Kuambiwa KUTUBU imekuwa kosa? Yeye atubu tu, hakuna namna.Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
😱😱😱😱😱😱Mume wa dada Bashite amejipa kazi nyingi sana zisizo za lazima. Ufalme utamshinda.
Kutubu mkuu halina mmoja na wote kwa imani zetu tunahitajika kufanya ivyo, wewe tayari umeshatubu?Ndio uwe unanyoosha maelezo usidhani humu vilaza kama mnaoambiwa kutubu mnapiga chenga bhana.... kwani vipppp...... si mtubu tu bhana.....
Nani? Mkuu.Unasema nini? Unapajua Africana? Dar es Salaam upande wa kushoto ukielekea Bagamoyo? Kuna eneo kuuubwa kama pori sasa hivi kuna, Total Petrol Station na yard na Godowns mbali mbali mpaka Shule ya HOPAC ni mali yao na ni baadhi tu ya sehemu za mali zao. Jengo lililokuwa Sheraton sasa Serena wana hisa nyingi tu. Usikurupuke.
Unafikiri Kakobe ana kona kona kama zako au Magu..... hakuna cha kona kona ni kunyooka tu.... kwanza ndio wanampa ujasiri zaidi wakukemea maovu ya huyo mtukufu wenu..... akatubu tu Magu.... unadhani maisha yake Kakobe ni kama ya hao unaowafaaham....Akome koropoka sasa yatagundulika na mengine ambayo jamii ilikuwa haijui kuhusu kazi zake
Watu wanawekeana maneno mdomoni ili kukidhi haja za mioyo yao.Kakobe hajakataa, kwahio huwezi kusema Ungekua Kakobe!! Tumpe muda tuone!!!
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
NYUMBU WA KANISA LA KAKOBE WE!!waache waendelee kumfuatilia ili wapewe za uso vizuri. hawamjui nafikiri. the more they play with him the more they disclose their weaknesses
wewe utakuwa mbwa jike wa wapi mzee? kama mimi ni nyumbu?NYUMBU WA KANISA LA KAKOBE WE!!
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Hivi wanawake watasema nini kama mwanaume unazungumza maneno ya kwenye kitchen partySi alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
walikuwa hawajui kama ana pesa kiasi hichokama ni kweli shame on them. inammana siku zote hizo walikuwa wapi wasimfuatilie!!!
walikuwa hawajui kama ana pesa kiasi hicho