Kumbe siku hizi ukitaka ku sponsor post kuna kulipia VAT? Imeanza lini hii?

Kumbe siku hizi ukitaka ku sponsor post kuna kulipia VAT? Imeanza lini hii?

Point of No Return 19

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2023
Posts
203
Reaction score
472
Screenshot_20240306-102047.png


Huu utaratibh Umeanza lini daah
 
Toka zamani upo,
Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa lako kijana, ni kawaida tu,
Makampuni hayawez kuwa yanatengeneza mpunga Bongo bila kodi
Zamani haikuwepo. Imeanza kama ina miezi mitatu hadi minne.
 
Kwani kodi si alitakiwa alipe huyo mwenye kampuni ya matangazo au me ndy sijaelewa? Maan me naboost tangazo bado xijauza bidhaa
 
Back
Top Bottom