Tetesi: Kumbe TRA bado wanamfuatilia Askofu Kakobe

Tetesi: Kumbe TRA bado wanamfuatilia Askofu Kakobe

Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....


Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake

Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Hakuna cha serikali ni genge tu fulani kwa maslahi ya mtu fulani.

Kuna mambo ya msingi TRA wanatakiwa wafanye, waache kutumika
 
Alifikiri Dola haijui Kama Fedha zake chafu anaficha kwa Watoto wake!
 
Na bado maana nchi hii kuna watu wana sifa saa kwani hao wachungaji nchi zngn hawapo na kuna matatzo ila wanadeal na mambo yao ila uko kwetu uswahili had chooni.Anthon lusekera yule mzee ana mkwaja sana ila yupo kmy kmy utadhan ayupo na anapga kaz km nn ila hawa wengn had tunawachoka
Kweli kuna wajinga wengi tu... juzi tu hapa Congo kanisa katoliki limefanya maandamano dhidi ya Rais Kabila kumshinikiza atoke madalakani..... afu unatuletea ujinga huo....nyie mkatubu tu hamna namna
 
Kweli kuna wajinga wengi tu... juzi tu hapa Congo kanisa katoliki limefanya maandamano dhidi ya Rais Kabila kumshinikiza atoke madalakani..... afu unatuletea ujinga huo....nyie mkatubu tu hamna namna
Labda ukatubu ww unahc mie nna akili kama yako kumwamn kakobe wako kuliko mungu mwnyw.

Kuna unaelew mfano wa nchi moja c ktu kutolea mfano tunaangalia majority huo upuuz haupo mtu kuongea upuuz kisa yy nan hii nchi n yetu sote acha kudanganywa.

Huo uhuru unaousemea wapi unahc upo mbona marekan kila cku maandamano na sometys hawafui dafu kwa serkali.
 
Kweli kuna wajinga wengi tu... juzi tu hapa Congo kanisa katoliki limefanya maandamano dhidi ya Rais Kabila kumshinikiza atoke madalakani..... afu unatuletea ujinga huo....nyie mkatubu tu hamna namna
Unaifananisha Tanzania na Congo?
 
Ndio maana watoto hawatakiwi kua na majina mawili ya baba ona hao walivyodakwa
 
That means usipo sema una pesa hufuatiliwi?
 
Ndio maana watoto hawatakiwi kua na majina mawili ya baba ona hao walivyodakwa

Sie Marehemu Mzee wetu alirithi tabia hiyo kwa Marehemu baba yake ( Babu yetu)

Yeye na Nduugu zake ( baba zetu wakubwa wadogo na mashangazi) wote walitumia majina yenye ubini tofauti

Haya Mimi na Ndugu zetu Hatuna majina ya Kiarabu wala ya kizungu na second names zetu na surname hazifanani wala huwezi kujua Kama ni Ndugu

Somehow tuliepuka Fitna za wakati huo na tukapenya tulipopaswa kukwama

Dola ilishajua Msingi wa kiburi cha Kakobe
 
Na vipi wakaja kujua kwamba hana pesa kuliko serikali[emoji41][emoji41]
 
Wacha apande alicho kitafuta
Dharau zake haziwezi vumilika
ni mpuuzi sana huyu
kipindi cha Nyerere kulitokea mpuuzi kama huyu Alicho fanyiwa alikijua mwenyewe.
Huwezi dharau serikali wakati serikali ndio kila kitu ktk maisha yako
Hawana jipya hawa.... unadhani kwakufanya hivyo ndio watambabaisha Kakobe thubutuuuuu....
 
Si alisema yeye ni tajiri kuzidi serikali?, acha wafanyie kazi kauri yake.
Pia wahenga walisema, mdomo uliponza kichwa
Sasa unadhani kumfatilia ndio wataondoa au kubadili imani yake kuwa yeye ni tajiri kuliko serikali yeyote hapa duniani.......


Mwambie Magu akate tiketi ya kwenda mbiguni na hizo pesa za serikali kama atafanikiwa thubutuuu unachezea utajiri wa wokovu alionao Kakobe..... hahhahaaaaaaaaa...... ngoma nzito kisa kutubu atubu tu na kubadilika.... hahahaaaaaa
 
Back
Top Bottom