Kumbe Tupac alijua kuhusu tusi la "mamayo"

Kumbe Tupac alijua kuhusu tusi la "mamayo"

Ujinga wako katika hili ni wa hela yote. Hakuna mwanamuziki (hata Bob Marley) aliyeimba masuala ya msingi kumuhusu mtu mweusi kama Tupac. Changes, Thugz Mansion, Brenda's got a baby, keep ya head up, ghetto gospel, On my block, etc etc, zote hizo zinalinga ulichokisema.
Kweli mkuu, kuna wosia mkali sana kwenye Letter to my unborn child.
 
Mara hujui, mara nyimbo zao zinachochea madawa ya kulevya.

Kawasikilize na uelewe.

Mi shabiki mkubwa sana wa muziki wa aina zote,

90% ya Lyrics za nyimbo za hip hop, ni kuhusu ku hustle (pimping, drug dealing, robbery), ku party (pombe, wanawake, madawa) kutumia hela kwa fujo, kuuana wao kwa wao. So nazungumza kitu ninachokijua hapa

Ndio maana cover za albam na nyimbo nyingi za hiphop zimeandikwa onyo kuwa hazifai kusikiliza watoto, zinawapa inspiration mbaya

Japo kuna zenye content nzuri ila nyingi ndio zinakuaga hivyo

Tofauti na kada nyingine za muziki
 
Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,

nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Jifunze kiswahili vizuri...
kuhusudu na kuabudu ni vitu viwili tofauti........
Jipange...
 
Ujinga wako katika hili ni wa hela yote. Hakuna mwanamuziki (hata Bob Marley) aliyeimba masuala ya msingi kumuhusu mtu mweusi kama Tupac. Changes, Thugz Mansion, Brenda's got a baby, keep ya head up, ghetto gospel, On my block, etc etc, zote hizo zinalinga ulichokisema.
Hajui chochote huyo mama....
 
Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,

nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Mkuu kwani unamzungumzia 2pac yupi?
Huyu huyu ambae mashairi yake yanatumika kufundishia vyuoni na mashuleni kule Marekani?
https://dailyegyptian.com/32611/arc...ity-offer-courses-using-tupac-shakurs-lyrics/
https://ew.com/article/2015/06/11/hip-hop-schools-kendrick-lamar/
http://www.mtv.com/news/1171/berkeley-university-offers-class-on-tupac/

Kisha malizia kumsoma hapo chini utaelewa kwanini anamekuwa highly regarded na watu wa hadhi tofauti toka wadogo hadi wanazuoni.
https://2paclegacy.net/the-reasons-why-we-should-study-tupac-shakur-as-a-political-figure-in-school/
 
Kwenye wimbo wake " Troublesome 96" Tupac anasema " SCREAMIN CUFK ALL Y'ALL NIGGAS IN SWAHILI"

# Nimepata ushahidi mzito na wenye mashiko kuhusu Tupac kuwa hai. Nitaupost kesho.

# The other day nilipost uzi hapa jf wenye title " TUPAC ALIKUFA BAADA YA KUMEZWA NA.KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE SMALLS" but ushahidi nilio usoma mahali kuhusu kuwepo hai kwa Tupac umenifanya NI debunk theory yangu kuhusu the so called " kifo" cha Tupac


# A wise man always change his view when presented with better argument.So I have changed my view.
Hichi ulichotafuna leo cha mara sio cha arusha
 
Hiyo title sasa mods wasipoifuta hii sijui
 
Tupac Hakupigwa risasi . He still.alive
Why aonekane wAkati.lengo lake haswa lilikuwa NI to fool his enemies into blvng that he is dead so that he can use that as a pretext to go.somewjere and start a.new.and.peaceful life?
Tupac kafa muda tu
 
Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,

nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Na wanao u discuss kama wamevuta bangi hivi 😅😅😂

Joking
 
Tupac Hakupigwa risasi . He still.alive
Why aonekane wAkati.lengo lake haswa lilikuwa NI to fool his enemies into blvng that he is dead so that he can use that as a pretext to go.somewjere and start a.new.and.peaceful life?
Pronto!!!!No research,no data,no right to speak.....and viceversa ofcourse!!!!Kukusahihisha;no body gives a shit about Lesane Parish Crooks _alas_ Tupac Amaru Shakuru except of what he did and does to the society and the world at large *but you* That nigger got shot,dead and gone!!!!Period!!!
 
Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,

nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Unajua maana ya mtumwa..?
 
Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,

nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Mwabudu makonda au polepole basis.
 
Back
Top Bottom