Kumbe serikali kupitia jeshi la polisi waliwazuia CHADEMA kama chama kuingia Katesh - Hanang kufariji wahanga wa maafa na kutoa misaada?

Kumbe serikali kupitia jeshi la polisi waliwazuia CHADEMA kama chama kuingia Katesh - Hanang kufariji wahanga wa maafa na kutoa misaada?

Polisi badala ya kufuata Police general order wanyewe wanafuata
Ccm general order
Na ndiyo tatizo la kuchagua Makada wa ccm kuwa viongozi katika jeshi la polisi.
 
Shida na tatizo la CHADEMA ni ulalamishi tu kwa kila jambo na kwamba wanaonewa kwa kila kitu.hata wakikiuka sheria au taratibu au ukiwaeleza na kuwaelekeza kuwa hiki hakipaswi kufanyika kwa sasa au subiri hiki ndipo nanyi mfanye hiki mnachotaka inakuwa ngumu sana kwa CHADEMA kuelewa kwa urahisi.maana walishajiweka katika mazingira ya kutaka kuonekana kuwa wanaonewa kwa kila kitu na kwamba wanahitaji huruma na kuhurumiwa muda wote utafikiri wahanga. Siasa siyo lelemama . Inahitaji akili,maarifa ,mipango, mikakati,mbinu na kujipanga .na siyo kujiendea endea tu kama makondoo .

CHADEMA bado kichanga sana kwa kila kitu.uwezo wake unarudi nyuma kila siku.ukiichukua CHADEMA ya leo ya akina mnyika na lema wake ni dhaifu sana kwa kila kitu na ile CHADEMA ya akina Dr Slaa ya mwaka 2010-2015. CHADEMA ya sasa imekosa ushawishi na mvuto kwa watu.ndio maana haina nguvu ya kuwashawishi watanzania kufanya jambo lolote lile na likafanikiwa. Watanzania hawana imani na CHADEMA kwa sasa.kwa sababu wanafahamu kuwa inaweza kubadili gia wakati wowote ule. Hayupo walijitoa mhanga kwa ajili ya CHADEMA kwa kuwa anajuwa hakuna mzalendo ndani ya chama zaidi ya Usaka Tonge tu.

Jiulize CHADEMA iliyokuwa inamuita mh Lowassa fisadi kwa miaka takribani nane lakini ilimkaribisha ndani ya wiki moja na kumpa nafasi ya kugombea urais .na kusema mwenye anasema Lowassa ni fisadi aende mahakamani au kwanini hajampeleka mahakamani.sasa katika hali kama hii ni nani mwenye akili Timamu anayeweza kuwaamini CHADEMA na kuwaunga mkono? Ni nani anayeweza kuwapigania Chadema kwa jasho na damu wakati anajuwa kesho atatelekezwa? Ni nani atakuwa na ujasiri wa kukemea mtu fulani wakati anajuwa kesho mwenyekiti anaweza waletea kwenye chama na kuwaambia ndiye mgombea na wote inatakiwa waimbe kuwa mabadiliko yataletwa na huyo mtu kama ilivyokuwa kwa mh Lowassa?
Tatizo lako luka unatumia makalio kufikiri.
 
Polisi badala ya kufuata Police general order wanyewe wanafuata
Ccm general order
Na ndiyo tatizo la kuchagua Makada wa ccm kuwa viongozi katika jeshi la polisi.
Mkuu hivi umesahau kuwa hata DCI haijui PGO sasa itakuwa hawa wabebeba mitutu. Sisi hatuna jeshi la polisi bali kuna majambazi yanayovaa uniform.
 
Anaandika Malisa G.J toka FB page yake

Baada ya msafara wa Mbowe kuzuiwa na jeshi la polisi kwenda wilayani Hanan'g kwenye eneo lililokumbwa na maafa, Mbowe alilaumu kitendo hicho kuwa si cha kiiungwana na kinawagawa watanzania kwani wahanga wa Hanan'g wanahitaji faraja ya watu wote.

Mbowe alitaka kuahirisha ziara yake, lakini viongozi waandamizi wa Serikali, na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulinzi na usalama walimpigia na kumsihi asikatishe ziara hiyo. Viongozi hao walimjulisha RPC Manyara kuwa serikali imefuta maagizo yake na kwamba viongozi wa Chadema waruhusiwe kwenda Hanan'g.

Baada ya kuondolewa kwa zuio hilo batili na la "kipumbavu" la Polisi, hatimaye Mbowe na msafara wake wamefika Hanan'g na kutembelea Kata za Katesh, Ganana na Jorodom ambazo zimeathirika zaidi na maafa hayo. Viongozi hao wametembelea baadhi ya kaya na kutoa pole pamoja na kukabidhi misaada mbalimbali ya kibinadamu.

Mhe.Mbowe amesema, "...Tulikusudia kusitisha ziara yetu lakini viongozi kadhaa waandamizi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wametusihi tusikatishe ziara na wametengua zuio la polisi. Tumetafakari na viongozi wenzangu. Hekima imetuelekeza kuwa wahanga wa maafa ya Hanan'g ni Watanzania wenzetu na wanahitaji faraja ya kila mmoja wetu. Nia yetu njema ya kuwapa faraja haiwezi kuzuiliwa na amri batili ya polisi. Tumekubali kuendelea na ziara kama ilivyopangwa awali..."

NOTE:
Sasa naelewa ni kwanini chawa wa CCM wakiongozwa na Lucas mwashambwa walisambaa mitandaoni kurusha propaganda nyingi kuihusu CHADEMA wakiuliza maswali kama;

"...Nani kawaona CHADEMA wamesema au kwenda Hanang kushiriki faraja na kutoa pole kwa wahanga..."

Kumbe haya majamaa yalishafika polisi Manyara na kumtisha RPC na kisha kumpa order ya kijinga na kipumbavu wawazuie CHADEMA kufanya au kuingia Hanang kulia na kufarijiana na ndugu zao waliofiwa na kuathiriwa na janga la maporomoko...

CCM na chawa wao wana tabia mbaya sana zilizojaa ushetani wakionekana kama binadamu hivi lakini tabia, mwenendo na matendo yao ni mashetani ktk sura za binadamu!!

Huu ni ushindi mkubwa kwa Chadema wameonyesha wamekomaa kisiasa wana nia njema tofauti na CCM wanaoigiza huko na kufanya kampeni wakati wao ndio serikali walipaswa kuwajibishwa toka siku ya kwanza.
 
Anaandika Malisa G.J toka FB page yake

Baada ya msafara wa Mbowe kuzuiwa na jeshi la polisi kwenda wilayani Hanan'g kwenye eneo lililokumbwa na maafa, Mbowe alilaumu kitendo hicho kuwa si cha kiiungwana na kinawagawa watanzania kwani wahanga wa Hanan'g wanahitaji faraja ya watu wote.

Mbowe alitaka kuahirisha ziara yake, lakini viongozi waandamizi wa Serikali, na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulinzi na usalama walimpigia na kumsihi asikatishe ziara hiyo. Viongozi hao walimjulisha RPC Manyara kuwa serikali imefuta maagizo yake na kwamba viongozi wa Chadema waruhusiwe kwenda Hanan'g.

Baada ya kuondolewa kwa zuio hilo batili na la "kipumbavu" la Polisi, hatimaye Mbowe na msafara wake wamefika Hanan'g na kutembelea Kata za Katesh, Ganana na Jorodom ambazo zimeathirika zaidi na maafa hayo. Viongozi hao wametembelea baadhi ya kaya na kutoa pole pamoja na kukabidhi misaada mbalimbali ya kibinadamu.

Mhe.Mbowe amesema, "...Tulikusudia kusitisha ziara yetu lakini viongozi kadhaa waandamizi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wametusihi tusikatishe ziara na wametengua zuio la polisi. Tumetafakari na viongozi wenzangu. Hekima imetuelekeza kuwa wahanga wa maafa ya Hanan'g ni Watanzania wenzetu na wanahitaji faraja ya kila mmoja wetu. Nia yetu njema ya kuwapa faraja haiwezi kuzuiliwa na amri batili ya polisi. Tumekubali kuendelea na ziara kama ilivyopangwa awali..."

NOTE:
Sasa naelewa ni kwanini chawa wa CCM wakiongozwa na Lucas mwashambwa walisambaa mitandaoni kurusha propaganda nyingi kuihusu CHADEMA wakiuliza maswali kama;

"...Nani kawaona CHADEMA wamesema au kwenda Hanang kushiriki faraja na kutoa pole kwa wahanga..."

Kumbe haya majamaa yalishafika polisi Manyara na kumtisha RPC na kisha kumpa order ya kijinga na kipumbavu wawazuie CHADEMA kufanya au kuingia Hanang kulia na kufarijiana na ndugu zao waliofiwa na kuathiriwa na janga la maporomoko...

CCM na chawa wao wana tabia mbaya sana zilizojaa ushetani wakionekana kama binadamu hivi lakini tabia, mwenendo na matendo yao ni mashetani ktk sura za binadamu!!

CCM kwa kukumbatia mashetani mengi ndani ya chama na kuyapa nafasi ya kufanya maamuzi, inakifanya Chama Cha Mapinduzi kuwa ni chama cha kishetani.
 
Hivi huyu ana wadhifa gani CCM/serikalini?
Sidhani kama ana wadhifa wowote ila kwa sababu CCM huwa inapenda watu wajinga waropoka hovyo, Mwashambwa ataonekana ni mtetezi wa cha.
 
You wantend to take advantage. Nadhan kuingilia ratiba ya mkuu ni uchokoz wa waz waz.kama abawaacha nakataa.

Nadhani una kiwango kidogo sana cha uelewa. Kama unashindwa hata kuandika sentensi moja ya Kiswahili iliyonyoka, utakuwa na uwezo wa kuelewa hoja inayojadiliwa?
 
Anaandika Malisa G.J toka FB page yake

Baada ya msafara wa Mbowe kuzuiwa na jeshi la polisi kwenda wilayani Hanan'g kwenye eneo lililokumbwa na maafa, Mbowe alilaumu kitendo hicho kuwa si cha kiiungwana na kinawagawa watanzania kwani wahanga wa Hanan'g wanahitaji faraja ya watu wote.

Mbowe alitaka kuahirisha ziara yake, lakini viongozi waandamizi wa Serikali, na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulinzi na usalama walimpigia na kumsihi asikatishe ziara hiyo. Viongozi hao walimjulisha RPC Manyara kuwa serikali imefuta maagizo yake na kwamba viongozi wa Chadema waruhusiwe kwenda Hanan'g.

Baada ya kuondolewa kwa zuio hilo batili na la "kipumbavu" la Polisi, hatimaye Mbowe na msafara wake wamefika Hanan'g na kutembelea Kata za Katesh, Ganana na Jorodom ambazo zimeathirika zaidi na maafa hayo. Viongozi hao wametembelea baadhi ya kaya na kutoa pole pamoja na kukabidhi misaada mbalimbali ya kibinadamu.

Mhe.Mbowe amesema, "...Tulikusudia kusitisha ziara yetu lakini viongozi kadhaa waandamizi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wametusihi tusikatishe ziara na wametengua zuio la polisi. Tumetafakari na viongozi wenzangu. Hekima imetuelekeza kuwa wahanga wa maafa ya Hanan'g ni Watanzania wenzetu na wanahitaji faraja ya kila mmoja wetu. Nia yetu njema ya kuwapa faraja haiwezi kuzuiliwa na amri batili ya polisi. Tumekubali kuendelea na ziara kama ilivyopangwa awali..."

NOTE:
Sasa naelewa ni kwanini chawa wa CCM wakiongozwa na Lucas mwashambwa walisambaa mitandaoni kurusha propaganda nyingi kuihusu CHADEMA wakiuliza maswali kama;

"...Nani kawaona CHADEMA wamesema au kwenda Hanang kushiriki faraja na kutoa pole kwa wahanga..."

Kumbe haya majamaa yalishafika polisi Manyara na kumtisha RPC na kisha kumpa order ya kijinga na kipumbavu wawazuie CHADEMA kufanya au kuingia Hanang kulia na kufarijiana na ndugu zao waliofiwa na kuathiriwa na janga la maporomoko...

CCM na chawa wao wana tabia mbaya sana zilizojaa ushetani wakionekana kama binadamu hivi lakini tabia, mwenendo na matendo yao ni mashetani ktk sura za binadamu!!
Hii ni aibu kwa walio madarakani... Poleni wahanga
 
Una maanisha rais akienda msibani au maafa watu wasiende kwa kuwa rais kaenda?? Mbona maafa mengine mahala pengine hatukuona watu wakizuiliwa kwa sababu ya rais. Msimsingizie mama wa watu.
Kwenda siyo tatizo... Lakini asilimia kubwa ya walioenda walikuwa busy na photo shoots!
Fuatilia
 
Shida na tatizo la CHADEMA ni ulalamishi tu kwa kila jambo na kwamba wanaonewa kwa kila kitu.hata wakikiuka sheria au taratibu au ukiwaeleza na kuwaelekeza kuwa hiki hakipaswi kufanyika kwa sasa au subiri hiki ndipo nanyi mfanye hiki mnachotaka inakuwa ngumu sana kwa CHADEMA kuelewa kwa urahisi.maana walishajiweka katika mazingira ya kutaka kuonekana kuwa wanaonewa kwa kila kitu na kwamba wanahitaji huruma na kuhurumiwa muda wote utafikiri wahanga. Siasa siyo lelemama . Inahitaji akili,maarifa ,mipango, mikakati,mbinu na kujipanga .na siyo kujiendea endea tu kama makondoo .

CHADEMA bado kichanga sana kwa kila kitu.uwezo wake unarudi nyuma kila siku.ukiichukua CHADEMA ya leo ya akina mnyika na lema wake ni dhaifu sana kwa kila kitu na ile CHADEMA ya akina Dr Slaa ya mwaka 2010-2015. CHADEMA ya sasa imekosa ushawishi na mvuto kwa watu.ndio maana haina nguvu ya kuwashawishi watanzania kufanya jambo lolote lile na likafanikiwa. Watanzania hawana imani na CHADEMA kwa sasa.kwa sababu wanafahamu kuwa inaweza kubadili gia wakati wowote ule. Hayupo walijitoa mhanga kwa ajili ya CHADEMA kwa kuwa anajuwa hakuna mzalendo ndani ya chama zaidi ya Usaka Tonge tu.

Jiulize CHADEMA iliyokuwa inamuita mh Lowassa fisadi kwa miaka takribani nane lakini ilimkaribisha ndani ya wiki moja na kumpa nafasi ya kugombea urais .na kusema mwenye anasema Lowassa ni fisadi aende mahakamani au kwanini hajampeleka mahakamani.sasa katika hali kama hii ni nani mwenye akili Timamu anayeweza kuwaamini CHADEMA na kuwaunga mkono? Ni nani anayeweza kuwapigania Chadema kwa jasho na damu wakati anajuwa kesho atatelekezwa? Ni nani atakuwa na ujasiri wa kukemea mtu fulani wakati anajuwa kesho mwenyekiti anaweza waletea kwenye chama na kuwaambia ndiye mgombea na wote inatakiwa waimbe kuwa mabadiliko yataletwa na huyo mtu kama ilivyokuwa kwa mh Lowassa?

We, punguani huelewi hata unachoandika. Wewe ni mbumbumbu na mjinga kupindukia. Huna hata akili za kutofatisha matukio. Kwa akili ndogo uliyo nayo unaona maafa ni kama mkutano wa kampeni. Wewe ni punguani hasa, tena unayejivunia upunguani wako.

Msiba hauna mwaliko wala hauna pingamizi la nani ahudhurie na nani asihudhurie. Ahudhurie lini na asihudhurie lini. Mmekosa akili hadi maarifa.

Huu upumbavu uliouweka hapa, kama ungekuwa na mashiko, unadhani kwa nini wachache wenye akili waliamua kuwabembeleza hao CHADEMA warudi na kuendelea na safari yao ya kuwafariji waliokumbwa na hili janga?

Ndiyo maana unabakia siku zote unaweka kanamba kako ka simu, lakini kila mwenye akili anakupuuza. Unaichafua CCM na Rais, kiasi cha Rais aonekane anatetewa na watu wasio na akili wala upeo.
 
Polisi badala ya kufuata Police general order wanyewe wanafuata
Ccm general order
Na ndiyo tatizo la kuchagua Makada wa ccm kuwa viongozi katika jeshi la polisi.

Tatizo lipo kwa Rais na CCM yake. Siku zote CCM inapenda watu wasio na akili lakini wenye uwezo wa kusifu na unafiki.

Siyo kweli polisi wote hawana akili lakini kwa sababu CCM inapenda sana watu wasio na akili, wanafiki wenye uwezo tu wa kusifu, basi huwapa madaraka makubwa wale polisi wajinga wajinga ili wawatumie kama wanavyotaka.
 
Shida na tatizo la CHADEMA ni ulalamishi tu kwa kila jambo na kwamba wanaonewa kwa kila kitu.hata wakikiuka sheria au taratibu au ukiwaeleza na kuwaelekeza kuwa hiki hakipaswi kufanyika kwa sasa au subiri hiki ndipo nanyi mfanye hiki mnachotaka inakuwa ngumu sana kwa CHADEMA kuelewa kwa urahisi.maana walishajiweka katika mazingira ya kutaka kuonekana kuwa wanaonewa kwa kila kitu na kwamba wanahitaji huruma na kuhurumiwa muda wote utafikiri wahanga. Siasa siyo lelemama . Inahitaji akili,maarifa ,mipango, mikakati,mbinu na kujipanga .na siyo kujiendea endea tu kama makondoo .

CHADEMA bado kichanga sana kwa kila kitu.uwezo wake unarudi nyuma kila siku.ukiichukua CHADEMA ya leo ya akina mnyika na lema wake ni dhaifu sana kwa kila kitu na ile CHADEMA ya akina Dr Slaa ya mwaka 2010-2015. CHADEMA ya sasa imekosa ushawishi na mvuto kwa watu.ndio maana haina nguvu ya kuwashawishi watanzania kufanya jambo lolote lile na likafanikiwa. Watanzania hawana imani na CHADEMA kwa sasa.kwa sababu wanafahamu kuwa inaweza kubadili gia wakati wowote ule. Hayupo walijitoa mhanga kwa ajili ya CHADEMA kwa kuwa anajuwa hakuna mzalendo ndani ya chama zaidi ya Usaka Tonge tu.

Jiulize CHADEMA iliyokuwa inamuita mh Lowassa fisadi kwa miaka takribani nane lakini ilimkaribisha ndani ya wiki moja na kumpa nafasi ya kugombea urais .na kusema mwenye anasema Lowassa ni fisadi aende mahakamani au kwanini hajampeleka mahakamani.sasa katika hali kama hii ni nani mwenye akili Timamu anayeweza kuwaamini CHADEMA na kuwaunga mkono? Ni nani anayeweza kuwapigania Chadema kwa jasho na damu wakati anajuwa kesho atatelekezwa? Ni nani atakuwa na ujasiri wa kukemea mtu fulani wakati anajuwa kesho mwenyekiti anaweza waletea kwenye chama na kuwaambia ndiye mgombea na wote inatakiwa waimbe kuwa mabadiliko yataletwa na huyo mtu kama ilivyokuwa kwa mh Lowassa?
Mkuu umesahau kuweka namba ya simu hapo mwisho
 
Shida na tatizo la CHADEMA ni ulalamishi tu kwa kila jambo na kwamba wanaonewa kwa kila kitu.hata wakikiuka sheria au taratibu au ukiwaeleza na kuwaelekeza kuwa hiki hakipaswi kufanyika kwa sasa au subiri hiki ndipo nanyi mfanye hiki mnachotaka inakuwa ngumu sana kwa CHADEMA kuelewa kwa urahisi.maana walishajiweka katika mazingira ya kutaka kuonekana kuwa wanaonewa kwa kila kitu na kwamba wanahitaji huruma na kuhurumiwa muda wote utafikiri wahanga. Siasa siyo lelemama . Inahitaji akili,maarifa ,mipango, mikakati,mbinu na kujipanga .na siyo kujiendea endea tu kama makondoo .

CHADEMA bado kichanga sana kwa kila kitu.uwezo wake unarudi nyuma kila siku.ukiichukua CHADEMA ya leo ya akina mnyika na lema wake ni dhaifu sana kwa kila kitu na ile CHADEMA ya akina Dr Slaa ya mwaka 2010-2015. CHADEMA ya sasa imekosa ushawishi na mvuto kwa watu.ndio maana haina nguvu ya kuwashawishi watanzania kufanya jambo lolote lile na likafanikiwa. Watanzania hawana imani na CHADEMA kwa sasa.kwa sababu wanafahamu kuwa inaweza kubadili gia wakati wowote ule. Hayupo walijitoa mhanga kwa ajili ya CHADEMA kwa kuwa anajuwa hakuna mzalendo ndani ya chama zaidi ya Usaka Tonge tu.

Jiulize CHADEMA iliyokuwa inamuita mh Lowassa fisadi kwa miaka takribani nane lakini ilimkaribisha ndani ya wiki moja na kumpa nafasi ya kugombea urais .na kusema mwenye anasema Lowassa ni fisadi aende mahakamani au kwanini hajampeleka mahakamani.sasa katika hali kama hii ni nani mwenye akili Timamu anayeweza kuwaamini CHADEMA na kuwaunga mkono? Ni nani anayeweza kuwapigania Chadema kwa jasho na damu wakati anajuwa kesho atatelekezwa? Ni nani atakuwa na ujasiri wa kukemea mtu fulani wakati anajuwa kesho mwenyekiti anaweza waletea kwenye chama na kuwaambia ndiye mgombea na wote inatakiwa waimbe kuwa mabadiliko yataletwa na huyo mtu kama ilivyokuwa kwa mh Lowassa?
Akili yako ni ndogo huwezi kuyaelewa haya mambo. Baada ya Rais Samia kugundua kuwa wahuni ndani ya chama wamemzunguka na kuzuia viongozi wa Chadema kushiriki kwenye haya maafa, aliamrisha kusitisha mara moja hilo katazo. Akina Mbowe tayari walishahamua kusitisha hilo zoezi. Iliwalazimu viongozi waandamizi wa serikali na jeshi la polis wawasihi wasisitishe bali waendelee kama walivyopanga kwasababu itakuwa ni aibu kwa Serikali ya Samia.

Unaposhabikia siasa bila kutumia akili matokeo yake aibu itakuwa juu yako. Kosa la kina Mbowe ni nini? Maafa yametokea, wao hawana vyombo wala budget ya maafa, mlinataka wafanyeje? Kuna ubaya gani wao kuwepo sambamba na uwepo wa Rais? Ushamba tu wa siasa na kutotumia akili. Nina hakika haya yalipangwa na watu wenye akili ndogo kama zako, Rais mwenyewe hakujua.
 
Anaandika Malisa G.J toka FB page yake

Baada ya msafara wa Mbowe kuzuiwa na jeshi la polisi kwenda wilayani Hanan'g kwenye eneo lililokumbwa na maafa, Mbowe alilaumu kitendo hicho kuwa si cha kiiungwana na kinawagawa watanzania kwani wahanga wa Hanan'g wanahitaji faraja ya watu wote.

Mbowe alitaka kuahirisha ziara yake, lakini viongozi waandamizi wa Serikali, na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulinzi na usalama walimpigia na kumsihi asikatishe ziara hiyo. Viongozi hao walimjulisha RPC Manyara kuwa serikali imefuta maagizo yake na kwamba viongozi wa Chadema waruhusiwe kwenda Hanan'g.

Baada ya kuondolewa kwa zuio hilo batili na la "kipumbavu" la Polisi, hatimaye Mbowe na msafara wake wamefika Hanan'g na kutembelea Kata za Katesh, Ganana na Jorodom ambazo zimeathirika zaidi na maafa hayo. Viongozi hao wametembelea baadhi ya kaya na kutoa pole pamoja na kukabidhi misaada mbalimbali ya kibinadamu.

Mhe.Mbowe amesema, "...Tulikusudia kusitisha ziara yetu lakini viongozi kadhaa waandamizi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wametusihi tusikatishe ziara na wametengua zuio la polisi. Tumetafakari na viongozi wenzangu. Hekima imetuelekeza kuwa wahanga wa maafa ya Hanan'g ni Watanzania wenzetu na wanahitaji faraja ya kila mmoja wetu. Nia yetu njema ya kuwapa faraja haiwezi kuzuiliwa na amri batili ya polisi. Tumekubali kuendelea na ziara kama ilivyopangwa awali..."

NOTE:
Sasa naelewa ni kwanini chawa wa CCM wakiongozwa na Lucas mwashambwa walisambaa mitandaoni kurusha propaganda nyingi kuihusu CHADEMA wakiuliza maswali kama;

"...Nani kawaona CHADEMA wamesema au kwenda Hanang kushiriki faraja na kutoa pole kwa wahanga..."

Kumbe haya majamaa yalishafika polisi Manyara na kumtisha RPC na kisha kumpa order ya kijinga na kipumbavu wawazuie CHADEMA kufanya au kuingia Hanang kulia na kufarijiana na ndugu zao waliofiwa na kuathiriwa na janga la maporomoko...

CCM na chawa wao wana tabia mbaya sana zilizojaa ushetani wakionekana kama binadamu hivi lakini tabia, mwenendo na matendo yao ni mashetani ktk sura za binadamu!!
Nchi inaendeshwa kwa maagizo na siyo Katiba na sheria ni anguko kubwa kwa utawala bora.

Nchi inaendeshwa kama kijiwe vile. Zinatoka amri za kipuuzi kwa kuridhisha nafsi za watawala bila kujali athari zake.

Upuuzi umewajaa wenye mamlaka wanadhani sisi wote ni wapumbavu kama wao
 
Shida na tatizo la CHADEMA ni ulalamishi tu kwa kila jambo na kwamba wanaonewa kwa kila kitu.hata wakikiuka sheria au taratibu au ukiwaeleza na kuwaelekeza kuwa hiki hakipaswi kufanyika kwa sasa au subiri hiki ndipo nanyi mfanye hiki mnachotaka inakuwa ngumu sana kwa CHADEMA kuelewa kwa urahisi.maana walishajiweka katika mazingira ya kutaka kuonekana kuwa wanaonewa kwa kila kitu na kwamba wanahitaji huruma na kuhurumiwa muda wote utafikiri wahanga. Siasa siyo lelemama . Inahitaji akili,maarifa ,mipango, mikakati,mbinu na kujipanga .na siyo kujiendea endea tu kama makondoo .

CHADEMA bado kichanga sana kwa kila kitu.uwezo wake unarudi nyuma kila siku.ukiichukua CHADEMA ya leo ya akina mnyika na lema wake ni dhaifu sana kwa kila kitu na ile CHADEMA ya akina Dr Slaa ya mwaka 2010-2015. CHADEMA ya sasa imekosa ushawishi na mvuto kwa watu.ndio maana haina nguvu ya kuwashawishi watanzania kufanya jambo lolote lile na likafanikiwa. Watanzania hawana imani na CHADEMA kwa sasa.kwa sababu wanafahamu kuwa inaweza kubadili gia wakati wowote ule. Hayupo walijitoa mhanga kwa ajili ya CHADEMA kwa kuwa anajuwa hakuna mzalendo ndani ya chama zaidi ya Usaka Tonge tu.

Jiulize CHADEMA iliyokuwa inamuita mh Lowassa fisadi kwa miaka takribani nane lakini ilimkaribisha ndani ya wiki moja na kumpa nafasi ya kugombea urais .na kusema mwenye anasema Lowassa ni fisadi aende mahakamani au kwanini hajampeleka mahakamani.sasa katika hali kama hii ni nani mwenye akili Timamu anayeweza kuwaamini CHADEMA na kuwaunga mkono? Ni nani anayeweza kuwapigania Chadema kwa jasho na damu wakati anajuwa kesho atatelekezwa? Ni nani atakuwa na ujasiri wa kukemea mtu fulani wakati anajuwa kesho mwenyekiti anaweza waletea kwenye chama na kuwaambia ndiye mgombea na wote inatakiwa waimbe kuwa mabadiliko yataletwa na huyo mtu kama ilivyokuwa kwa mh Lowassa?
Kijana wa hovyo katika kilele chako😀
 
Back
Top Bottom