Kumbe tulimsifu Hayati Magufuli kwa kubana matumizi huku Serikali ikiwa na matumizi ya ovyo hivi?

Kumbe watu walikuwa wanakosa tu ile heshima ya ukuu ila mshahara unaingia kama kawa.
 
Acha kujikosha,kwa hiyo wewe unabishana na Serikali aunhujaelewa?

Mfano unamtoa mtu kama demotion Kutoka kuwa mkubwa wa Taasisi fulani unampeleka kwa RAS harafu anaenda na salary aliyotoka nayo kule kwenye Taasisi,hii Sio sawa..

Mkuu unajua sheria inasemaje kuhusu mishahara?
 
Dalili za maendeleo kwa watz:
1. Kujadili hoja na sio muwasilisha hoja
2. Kupigania mipango ya maendeleo ya nchi na sio mipango ya wagombea, kama umoja kwenye vita vya kagera kutokana na masimulizi mbali mbali.
 
Ndio maana hawatako ccm itoke madarakani sio bure ti
 
Kwa hiyo wale makatibu wakuu wote waliobadilishwa baada ya kuingia awamu mpya bado wanaokea mshahara ule ule?? angalia vizuri taarifa zako kabla ya kutoa maoni
 
Itoshe kusema , Magufuli alikuwa raisi bora Baada ya Nyerere.

Kuchafuliwa kwa noti , hakuipunguzii thamani
Kweli alikua bora maana hakuajiri mtu, akuongeza mishahara alikopa mikopo ya riba kubwa about 30% y a mikopo yake yote, alianzisha miradi mikubwa aliyoiacha ikiwa imefikia 10% tu, Ni rais aliyeogopa kusafiri kwenda kunegotiate na wenziwe,
N. B, Ubora wa kiongozi Bora yoyote duniani ni kuweza kutoa ajira kubuni ajira na it's citizen welfare, healthy an alike.
 
Ili jambo la kuwalipa kulingana na vyeo ata ukitolewa kazini lilikuwapo kabla ata ya serikali ya awamu ya tano.

Sema ni jambo jema maana mtu anakaa nyumbani bila kufanya kazi huku anaendelea vuta mshahara mnene
Hakuna mtu anayelipwa mshahara bila kufanya kazi
 
..lakini sheria huwa haigusi waliohusika kabla haijabadilishwa.

..watu walikuwa wanashangilia Jpm anavyotumbua watu serikalini, kumbe mwisho wake ni watu hao kulipwa mishahara bila kufanya kazi.
Siyo wote walikuwa hawafanyi kazi. Asilimia kubwa (more than 90%) walikuwa wanarudi kwenye kazi walizokuwa wanafanya kabla ya uteuzi.
 
Mkuu Johnny Sack , kumbe hili wewe ndio umelijua jana!, karibu angalia tarehe ya bandiko hili uone watu tulisema nini na lini
Nilisema
P.
 
Hili tulishasema sn mkuu miaka ya 2017-2020 sema labda ulikuwa bado hujawa member
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…