Umewaza vyema mkuu ...safi sanandammu,
Kumbuka jana yake kikwete alikuwa hospitali na marehemu wakipiga story, sidhani kama hospitali ni wajinga kuruhusu kikwete kama mkapa angekuwa na corona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza vyema mkuu ...safi sanandammu,
Kumbuka jana yake kikwete alikuwa hospitali na marehemu wakipiga story, sidhani kama hospitali ni wajinga kuruhusu kikwete kama mkapa angekuwa na corona.
Watanzania bibie tumejenga utamaduni wa hovyo kweli kweli when informed by the family I don’t see any reason not to believe . Kila issue ni kupinga imagine hii issue mtu unapinga just because una uwezo wa kujificha nyuma ya keyboardHawa hawajui cardiac arrest. Hiyo kitu mtu mnakula nae. Ghafla mwenzenu anawaacha.
Banda lako..Hospitali ni Dar es Salaam.
Acha ushoga basi,Sijui wataalamu, cardiac arrest ni mara moja tu, sio upate jumatano ufariki Ijumaa
Mbili, issue cardiac nilitegemea angepelekwa Hospitali yetu ya mabingwa wa moyo pale Jakaya Kikwete Cardiac Institute na sio Hospitali Mzna
Tungeacha tu kujadili tumzike Mzee wetu tuendelee na mengine maana tunazidi kuleta mkanganyiko
Ni kweli kiongozi. Tumeona hata Rais Magufuli na mkewe Janet wakimkumbatia mama Mkapa tena akiwa analia kwelikweli. Ingekuwa ni Corona wasingeruhusu hata wagusane. Tuache majungu!
Queen Esther
Yani mnaopoteza muda kubishna na haya mabavicha nawashangaa.Ni kweli kiongozi. Tumeona hata Rais Magufuli na mkewe Janet wakimkumbatia mama Mkapa tena akiwa analia kwelikweli. Ingekuwa ni Corona wasingeruhusu hata wagusane. Tuache majungu!
Queen Esther
Hivi hospital gani siku hizi inapima corona?! I mean kama mtu anahisi ana dalili za korona anaweza kucheki wapiUmeona watu wanavyojiachia? Sijui lakini naamini ingekuwa Corona tahadhari ingechukuliwa. Kingine, kumbuka Mkapa alikuwa 82 yo, Mungu alimpa maisha marefu tu, wengi miaka hii tunakata kamba 30s, 40s na 50s.
Eti alikuwa amelazwa hospitali Dar es Salaam😀Hospitali ni Dar es Salaam.
Aisseeeeeza kumbiwa changanya na zako
Eti alikuwa amelazwa hospitali Dar es Salaam😀
Wamakua hatuna jina kama Hilo Erio atakuwa mchaga,mpare ,msambaa hivyo Hana mamlaka ya kuongelea mwili wa kimakua
Kama sijakosea nadhani pengine ni CEO wa Sasa wa NSSF au pengine ni majina tu yamefanana..
Wasomaji kabla ya kuchangia, jaribu kujua tofauti kati ya cardiac arrest na cardiac (heart) attack. Taarifa inayoongelewa hapa haisemi Mkapa amekufa kwa heart attack. Msitake kuongeza maneno ambayo hayakusemwa na Erio na kwa hiyo hayapo kwenye death certificate ya Mkapa.
Hospital ipi? Kwanini wanashindwa kuitaja? Kwanini alazwe Rais asijue, Makamu wa Rais asijue, Waziri Mkuu asijue? Funguka Ubongo sheheWewe hutaki?
Exactly! Jamaa mjinga kabisaWee jamaa sijui hata kuishi kwako huko Marekani unakuza vipi akili yako! Yani mawazo yako na ya yule msukuma wa kule Sumve ndani kabisa hayana tofauti. Upo hovyo balaa!