Vegetarian
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 654
- 509
Kweli mkuu, kuna wosia mkali sana kwenye Letter to my unborn child.Ujinga wako katika hili ni wa hela yote. Hakuna mwanamuziki (hata Bob Marley) aliyeimba masuala ya msingi kumuhusu mtu mweusi kama Tupac. Changes, Thugz Mansion, Brenda's got a baby, keep ya head up, ghetto gospel, On my block, etc etc, zote hizo zinalinga ulichokisema.
Mara hujui, mara nyimbo zao zinachochea madawa ya kulevya.
Kawasikilize na uelewe.
Jifunze kiswahili vizuri...Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,
nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Hajui chochote huyo mama....Ujinga wako katika hili ni wa hela yote. Hakuna mwanamuziki (hata Bob Marley) aliyeimba masuala ya msingi kumuhusu mtu mweusi kama Tupac. Changes, Thugz Mansion, Brenda's got a baby, keep ya head up, ghetto gospel, On my block, etc etc, zote hizo zinalinga ulichokisema.
Mkuu kwani unamzungumzia 2pac yupi?Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,
nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Una ushahidi?
Mgonjwa wewe. Ur a c student. A very slow learner. Next time i learn how to talk
Hichi ulichotafuna leo cha mara sio cha arushaKwenye wimbo wake " Troublesome 96" Tupac anasema " SCREAMIN CUFK ALL Y'ALL NIGGAS IN SWAHILI"
# Nimepata ushahidi mzito na wenye mashiko kuhusu Tupac kuwa hai. Nitaupost kesho.
# The other day nilipost uzi hapa jf wenye title " TUPAC ALIKUFA BAADA YA KUMEZWA NA.KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE SMALLS" but ushahidi nilio usoma mahali kuhusu kuwepo hai kwa Tupac umenifanya NI debunk theory yangu kuhusu the so called " kifo" cha Tupac
# A wise man always change his view when presented with better argument.So I have changed my view.
Tupac kafa muda tuTupac Hakupigwa risasi . He still.alive
Why aonekane wAkati.lengo lake haswa lilikuwa NI to fool his enemies into blvng that he is dead so that he can use that as a pretext to go.somewjere and start a.new.and.peaceful life?
Kala ya malawiHichi ulichotafuna leo cha mara sio cha arusha
Na wanao u discuss kama wamevuta bangi hivi π π πMbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,
nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Pronto!!!!No research,no data,no right to speak.....and viceversa ofcourse!!!!Kukusahihisha;no body gives a shit about Lesane Parish Crooks _alas_ Tupac Amaru Shakuru except of what he did and does to the society and the world at large *but you* That nigger got shot,dead and gone!!!!Period!!!Tupac Hakupigwa risasi . He still.alive
Why aonekane wAkati.lengo lake haswa lilikuwa NI to fool his enemies into blvng that he is dead so that he can use that as a pretext to go.somewjere and start a.new.and.peaceful life?
Unajua maana ya mtumwa..?Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,
nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Mwabudu makonda au polepole basis.Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,
nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Fo the case you can see my again to my unborn child ,( that's pac )Kweli mkuu, kuna wosia mkali sana kwenye Letter to my unborn child.