Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwataarifa yako ndio wanamjengea credibility katika jamii ya tanzania.... hivi unadhani hayo wanayofanya ni mapya kipindi cha JK walitumia akili zaidi ya mihemko walifanya kimya kimya na walipokuta hola wakala mute.... sasa Magu mtaka misifa ngoja aumbuke kama makinikia yalivyomsinda....Tena wamkwide huyo Kakobe mpaka akome kuropoka hovyo hovyo.
Kwahilo sina mashaka nalo...... ikiwa Daniel au wakina Meshaki, shadrak na Abednego walikuwa kinyume na Mfalme na Mungu akawaokoa.... Sembuse Askofu Kakobe aliemhubiri Magu na kumwambia atubu........[emoji16][emoji16][emoji16], nachekea tumboni, tuone walio mtuma kama watamuokoa
Kaka tuwaache TRA wafanye kazi yao, hata kakobe hiyo pesa inayoizidi serikali hata kwenda nayo mbinguni, ni amari njema pekee ndizo atakwenda nazoSasa unadhani kumfatilia ndio wataondoa au kubadili imani yake kuwa yeye ni tajiri kuliko serikali yeyote hapa duniani.......
Mwambie Magu akate tiketi ya kwenda mbiguni na hizo pesa za serikali kama atafanikiwa thubutuuu unachezea utajiri wa wokovu alionao Kakobe..... hahhahaaaaaaaaa...... ngoma nzito kisa kutubu atubu tu na kubadilika.... hahahaaaaaa
Kumbe nawewe huajelewa hiyo barua imeelekezwa kwenye mabenki..... ndio shida ya manaoambiwa kutubu afu mnapotezea..... au ngeli imepita kushoto..... unashadadia tuuu....hahahhaaaaa ndio maana Lowasa alisema elimu elimu elimuKakobe Kakobe nilijua kukaa kimya ulikuwa ushausoma kwamba utawala huu sio kama ule wa mchezo mchezo.
TRA wamemwandikia barua ya kumtega akiongopa hana akaunti tu, ndio tutamsikia amerudi kakonko anafuga ngombe
How sure are kama uyo kakobe anaweza kwenda mbinguni au unafkr kutoa neno na kuombea watu inamansha yy n msafi cku zote. Hebu kuwa unawaza bac had hili!!! na kisa siku wanakwambiaga nisikilze nachokufundisha mm ila c kutazama maisha yangu maana yake unaijua wwSasa unadhani kumfatilia ndio wataondoa au kubadili imani yake kuwa yeye ni tajiri kuliko serikali yeyote hapa duniani.......
Mwambie Magu akate tiketi ya kwenda mbiguni na hizo pesa za serikali kama atafanikiwa thubutuuu unachezea utajiri wa wokovu alionao Kakobe..... hahhahaaaaaaaaa...... ngoma nzito kisa kutubu atubu tu na kubadilika.... hahahaaaaaa
how, Res ipsa loquiturmods futa huu Uzi! mleta mada hana evidence ya maneno yake
Sio rahisi hivo huyo sio wa sports sports, wataangukia za uso, kwa vita vya kimwili na kiroho hawamuwezi.Wameona ndio njia pekee ya kukabiliana na Kakobe, wameoshiwa hoja kabisa na wakikuta hana shida kwenye kodi watamvamia na kusema anauza madawa.
Si mmezui mikutano ya kisiasa mnadhani mtaxiba watu midomo.... sasa Mungu anawaumbua kupitia vinywa vya watumishi wake...... ukatubu jombaaa..... unatetea upuuuzi wa Magu..... kutubu nilazima nyie pigeni sarakasi kiasi gani bt akizo la kutubu halibadilishwi....... hahahahaaaaaaLabda ukatubu ww unahc mie nna akili kama yako kumwamn kakobe wako kuliko mungu mwnyw.
Kuna unaelew mfano wa nchi moja c ktu kutolea mfano tunaangalia majority huo upuuz haupo mtu kuongea upuuz kisa yy nan hii nchi n yetu sote acha kudanganywa.
Huo uhuru unaousemea wapi unahc upo mbona marekan kila cku maandamano na sometys hawafui dafu kwa serkali.
Utawekaje hela Africa nchi zisizotabirika maamuzi ya siku utegemea kiongozi kaamkaje.Yeye sio mjinga 99% ya pesa zake ziko nje ya nchi.
Wasisahau kutupa mrejesho baada ya zoezi maana mengi uutwa press conference kwa mbwembwe,then uingia mitini atupewi mirejeshoTunashukuru kwa hili .Baada ya zoezi hili heshima kwa seikali itakuwepo.
Hakuna cha credibility wala nini. Tapeli ni tapeli tu.Kwataarifa yako ndio wanamjengea credibility katika...
Beta ukojoe ulala mkuu maana naona una ubishi ule wa wavuta unga wetu mtaani. Au unaumwa ukapime choo kubwaSi mmezui mikutano ya kisiasa mnadhani mtaxiba watu midomo.... sasa Mungu anawaumbua kupitia vinywa vya watumishi wake...... ukatubu jombaaa..... unatetea upuuuzi wa Magu..... kutubu nilazima nyie pigeni sarakasi kiasi gani bt akizo la kutubu halibadilishwi....... hahahahaaaaaa
Misukule tu ndio wataamini hiyo geresha yake.lkn jamaa alishasema utajiri aliomaanisha ni wa kiroho bhana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] ko unabisha auMisukule tu ndio wataamini hiyo geresha yake.
Na Kweli anatakiwa arudi kakonko akachunge ngombe, hana adabu hata kidogo na pia iwe lesson for othersKakobe Kakobe nilijua kukaa kimya ulikuwa ushausoma kwamba utawala huu sio kama ule wa mchezo mchezo.
TRA wamemwandikia barua ya kumtega akiongopa hana akaunti tu, ndio tutamsikia amerudi kakonko anafuga ngombe