Yes Angela Merkel kama alibi wakomunisti wengine ndiyo hamlets Shia zote hizi za Waislam huko Ulaya. Huko UK kuna wakomunisti wengine wa Labour wakiongozwa na waziri Mkuu Keir Starmer na lile jitu jeusi David Lammy na wenyewe wanawakumbatia WaislamLeo nilikuwa natazama habari inayohusu ujerumani uchumi wake kuwa katika hali mbaya, na mtu anayelaumiwa kuwa ndo chanzo cha yote ni mstaafu Angela Markel, na kati ya vitu anavyolaumiwa ni kuruhusu wakimbizi wengi kuingia ujerumani kutoka middle east. Wakimbizi hawa wamepewa kazi na mengi na wanazaana kuliko wajerumani.
View: https://x.com/amjadt25/status/1870410407602540915