Kumbe tunaokaa Marekani humu JF tuko wachache hivi?

Kumbe tunaokaa Marekani humu JF tuko wachache hivi?

Mkuu Hata Mimi SIPENDI Kabisa Kukaa Huku MAREKANI ( MAMTONI ) Ila Sijui Kwanini SITAKI Kuondoka Wakati Huu Sasa Ni Mwaka Wangu Wa 27 Naiashi Huku. Kama Vipi Nipe MBINU Je Nifanyeje Ili Niweze Kupata Hamu ILIYOTUKUKA Ya Mimi Kuweza Kurudi Huko Tanzania?

Unaenda kuwa agent wa agency ipi kati ya CIA, FBI, Secret Service?
 
hivi huyu jamaa c ndo alileta uzi majuzi tu akilalamika kuhusu utupwaji wa pedi ovyo au!!
 
Weee umekunywa ugoro nni...marekani ndo mdudu gan, kitulize bas kama wenzako waliotulia.
 
Back
Top Bottom