FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu, kuna viwanda kadhaa hapa nchini lakini vichache. Mfano kuna kiwanda cha kutengeneza Pipe za chuma za maji. Pia Dad kuna kiwanda cha kutengeza midori ya magari ya watoto kuchezea
Ubora upoje?,maana wadosi kwa magumashi hawajambo!..
Nasikia ni durable sana..!