Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Clinical finisher anaitwa Covid-19Kwani huwezi kuwa unaumwa kitu kingine halafu ukapatwa na hiyo cardiac arrest na ukafa papo hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clinical finisher anaitwa Covid-19Kwani huwezi kuwa unaumwa kitu kingine halafu ukapatwa na hiyo cardiac arrest na ukafa papo hapo?
Familia wamejichanganya sana na wamemfanya kikwete aonekane muongo wakati kikwete alienda kumuona kweli na mkweli ni kikwete na Hosptal alipokuwa kikwete anapajua, wanafamilia wamejichanganya sana ni Aibu kubwa
Na hilo ndo kubwa linalosubiliwaStill connecting the relation of Malaria with Cardiac arrest sipati jibu? but kuna uhusiano mkubwa kati ya upumuaji na shambulio la moyo.
Jiongezeni wakubwa, Israel mtoa bado anawinda roho za watu wenye shingo ngumu.
Hivi Pascal form ya ubunge ulichukulia sh ngapi?Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Mkuu kwani Kati ya mtu aliyepokea pass ya mwisho na kutumbukiza kitu nyavuni na mtu aliyewalamba vyenga mabeki wote hadi golikipa Kisha akatoa pasi kwa mfumania nyavu ,nani Kati ya hao wawili amefunga goliSiasa isitugawe jamani, mavi-jana ya Tanzania mbona mnataka kuwa wapumbavu na malofa namna hiyo? Kwani kabla ya Corona watu walikuwa hawafi kwa heart attack? Majitu yamekomalia eti tuongeze na zetu, zipi hizo? Tuache umazwazwa!!
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Nawe pia haujaelewa. Ni malaria ndio imemuua. Ndio imesabisha cardiac arrest. Ni malaria ndio imesabisha kifo. Usitenganishe malaria yake na cardiac arrest. Kinachoitwa kifo/death ndio cardiac arrest hiyo kwa kitaalam.
Tatizo in kuwa unakuta mtu haelewi màana ya cardiac arrest,hajui inatokeaje na hajui inakuwaje baada ya kumpata mtu mtu.We acha tu Kaka...Mkapa alisema TAIFA LINA WAANDISHI KANJANJA.....na hwenda pia tuna madaktari KANJANJA Hawa wa humu MITANDAONI....
NImemuelewa ERIO;
CAUSE OF DEATH:CARDIAC ARREST SECONDARY TO SEVERE(COMPLICATED MALARIA).
Mengine ni POROJO ZA KINDWANYE
Wazee wa nyuma ya pazia na chini ya kapeti hawato kuelewa,wao wameamua kushika la kwao.Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Toka lini Urio atoke masasi.. labda dada ake aliolewa na mchaga
Corona ilishaisha nchiniWewe utakuwa mgeni Tanzania,hao madakitari ulitaka wasema ni corona? Hiyo itabaki Siri yao.acha tuendelee kusubiria tu cardiac arrest nyingine tu maana zitakuwa nyingi kipindi hiki
Rais mstaafu anawezaje kuwa kikwazo ?Kwanini wanafamilia ndio waonekane waongo na wao ndio walikua na mzeee wao ... vaaa nafsi yako Baba yako anakufa Alafu watu wanapotosha ....
Hiki kifo kina siri kubwa
Pengine BWM alikua kikwazo kwenye ajenda fulani
Muda ni Mwalimu tusubiri
Sawa mkuu,imebaki cardiac arrest tu.kumbuka huyu ni kigogo wa pili kuondoka na cardiac arrest,tusubiri yajayoCorona ilishaisha nchini
Hospital ilikua makumbusho ndani muleHospitali ni Dar es Salaam.
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali