badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,761
Imefahamika Kwamba Gaza kumefanyika ugunduzi wa gesi. Kwasababu gas imegunduliwa kuwa na thamani ya USD Billion 500 lazima wazungu waingilie kati na kuwadhulumu wapalestina gesi yao.
Popote kwenye mali hapakosi wazungu kuleta demokrasia. Popote kwenye mali asilia lazima wazungu waingilie kwa kigezo cha magaidi. Wazungu hawana baraka ndiyo maana Nchi zao hazina cha maana zaidi ya kuiba mali asili za nchi za watu kwa njia ya dhulma.
Popote kwenye mali hapakosi wazungu kuleta demokrasia. Popote kwenye mali asilia lazima wazungu waingilie kwa kigezo cha magaidi. Wazungu hawana baraka ndiyo maana Nchi zao hazina cha maana zaidi ya kuiba mali asili za nchi za watu kwa njia ya dhulma.