Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajaandamwa. TRA wanafanya kazi yao
BWANA YESU alisema, "yaliyo ya Kaisari, mlipeni Kaisari na yaliyo ya MUNGU, mlipeni MUNGU".
Na nikiweka? Sio lazima uamini!mods futa huu Uzi! mleta mada hana evidence ya maneno yake
TRA inafuatilia ya KaisaBWANA YESU alisema, "yaliyo ya Kaisari, mlipeni Kaisari na yaliyo ya MUNGU, mlipeni MUNGU".
CCM wamefilisika mawazo mapya. Hawatafanikiwa kulazimisha kupendwa.Ndomo huponza kichwa
Hajaandamwa. TRA wanafanya kazi yao
UkatubuWacha apande alicho kitafuta
Dharau zake haziwezi vumilika
ni mpuuzi sana huyu
kipindi cha Nyerere kulitokea mpuuzi kama huyu Alicho fanyiwa alikijua mwenyewe.
Huwezi dharau serikali wakati serikali ndio kila kitu ktk maisha yako
Lugha ya EsuKulikua na haja gani ya kutumia kiingereza hapo..!?
Wako Sawa, fahamu kuna drug dealer wamejificha kwenye kichaka cha uchungaji, acha wafanyie kazi kauri yake, kama hana hatia maisha yataendelea na TRA wataachana nae, meantime tuwaache, sheria ipo na inamlinda kakobeKuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
Mods, naomba msiutoe huu uzi!! Ni taarifa sahihi kabisa