Kumbe Waarabu walikuwa watu wabaya kiasi hiki, yadumu mapinduzi matukufu ya Zanzibar

Kumbe Waarabu walikuwa watu wabaya kiasi hiki, yadumu mapinduzi matukufu ya Zanzibar

Biashara ya Utumwa iliofanyika huku kwetu haiku base kwenye Racism, Kulikuwa na watumwa weusi, watumwa waarabu, watumwa wazungu etc. Yapo mataifa ya Ki Africa yaliyotawala waarabu kama Aksum(Ethiopia ya Sasa) walitawala Yemen. Na Aksum ndio ilikuwa inamiliki trade routes zote hadi Persia,

Ila yote haya yanafumbiwa macho, atatafutwa mwarabu mmoja ambaye alikuwa anamtumikia mwingereza abebeshwe zigo lote la lawama. Na kutafutwe evidence as if waarabu walikuwa waki wa enslave wa Africa tu.
Dah yote haya ni kwenye kumtetea tu muarabu,hawa jamaa sijui wamewapa nini.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Wewe umejibu? Unajizungusha tu, weka vitabu vyako hapa

Ephesians 6:5​

5 Slaves, obey your earthly masters with fear and trembling, with a sincere heart, as you would Christ,
 
Dah yote haya ni kwenye kumtetea tu muarabu,hawa jamaa sijui wamewapa nini.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app


Ephesians 6:5-8 Paul states, “Slaves, be obedient to your human masters with fear and trembling, in sincerity of heart, as to Christ” which is Paul instructing slaves to obey their master

Similar statements regarding obedient slaves can be found in

Colossians 3:22-24,

1 Timothy 6:1-2,

and Titus 2:9-10.
 

Ephesians 6:5​

5 Slaves, obey your earthly masters with fear and trembling, with a sincere heart, as you would Christ,
Sasa hao slaves wa ku obey wako wapi ewe slave master? Mmewapeleka wapi watu weusi?
 
View attachment 2362847
View attachment 2362848View attachment 2362849
Zanzibar, Tanzania [emoji1241] 1907

A British sailor removes the leg chains off an enslaved African man who had worn them for three years, 1907. ⁣

The photos were taken by Joseph Chidwick who was serving aboard the HMS Sphinx at the time. The men shown in the photos had escaped from a slave-trading post off the coast of Oman when they heard the Royal Navy was nearby. ⁣

Chidwick's son, Samuel, donated these photos to the Royal Navy Museum in 2007. He had this to say: ⁣

"The pictures were taken by my father who was serving aboard HMS Sphinx while on armed patrol off the Zanzibar and Mozambique coast in about 1907. They caught quite a few slavers and those particular slaves that are in the pictures happened while he was on watch. That night a dhow (sailing vessel) sailed by and the slaves were all chained together. He raised the alarm and they got them on to the ship and got the chains knocked off them.

They then questioned them and sent a party of marines ashore to try to track the slave traders down. They caught two of them and I believe they were of Arabic origin. My father thought the slave trade was a despicable thing that was going on, the slaves were treated very badly so when they got the slavers they didn’t give them a very nice time”. ⁣
Wale nyani wa zanzibar wenyewe wanasema muungano uvunjwee mwarabu arudi..blad paka...sio bure hawana visogo wale..ndo mana wamekosa akili
 
Ephesians 6:5-8 Paul states, “Slaves, be obedient to your human masters with fear and trembling, in sincerity of heart, as to Christ” which is Paul instructing slaves to obey their master

Similar statements regarding obedient slaves can be found in

Colossians 3:22-24,

1 Timothy 6:1-2,

and Titus 2:9-10.
Allah huyu hapa:
 

Attachments

  • Picsart_22-09-29_09-38-23-263.jpg
    Picsart_22-09-29_09-38-23-263.jpg
    92.4 KB · Views: 8
Wale nyani wa zanzibar wenyewe wanasema muungano uvunjwee mwarabu arudi..blad paka...sio bure hawana visogo wale..ndo mana wamekosa akili
Tumekosa akili kwani baada ya kutuvamia 1964 mkauwa watu kwa maelfu sasa mnaendeleza mauwaji kila baada miaka mitano. By the way wasio na akili ndio wanaowaongoza hivi sasa tena wanawake.
 
Waraabu wameacha utumwa mbaya zaidi kwa wazanzibar kwa kitu kinaitwa dini. Watu wanaaminishwa kuwa wakifika "peponi" watapewa wanawake mabikra 70.. kwahiyo kazi yao itakuwa ni kut*mba tu...
 
Waraabu wameacha utumwa mbaya zaidi kwa wazanzibar kwa kitu kinaitwa dini. Watu wanaaminishwa kuwa wakifika "peponi" watapewa wanawake mabikra 70.. kwahiyo kazi yao itakuwa ni kut*mba tu...
Ndiyo mafundisho ya biblia hayo uliyopata kanisani kwa mchungaji wako?
 
Waraabu wameacha utumwa mbaya zaidi kwa wazanzibar kwa kitu kinaitwa dini. Watu wanaaminishwa kuwa wakifika "peponi" watapewa wanawake mabikra 70.. kwahiyo kazi yao itakuwa ni kut*mba tu...

1664457915361.png
 
Dah yote haya ni kwenye kumtetea tu muarabu,hawa jamaa sijui wamewapa nini.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Mkuu Jukwaa Huru njoo na hoja, Kama nadanganya njoo na hoja ya kunipinga.

Ni ujinga kiwango cha lami kuamini picha iliotumwa wakati wafaidikaji wa watumwa walikuwa ni wao.

Ama unafikiri watumwa walivyotolewa humu walienda Kuuzwa wapi?
 
Waraabu wameacha utumwa mbaya zaidi kwa wazanzibar kwa kitu kinaitwa dini. Watu wanaaminishwa kuwa wakifika "peponi" watapewa wanawake mabikra 70.. kwahiyo kazi yao itakuwa ni kut*mba tu...
Mkuu hao waarabu waliotawala Znz ni Ibadhi na waisilamu TZ ni wa Sunni, Uisilamu upo Tanzania hata kabla ya hao waarabu wa Znz hawajAkuja.

Tatizo lenu Nyie hamtaki kujifunza, halafu Mnaongea pumba na mnataka kulazimisha kuwa ni ukweli.
 
Ibadhi na waisilamu TZ ni wa Sunni,

Tayari unataka kuwagawa waZanzibari na waTanganyika kuwa hawa ni Sunni, wale Ibadhi nyie Bohora huyu Shia n.k

Huu ubaguzi wa kuwaundia vikundi watu ni njia mojawapo inayotumika na watawala wanaotumia genge au 'chama' mfano CCM au mtawala yeyote aliye madarakani kwa kilemba cha uSultani, urais, ufalme n.k ili wawatawale vizuri vikundi hivi vidogo vilivyogawanishwa.

Utumwa ulifanywa na jamii zote ziwe za bara Afrika, bara arabuni, bara Asia, bara ulaya na unafaa kupigwa vita bila kuoneana aibu kuwa huyu ni mwenzetu hivyo tumsitiri.
 
Back
Top Bottom