Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Ukishajua ugonjwa wa marehemu itakusaidia nini kwenye SHIDA ZAKO?.


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app

Sababu na/au ugonjwa wa marehemu ni somo muhimu labda kuliko yote hapa duniani.

Tafuta dictionary au google kujua maana ya maneno haya:

Autopsy, postmortem na inquest.

Majanga si madhara yake tu, bali pia huwezesha ufumbuzi wa baadaye.

Uzi huu wa janga hili ulikuwa na ambayo leo hali ingeweza kuwa tofauti:

Corona: Ya Burundi ni somo tosha, hala hala majuto ni mjukuu

Ninakazia:

 
Sasa wewe ujue kama nani?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Kama ni hivyo hata wanafamilia wasingesema kafa kwa nini wangesema kafariki tu, kujua kitu Tatizo siyo kupoteza mda, ina maana wanafamilia kusema kilichopoteza uhai ni umbea?
Mnalazimisha watu waongee kwa umbea wenu wa kwenye mitandao na wanasema jambo la uongo lisipokanushwa linageuka kuwa la kweli
 
"Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral"

Msukuma akisoma kidogo inakuwa tabu
 
ndammu,
Kumbuka jana yake kikwete alikuwa hospitali na marehemu wakipiga story, sidhani kama hospitali ni wajinga kuruhusu kikwete kama mkapa angekuwa na corona.
Ni kweli kiongozi. Tumeona hata Rais Magufuli na mkewe Janet wakimkumbatia mama Mkapa tena akiwa analia kwelikweli. Ingekuwa ni Corona wasingeruhusu hata wagusane. Tuache majungu!

Queen Esther
 
Watanzania mshajichomoa medulla oblongata cardiac arrest inakutaarifu kuwa itakuja wakati gani?
 

Nikushauri Paskali sio kila kitu lazima uandike. Kwa kweli bandiko lako la kukosoa itifaki ya state hse halikuwa zuri. Hakuna mashindano sio kila kitu lazima ukosoe. Watu sio wajinga! Ulitaka tangazo litoke asubuhi ili jamaa kama yule kgg na masjangazo wa hiari waandike na kupotosha kama wanavyofanya?

Mambo mengine tuwe tunayaacha yapite. Watu sio wajinga
 
Watanzania wameamua kukataa kuuelewa na kuuishi ukweli na mbaya zaidi Rais wa nchi ni kiongozi wa kundi hilo!

Ninakusoma mkuu. Aliyeandika hayo niliyonukuu in red (heshima kwake bwana kiranga), aliona mbali sana.



Time will tell.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…