA GANI. HAWAWEZI WATU KWENDA KWENYE MSIBA WASIOUJUA.
 
Hiyo Cardiac arrest ingempata nyumbani, ofisini, kikaoni kanisani nk. basi tungeelewa. Lakini mzee alikuwa hospitalini siku kadhaa kabla ya kifo chake. Sasa tuambiwe tu, kabla ya kuipata hiyo Cardiac arrest alikuwa hospitalini akiuuguzwa nini?

Nimejaribu kupitia mitandao duniani kuhusu hiyo Cardiac arrest na haya ndio niliyoyapata....
-Cardiac arrest huwa haiji tu yenyewe, ni lazima iwe na chanzo chake mahususi. Na ikiwa ikitokea tu pasipo kuwepo ugonjwa unaojulikana kabla, ni muhimu (lazima!) uchunguzi wa maalum wa maiti (postmortem) ufanyike.

-Wapo wagonjwa wengi wenye changamoto ya kupumua kabla ya kukata kamba wakapatwa na Cardiac arrest.

Wa Burundi naye aliondoka kimzaha hivi hivi:

Corona: Ya Burundi ni somo tosha, hala hala majuto ni mjukuu

Tusipokuwa tayari kujifunza kwa matukio haya ama kwa hakika tutaendelea kujenga kuta sana, hali nafasi ya kuziba nyufa ilikuwapo.
 
Hiyo Cardiac arrest ingempata nyumbani, ofisini, kikaoni kanisani nk. basi tungeelewa. Lakini mzee alikuwa hospitalini siku kadhaa kabla ya kifo chake. Sasa tuambiwe tu, kabla ya kuipata hiyo Cardiac arrest alikuwa hospitalini akiuuguzwa nini?

Nimejaribu kupitia mitandao duniani kuhusu hiyo Cardiac arrest na haya ndio niliyoyapata....
-Cardiac arrest huwa haiji tu yenyewe, ni lazima iwe na chanzo chake mahususi. Na ikiwa ikitokea tu pasipo kuwepo ugonjwa unaojulikana kabla, ni muhimu (lazima!) uchunguzi wa maalum wa maiti (postmortem) ufanyike.

-Wapo wagonjwa wengi wenye changamoto ya kupumua kabla ya kukata kamba wakapatwa na Cardiac arrest.
Hivi nyinyi watu wengine ni wagumu kuelewa? UMESHAAMBIWA KABLA YA CARDIAC ARREST ALIKUA ANAUMWA MALARIA
 
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.

Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.

Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.

Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.

Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.

Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.

RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.

Paskali

Si vibaya akichekiwa maana siku za karibuni aliongelea habari za tume huru ya uchaguzi, wakati alitakiwa azungumzie kuongezewa muda.
 
Kama ni ajali si kila mtu atakuwa ameona?..
Unaona sasa upumbavu wa watanzania wanakwambia sio shambulio la moyo.
Ni ugonjwa mwingine. Sasa utajiuliza hata kama marehemu kafa kwa ukimwi wewe ukijua itakusaidia nini?
Ndo maana nasema ni upuuzi kutangaza mgonjwa kafa na ugonjwa gani?
HATA KAMA KAFA KWA AJALI ISISEMWE? KAMA HUTAKI HILO, USIWATANGAZIE WATU KWAMBA UNA MSIBA. UKITANGAZA TU, SHARTI USEME KIFO NI CHA NAMNA GANI. HAWAWEZI WATU KWENDA KWENYE MSIBA WASIOUJUA.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Ni kwa masikitiko makubwa rais mstaafu Mkapa (rip) katutoka katika mazingira yale ya kutangaziwa kifo moja kwa moja bila ya kusikia mtu kuumwa wala kuuguzwa.

Pamoja na yote kwa mwalimu (rip), taifa lilipata lau nafasi ya kumwombea akiwa hospitali St. Thomas - alikolazwa pia baadaye Boris Johnson.

Kuacha yote hayo pembeni, ugonjwa uliomwondoa mzee wetu utabaki kuwa ni huo huo aliokufa nao hata nani afanye je.

Ikumbukwe kuwa huwa pana sababu ya kifo na yatokanayo na sababu yenyewe. Wenyewe wanaita second degree.

Can Coronavirus Cause Heart Damage?

Mzee wetu katutoka. Cha maana hapa tulipo ni kujifunza kutokana na yaliyomkuta kwa ajili ya ambao wangali hai kama inaweza kuwasaidia siku za usoni.

Apumzike kwa amani mzee wetu, rais mstaafu Mkapa.
Corona Tanzania haisemwi maana Ina mahusiano na umaarufu wa mtu
 
Corona Tanzania haisemwi maana Ina mahusiano na umaarufu wa mtu

Jambo la kusikitisha sana kuifanyia Corona siasa ili kulinda au kujijengea umaarufu uchwara.

Corona ipo dunia nzima kama janga hatari hadi ukweli huo utakapoeleweka tungali na safari ndefu.
 
Sioni haja ya kujua marehemu kafa Na ugonjwa gani?.
NI UTARATIBU MBAYA.
ugonjwa wa marehemu ni siri yake Na ndugu zake.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app

Kwa jamii iliyostaarabika ambayo kila wakati hujipanga kuzuia na kupambana na changamoto zote kwa ajili ya kesho iliyo bora zaidi kuliko leo na jana, ugonjwa au sababu ya kifo cha marehemu haiwezi kuwa siri. (Labda mkuu, ulimaanisha zile sera za Mrema).

Ndiyo maana huwa kuna autopsy, postmortem na hata inquests ilikujua sababu halisi ya kifo pasi na shaka yoyote..

Ikumbukwe kuwa kama ni sababu au ugonjwa, mbona unabakia kuwa ni huo huo uliomwua marehemu hata nani afanye je?

Hayo ndiyo mambo yake mola. Kazi yake haina makosa.

Apumzike kwa amani Jabari la Muziki.

Apumzike kwa amani mzee wetu rais mstaafu Mkapa.
 
Back
Top Bottom