Tetesi: Kumbe TRA bado wanamfuatilia Askofu Kakobe

Tetesi: Kumbe TRA bado wanamfuatilia Askofu Kakobe

How sure are kama uyo kakobe anaweza kwenda mbinguni au unafkr kutoa neno na kuombea watu inamansha yy n msafi cku zote. Hebu kuwa unawaza bac had hili!!! na kisa siku wanakwambiaga nisikilze nachokufundisha mm ila c kutazama maisha yangu maana yake unaijua ww
Anae kwambia umsikilize akisemacho usifuate matendo yake huyo nifeki.... yena umeliwa weweee......... unadhani Kakobe anfundisha hivyo...... tatizo unakurupuka ila kufanya utafiti juu ya mtu husika..... kipindi anarusha vipindi vyake (2006)...... aliwahikuonesha mali zake kwenye tv.... sasa mwambie magu afanye hivyo na wamchimbe kama wanavyofanya kwa Kakobe uone kama atasalimika.....

Hapo alipo anavimeo kibao uuzaji wa nyumba za serikali......


We tuliza chini kalio usubiri mwisho wa move hii ya kipuuzi.... sio kushadadia vitu bila luwa na ufaham wa kutosha........... karagabahoooooo
 
Yeye sio mjinga 99% ya pesa zake ziko nje ya nchi.

Ingekuwa hivyo asingebabaika na kuanza kubadili maana ya 'nina pesa kuliko serikali', Kakobe alisahau
Kuwa Jakaya kastaafu sio Rais Tena wakati anaropoka!
 
Mambo ya kipuuzi sana. Hivi ACACIA walitulipa yale mabilioni yetu as per TRA's invoice?
Walipe kwavigezo vip....... hawa wakurupukaji wanakitu hawa.... hamna kitu zaidi ya kutumia mihemko kuliko akili.... hahahaaaa
 
Ni wajibu wa serikali na sio umbeya kama ufikiriavyo

Acha uchizi wewe!
Hiyo serikali kama inajua wajibu ilikuwa wapi tangu Jan, 2014? TRA walikuwa wapi muda wote huo??Kama huwa unaskiaga umbeya na unafiki ndo huu.......!!!!
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Alikwambia ana pesa kuliko serikali IPI? Je akisema ni serikali ya mtaa wa msichoke utamshtaki?
 
Wacha apande alicho kitafuta
Dharau zake haziwezi vumilika
ni mpuuzi sana huyu
kipindi cha Nyerere kulitokea mpuuzi kama huyu Alicho fanyiwa alikijua mwenyewe.
Huwezi dharau serikali wakati serikali ndio kila kitu ktk maisha yako
Acha uvivu wa kufikiria Ww serikali sio kilakitu kwangu wala kwa mzalendo yoyote serikali inaweza isiwepo au ikaondolewa ila Tanzania (Tanganyika) itabaki
 
Itapendeza kama wakiyaandikia makanisa na misikiti yote Tanzania tujue wameamua kufanya uhakiki katika hizo taasisi. Maana nyingine wanazishutumu zinafadhiri ugaidi,nyingine kusapoti upinzani.

Nasubiria kwa wengine huyu kazi imeisha. Kuwa saidia tu waanze na Gwajei kama hajawataja wao.
 
wamesahau na fedha zilizoko MPESA,TIGOPESA N.K

baada ya zoezi hili TRA ituambie kama ni kweli KAKOBE ana fedha kuliko serikali yetu.
Kama ni kweli watuambie kama amelipakodi stahiki na zilielekezwa sekta ipi.

Kama ni uongo ashitakiwe

Kakobe have already disclosed that he meant SPIRITUAL RICHNESS and not monie!
TRA waone aibu kuhangaiika na Kakobe ati wana tafuta kodi.....Kama TRA wana jeuri ya kum-beep Mungu kutaka SADAKA zikatwe kodi, basi TRA na Magufuli wao wajiandae to receive calls from God...!!!!
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Safi sana mkuu.
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka


Hii ni peugeon holing..so stupid!

Hii government bwana...!!
 
...Kweli hana ivdens? Hiyo barua iloandikwa na kiwekwa saini ni nini kama siyo KIZIBITI cha anachokisema?
Sign iko wapi mkuu.... hiyo hata wewe unaweza andika mbona barua ya kawida sana hata dogo wa f4 ana draft......


Tuoneshe ilipo signature ya mwandishi.... au nani kaandika... mbona hakuna jina...hahahaaaaa
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka

Hii ni nchi huru hata wewe dogo una uhuru wa kusema una hela kuliko serikali ya marekani. Itastaabisha kama utachunguzwa kwa usemi wako!
 
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
....Matumizi mabaya sana ya rasilimali zetu na kodi zetu, no wonder mapato yanashuka kila kukicha maana wana focus kwenye mambo yasiyo na tija.
 
Kama kweli angekuwa ana hela kuliko nchi yake basi tra wangemjua tu wala sio swala la kujiuliza
 
Back
Top Bottom