Kuwa mwangalifu kijana..hata km hujui thamani ya uhai wako, jali uhai wa ndugu zako, makosa ya mtu yanaweza mfanya Mungu kuadhibu hata generation ya tatu mbele..acha kuweka jukwaa kwa watu wasiojua thamani ya maisha yao kumdhihaki Mungu na Mtumishi wake..Kosa langu nikuleta taarifa? Basi Nisamehe saaana Mimi
Tz siyo mahali salama kwa kuishiKuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
Hirizi zimetingishikaSi alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Wapi nimedhihaki, hongera kwa kuniita Kijana!! Umesoma title ya Habari yenyewe au unasoma ili ujibu, wewe ndio unayemjua Mungu zaidi ya wengine? OK Nimefika MwishoKuwa mwangalifu kijana..hata km hujui thamani ya uhai wako, jali uhai wa ndugu zako, makosa ya mtu yanaweza mfanya Mungu kuadhibu hata generation ya tatu mbele..acha kuweka jukwaa kwa watu wasiojua thamani ya maisha yao kumdhihaki Mungu na Mtumishi wake..
Maneno haya uliyoandika yanaonyesha hujui sababu ya uwepo wako hapa duniani..endelea![emoji2] [emoji1] kabisa Kakobe kajikanyaga mwenyewe na sifa zake za kijinga.
...acha kuweka jukwaa kwa watu wasiojua thamani ya maisha yao kumdhihaki Mungu na Mtumishi wake..Wapi nimedhihaki, hongera kwa kuniita Kijana!! Umesoma title ya Habari yenyewe au unasoma ili ujibu, wewe ndio unayemjua Mungu zaidi ya wengine? OK Nimefika Mwisho
Aunt comments zako zinanikosha rohoWale wenye hirizi roho ziko juu juu
Lesson ur shameful face..Na Kweli anatakiwa arudi kakonko akachunge ngombe, hana adabu hata kidogo na pia iwe lesson for others
Ingekuwa hivyo asingebabaika na kuanza kubadili maana ya 'nina pesa kuliko serikali', Kakobe alisahau
Kuwa Jakaya kastaafu sio Rais Tena wakati anaropoka!
Kakobe hajakataa, kwahio huwezi kusema Ungekua Kakobe!! Tumpe muda tuone!!!Mbona hili halina tatizo; kama Kakobe ambaye amemtaka Magufuli atubu kwa kile anachoona amekifanya au anakifanya vibaya ni lazima afanye hivyo yeye mwenyewe akiwa hana boriti jichoni. Kama mimi ni ningekuwa Kakobe ningetoa taarifa zote wanazotaka kuonesha jinsi gani alivyo mwenye maadil na hivyo kuondoa utata wowote dhidi yake.
Mpumbavu tena? Unawezaje kujibu hoja za Mpumbavu kama na wewe mpumbavu? Tujikite kwenye hojaKwani yeye ni nani hata asifuatiliwe ili alipe kodi stahiki? Napongeza kwa 100% hizo juhudi za kutafuta kodi za serikali. Jitu linaanzisha ujinga wa kuikosoa na kuidharau serikali na kumtolea kiongozi wa nchi maneno ya dharau halafu serikali ikionyesha si ya kudharauliwa mipumbavu mingine inamtetea wacha atizammwe hayo mapato yake na alipe kodi kama wengine kama ni kazi ya kuzungumza na kupiga makelele na kutapeli watu kwenye hilo banda lake sas ajue serikali ni nini?
https://www.economist.com/news/midd...aders-are-turning-revenue-collectors-scourgesKwani yeye ni nani hata asifuatiliwe ili alipe kodi stahiki? Napongeza kwa 100% hizo juhudi za kutafuta kodi za serikali. Jitu linaanzisha ujinga wa kuikosoa na kuidharau serikali na kumtolea kiongozi wa nchi maneno ya dharau halafu serikali ikionyesha si ya kudharauliwa mipumbavu mingine inamtetea wacha atizammwe hayo mapato yake na alipe kodi kama wengine kama ni kazi ya kuzungumza na kupiga makelele na kutapeli watu kwenye hilo banda lake sas ajue serikali ni nini?
Mi sikujua kama toba ina process ndefu hiviKuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
TRA ya matukioNiwajibu wa serikal na sio vby
Kujipatia fedha kwa wapumbavu kwa njia haramu kama makanisa mengi mengi ya watu binafsi na kutokulipa kodi ni kufanya watu wajinga,sasa hao wajinga wakizinduka na kudai kodi zao mjinga anakua yeye wacha wamchembue kama karanga alipe kodi asilete utapeli. Linadanganya watu na kuwaibia "waumini" na kudai ni sadaka alipe kodiiiiii nyambafu yakeMpumbavu tena? Unawezaje kujibu hoja za Mpumbavu kama na wewe mpumbavu? Tujikite kwenye hoja