Tetesi: Kumbe TRA bado wanamfuatilia Askofu Kakobe

Tetesi: Kumbe TRA bado wanamfuatilia Askofu Kakobe

Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Kuambiwa KUTUBU imekuwa kosa? Yeye atubu tu, hakuna namna.
 
Kitu kidogo cha kutumia busara matokeo yake wanatumia misuli
 
Wakishakuwa na hela hawa manabii wanasshau kazi zao za kuhubiri injili wanjiingiza kwenye siasa...
 
Akome koropoka sasa yatagundulika na mengine ambayo jamii ilikuwa haijui kuhusu kazi zake
 
Ndio uwe unanyoosha maelezo usidhani humu vilaza kama mnaoambiwa kutubu mnapiga chenga bhana.... kwani vipppp...... si mtubu tu bhana.....
Kutubu mkuu halina mmoja na wote kwa imani zetu tunahitajika kufanya ivyo, wewe tayari umeshatubu?
 
Unasema nini? Unapajua Africana? Dar es Salaam upande wa kushoto ukielekea Bagamoyo? Kuna eneo kuuubwa kama pori sasa hivi kuna, Total Petrol Station na yard na Godowns mbali mbali mpaka Shule ya HOPAC ni mali yao na ni baadhi tu ya sehemu za mali zao. Jengo lililokuwa Sheraton sasa Serena wana hisa nyingi tu. Usikurupuke.
Nani? Mkuu.
 
Akome koropoka sasa yatagundulika na mengine ambayo jamii ilikuwa haijui kuhusu kazi zake
Unafikiri Kakobe ana kona kona kama zako au Magu..... hakuna cha kona kona ni kunyooka tu.... kwanza ndio wanampa ujasiri zaidi wakukemea maovu ya huyo mtukufu wenu..... akatubu tu Magu.... unadhani maisha yake Kakobe ni kama ya hao unaowafaaham....
 
Wanasumbuliwa na masifa kwa Mzee Mkulu.

Ningekuwa Rais Ningewatumbua wote wanaoshughulika na Askofu Kakobe, Kwani walikuwa wapi mpaka sasa waanze kukurupuka.

Kwa maana nyingine walikuwa hawajui kazi yao.

Leo Hii Kadinali Pengo akiikosoa serikali mtakurupuka tena kumdai hizo bank statments?

Zaidi ya Yote, Mimi sio Muumini wa Ask Kakobe.


LAKINI HII INAONYESHA UDHEHEBU ULIVYO TAMALAKI KWA VIONGOZI WA NCHI NA TAASISI ZAKE.

Mbona Niyemugizi hamkumtaka hizi taarifa za bank?


Shime Rais Wangu chonde chonde, usijiingize kwenye migogoro na viongozi wa dini. Utaharibikiwa na utaona Urais Mchungu kama shubiri.
 
Kwa mfano wakamchunguza then wakakuta hana hizo fedha what next? Yaani kama ilivyokuwa kwa Dk Shika.
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka

Unaona sifa watu kufunga maduka kisa wameona TRA utumwa mbaya sana tena ule wakujiona uko free
 
Hii nchii uktakaa kukaa salamaa usiambiwee mzimbabwee.. Au usifatiliwee kuitwaa fisadii AAU mlarushwaa kmaa nyaranduu chaguaa mojaaa. Bakii njiaa kuu fitiem au kaa kmyaa sifiaa chatyoo roryaaa. Utafrahiaaa hii nchii
 
waache waendelee kumfuatilia ili wapewe za uso vizuri. hawamjui nafikiri. the more they play with him the more they disclose their weaknesses
NYUMBU WA KANISA LA KAKOBE WE!!
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Hivi wanawake watasema nini kama mwanaume unazungumza maneno ya kwenye kitchen party
 
Mdomo uliponza kichwa,acha statement zionekane alafu atuambie kama alilipa kodi.
 
Mtu yoyote au kampuni yoyote inaweza kufanyiwa special Audit na TRA mda wowote zikipatikana taarifa kwamba huenda halipi kodi kikamilifu. Kwa kujisemea kwamba ana hela kuliko serikali, ni lazima TRA wachunguze maana ni kazi yao, hawawezi kuzikalia tu hizo taarifa.
 
Back
Top Bottom