Kumbe uzuri wa mwanamke akiwa na Nguo tu

Watu kwa vitisho hamjambo laana gani aibebe amekwambia yeye anaamini dini?
Je kama ni atheist utasema nini shenzy kabisa ashasema ni mbaya habari za maulana na laana ni zako wewe na nduguzo
Mkuu umenitukana bure ujue!

Katika maelezo yangu niliweka viwanja vitatu vya ufahamu, niligusia sehemu zote ambazo wewe uliyodhani sikuzigusa.

Hapo nilitaja dini, nikataja sayansi na pia utu.

Kama yeye huyo jamaa unayemtetea ni pagani, hawezi kusema umbo fulani baya, wakati sura yake kwa watu wengine wanamuona kama kenge mmoja.

Haujasikia wazungu wanakuita wewe ni sokwe? Je unafurahishwa na kauli hiyo?

Dunia iache iitwe dunia, sababu huwachagulia binadamu sura za kuwavisha.

Ni vyema tukastahimiliana maumbile yetu tuliyoshitukia tu tunayo.

Uwe na dini usiwe na dini lakini wewe ni binadamu, bagua maneno ya kuwatamkia wengine.
 
Hivi ukisha sema huyu ni mbaya au huyu ni mzuri then what? Unaongea siku za kuishi au pesa zaidi au unafaidika na nini...
You're not right sir, ukweli huu ni mchungu mtu kama ni mlemavu tusiseme? Mtu kama ni mbaya kwa sura, umbo au chochote tusiseme pia kwa kuhofia nadharia za kwenye vitabu?
Kusema tutasema na haitokaa ikome
 
This fact is 80% accepted. Wakome hao mzee baba.
 
Kama uzuri wa mwanamke ni akiwa na nguo huwa tunatamani kuwavua nguo ili iwejee! Mwanamke anakuwa mzuri na kuvutia zaidi akiwa mtupu aisee!
 
nguo zinaficha viriba tumbo,mapingilipingili a.k.a michelini,etc
 
Shida ni mabonde kwenye makalio sijui kwa nini jamani.
Labda alicheza ile nyimbo pendwa ya rayvanny TETEMA mpaka ikaleta itilafu kwenye makalio, labda ndo yakawa na mabonde mabonde ya kisuli suli
 
Shida ni mabonde kwenye makalio sijui kwa nini jamani.
Hivi nyie mlifikiria ni kwanini wazungu waliiamua kuwa mashindano ya urembo inabidi warembo wabaki na vichupi tu? Huku mtaani kuna wanawake wengi ukiwaona unadhani wana maumbo mazuri kweli kweli lakini wakivua wanakuwa kama madubwasha.
 
Unaongelea yule mwenye mabonde mabonde
Hiziii
 
Yule menina ukimuangalia kwa nyuma kuanzia kiunoni mpaka magotini yupo kama box la ufresh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…