Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!!
Naomba kuwasilisha
Kumbe Simba haikuanzishwa na malofa kama wale wengine.
Naomba kuwasilisha
Kumbe Simba haikuanzishwa na malofa kama wale wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujui historia ya Simba wewe Simba imeanzishwa na Yanga walipokua Yanga wakajitoa wakaenda kuungana na Waarabu wakaunda timu inaitwa Queens, mbumbumbu baadae wakabadiri jina kutoka Queens kwenda Sunderland, mbumbumbu baada ya Sunderland wakabadiri tena wakaanza kujiita Simba ila walitoka Yanga, na Yanga haijawahi kubadilishwa ovyoovyo majina Jina limebakia vile vile tangu ianzishwe
Mtoto wa 2014 kaachiwa simu na mama yake baada afanye homework anachezea JFUnatafuta vita na vijana wa Magoma
Hamna sio kweli...wewe unaweza kuumzaa baba ako?vitabu vimeeleza yanga imeanzishwa na malofa alafu unakuja kuleta hadithi hapa...Kwanza nikueleweshe tu we lofa kabla ya mwaka 1961 kulikuwa hamna nchi inayoitwa Tanzania,wala ligi,wala Simba na yanga ...hizo timu unazoongelea ni za watumwa..Timu za Tanzania zimeanza mwaka 1961 lofa weweHaujui historia ya Simba wewe Simba imeanzishwa na Yanga walipokua Yanga wakajitoa wakaenda kuungana na Waarabu wakaunda timu inaitwa Queens, mbumbumbu baadae wakabadiri jina kutoka Queens kwenda Sunderland, mbumbumbu baada ya Sunderland wakabadiri tena wakaanza kujiita Simba ila walitoka Yanga, na Yanga haijawahi kubadilishwa ovyoovyo majina Jina limebakia vile vile tangu ianzishwe
kijana hajawahi kufatilia historia huyo hapa mtabishana mpk vimishipa viume achana nao wajitape halafu shughuli tunamaliza tarehe 19 wanaanza kushikana mashati nakuoigana ngwara nani mchawi...😂Haujui historia ya Simba wewe Simba imeanzishwa na Yanga walipokua Yanga wakajitoa wakaenda kuungana na Waarabu wakaunda timu inaitwa Queens, mbumbumbu baadae wakabadiri jina kutoka Queens kwenda Sunderland, mbumbumbu baada ya Sunderland wakabadiri tena wakaanza kujiita Simba ila walitoka Yanga, na Yanga haijawahi kubadilishwa ovyoovyo majina Jina limebakia vile vile tangu ianzishwe
Simba imetokea Yanga mbumbumbu wewe walijitenga mwaka 1936 wakaenda kuungana na Waarabu wakaunda timu inaitwa Queens (1936-1948), wakabadiri tena wakajiita Eagles yaan Tai na hio ni baada ya kutaniwa na Yanga kwa jina wanalolitumia la klabu yao ya 'Queens' wakiwa wanawaona km warembo fulani, wakabadiri tena wakajiita Dar Sunderland, wakabadiri tena mwaka 1971 wakajiita Simba kwa ushauri wa Hayati Abedi Karume kua Sunderland limekaa kikoloni kwanini wasitumie majina ya kwao ya kiafrika ndio likaja jina la klabu kuitwa Simba na Karume alihudhuria maana yeye ndie alieshauri jina libadilishwe kwa hio unaweza sema muasisi wa jina la klabu ya Simba kuitwa Simba ni yeye Japo wenyewe hawasemi hivyoHamna sio kweli...wewe unaweza kuumzaa baba ako?
heri tu kushabikia mpira ndugu!ila hii mipira imeharibu sana jamii yetu aisee
Hujui chochote kuhusu simba kuanzishwa kwake, kwa kifupi simba ilianzishwa na kuitwa queens kabla ya kuitwa sunderlandHapo vip!!
Naomba kuwasilisha
Kumbe Simba haikuanzishwa na malofa kama wale wengine.
View attachment 3121076
Kisa hatuvai kombati mchana jua kali kama mbowe!?ila hii mipira imeharibu sana jamii yetu aisee
Hizo timu mwaka 1936 na 1948 zilikuwa zinacheza ligi gani?na katika nchi inayoongozwa na rais gani?Simba imetokea Yanga mbumbumbu wewe walijitenga mwaka 1936 wakaenda kuungana na Waarabu wakaunda timu inaitwa Queens (1936-1948), wakabadiri tena wakajiita Eagles yaan Tai na hio ni baada ya kutaniwa na Yanga kwa jina wanalolitumia la klabu yao ya 'Queens' wakiwa wanawaona km warembo fulani, wakabadiri tena wakajiita Dar Sunderland, wakabadiri tena mwaka 1971 wakajiita Simba kwa ushauri wa Hayati Abedi Karume kua Sunderland limekaa kikoloni kwanini wasitumie majina ya kwao ya kiafrika ndio likaja jina la klabu kuitwa Simba na Karume alihudhuria maana yeye ndie alieshauri jina libadilishwe kwa hio unaweza sema muasisi wa jina la klabu ya Simba kuitwa Simba ni yeye Japo wenyewe hawasemi hivyo
Soma hapa wameandika second to who?
![]()
Simba S.C. - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hizo timu mwaka 1936 na 1948 zilikuwa zinacheza ligi gani?na katika nchi inayoongozwa na rais gani?Simba imetokea Yanga mbumbumbu wewe walijitenga mwaka 1936 wakaenda kuungana na Waarabu wakaunda timu inaitwa Queens (1936-1948), wakabadiri tena wakajiita Eagles yaan Tai na hio ni baada ya kutaniwa na Yanga kwa jina wanalolitumia la klabu yao ya 'Queens' wakiwa wanawaona km warembo fulani, wakabadiri tena wakajiita Dar Sunderland, wakabadiri tena mwaka 1971 wakajiita Simba kwa ushauri wa Hayati Abedi Karume kua Sunderland limekaa kikoloni kwanini wasitumie majina ya kwao ya kiafrika ndio likaja jina la klabu kuitwa Simba na Karume alihudhuria maana yeye ndie alieshauri jina libadilishwe kwa hio unaweza sema muasisi wa jina la klabu ya Simba kuitwa Simba ni yeye Japo wenyewe hawasemi hivyo
Soma hapa wameandika second to who?
![]()
Simba S.C. - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hiyo inaelekea unaifahamu wewe peke yako??Haujui historia ya Simba wewe Simba imeanzishwa na Yanga walipokua Yanga wakajitoa wakaenda kuungana na Waarabu wakaunda timu inaitwa Queens, mbumbumbu baadae wakabadiri jina kutoka Queens kwenda Sunderland, mbumbumbu baada ya Sunderland wakabadiri tena wakaanza kujiita Simba ila walitoka Yanga, na Yanga haijawahi kubadilishwa ovyoovyo majina Jina limebakia vile vile tangu ianzishwe
Kwanini isiharibu jamii walioendelea maana mdio wapo mbali sana kisokaila hii mipira imeharibu sana jamii yetu aisee