Hamna shida, ukicheza under 20 ya Austria bado anaweza cheza bongo, mfano mzuri sadio Berahino alicheza under U20 ya uingereza ila asahv ya wkubwa anacheza BurundiInaonekana kaamua kupambana hukohukoView attachment 1219167View attachment 1219168View attachment 1219169
Huyo ana passport ya Austria, alishaitupa ya TZ hivyo haiwezekani.Hatuna Dual citizenshipHamna shida, ukicheza under 20 ya Austria bado anaweza cheza bongo, mfano mzuri sadio Berahino alicheza under U20 ya uingereza ila asahv ya wkubwa anacheza Burundi
Tanzania hairuhusu uraia pacha. Huyu si Mtanzania. Ni Mu Austria mwenye asili ya Tanzania.Hamna shida, ukicheza under 20 ya Austria bado anaweza cheza bongo, mfano mzuri sadio Berahino alicheza under U20 ya uingereza ila asahv ya wkubwa anacheza Burundi
Huyu ni mtoto wa mwana JF mwenzetu miss chaggaNilikuwa nafuatilia league kuu ya Austria Bundesliga baada ya kufungua taarifa za hii timu kwenye picha nikakutana na mchezaji anaitwa Lema nikashutuka mbona jina la watanzania hili kufungua zaidi nakuta ni mtanzania kweli. Jamaa timu yake sihaba kwenye league ya Austria na dogo bado ana miaka 20 tu mpaka sasa amieshacheza match 5 za league msimu huu.
Etiene Ndayiragije mfuatilie huyu.
Anachezea timu ya Sturm GrazView attachment 1219147
Ulikuwa unatafuta nini ligi ya Austria?
Kwani Kiranga kasemaje?Lakini amezaliwa Tanzania tena Itigi.
Ila yeye anatamani kuja kucheza huku.Alishawahi kukutana na SamattaBasi tu nilitaka kujua lolote kuhusu league hiyo. Sasa ndio nikakutana na jina la Lema nikashtuka mbona jina kama la m tz. Kuingia ndio nikakutana na hayo.