johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwenye mahafali ya Chuo kimoja hapo Kenya Mbunge amesema mahakama kuu inafunga AI 400 hivyo watuhumiwa hawatahitajika tena kwenda na Wanasheria
Binafsi sijaielewa kabisa hii
Rais wa TLS mh BAK Mwabukusi naomba Ufafanuzi kwa sababu hii yote ni Africa Mashariki
cc: Pascal Mayalla
Binafsi sijaielewa kabisa hii
Rais wa TLS mh BAK Mwabukusi naomba Ufafanuzi kwa sababu hii yote ni Africa Mashariki
cc: Pascal Mayalla