johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
BAK ndo Mwabukusi na Mzee Mgaya ndo wewe!?Kwenye mahafali ya Chuo kimoja hapo Kenya Mbunge amesema mahakama kuu inafunga AI 400 hivyo watuhumiwa hawatahitajika tena kwenda na Wanasheria
Binafsi sijaielewa kabisa hii
Rais wa TLS mh BAK Mwabukusi naomba Ufafanuzi kwa sababu hii yote ni Africa Mashariki
cc: Pascal Mayalla
Imeandikwa ktk Biblia kwamba nyakati za siku za mwisho maarifa yataongezeka.Kwenye mahafali ya Chuo kimoja hapo Kenya Mbunge amesema mahakama kuu inafunga AI 400 hivyo watuhumiwa hawatahitajika tena kwenda na Wanasheria
Binafsi sijaielewa kabisa hii
Rais wa TLS mh BAK Mwabukusi naomba Ufafanuzi kwa sababu hii yote ni Africa Mashariki
cc: Pascal Mayalla
Kwanini yanaongezeka nyakati za mwisho, muda wote huo yalikuwa wapi?Imeandikwa ktk Biblia kwamba nyakati za siku za mwisho maarifa yataongezeka.
Kwa mfano?Kuna baadhi ya mawaziri walitakiwa mpaka sasa wawe wameshafanyiwa replacement na akili mnemba
Yes very trueWalio salama ni wanaomiliki ardhi