Acha upumbavu sasa.Umekuwa mtu mzima unajua?
Hapana Mkuu! ..........''Mnyonge mnyongeni Lkn haki yake mpeni!!.... Jiulize swali dooogo tu kuwa wageni Waarabu walijuaje njia salama za kuelekea kwenye Masoko/mahali Watumwa walipo patikana kirahisi huko Bara???,
kumbuka wkt huo hawa waarabu walikuwa wakitokea pwani waliko acha majahazi na ngalawa zao?? km hawakuongozwa na wenyeji weusi waliojua njia ??
tukubaliane kitu kimoja kwamba hao hao ndg zetu weusi haswaaa!! walishiriki pa kubwa mnoo ktk biashara hiyo bila kumungunya Maneno!!....tena walijua na walikwepa makabila Tata na Makorofi,
Kwa mfano makabila km Wakurya, wahehe, wasukuma weee! ....huko msafaraawa watumwa ulikuwa ukipita tu, ni kuchomwa moto live na kuliwa mishikaki!!
ndg zetu waafrica bila aibu walifanya na kutuuza kwa weupe tena ktk hali ya udhalili zaidi kuliko weupe walivyo tufanyia, na mpaka leo iko ivo!.......weupe /wazungu wanatufanyia mema mazuri mangapi??
tena feva zaidi kuliko ndugu zetu waafrica weusi! nakupa mfano live!
wkt semina ya Afya ya MTUHA ilipo ingia nchini kwa mara ya kwanza kabisa chini ya uongozi wa Wazungu!! wazungu walitaka washiriki wote walipwe Dola 1000! kwa siku!
lkn sasa hao hao!! waswahili wenzenu wakaona nizo ni hela nyingi sana!
wakawashauri wazungu kuwa hizo pesa ni nyingi sana! kwa watanzania..so waafrica wa wizara ya afya kina Dr Mwita na genge lake wakapendekeza yafuatayo
wafanya kazi washiriki wa semina walipwe kwa Madaraja yao kuanzia Dola mbili tu kwa daraja la juu! na kadiri ile semina ilivo kuwa inaendelea walifika mahali wakawa wanalipwa dola moja kabisaaa!!
Pili hakuna haja ya vitafunwa seminani sababu washriki wanatoka nyumbani wamesha kula kabisa Mwee!! nilichoka!! wkt huo huo semina km hiyo hiyo!! ilifanyika nchini Bangladesh!!bahati nzuri nilikuwa kule!
maajabu sasa nilishuhudia washiriki wataalamu wa afya walilipwa kwa kiwango kilekile cha awali kilichopendekezwa na WHO, sasa utaona jinsi waafrica weusi tunavo umizana sana!!
hii ilinishngaza sana! lkn japo nilijua sikuwa na pa kusemea!! yamkini pia kuna mambo mazuri sana mnatakiwa myapate hapo km watanzania lkn hamyapati kabisa na wala hamjui!
Nakupa Mfano kidogo,Africa hii! hii!! nchi ndogo km Kingdom of Lesotho haina raslimali nyingi! lkn Wazee wote nchini kuanzia miaka 70, wanalipwa Posho ya kujikimu kila baada ya mwezi!!
Km haitoshi wamama woote wenye watoto viwete, wanapata posho ajili ya watoto wao, SA ndo usiseme kabisaaa! na hali hii walirithi kutoka kwa Wazungu!...Asa km Mzungu alimfanyia ivo mwafrica je wao si ndo zaidi!!
sasa kwa nini Mtanzania asimuoe mke Mzungu ili aposhoke vyema maisha yake yooote!! Make ukioa Mzungu atakuweka kwenye kipengere cha posho km sehemu ya familia yake!!
tena tena hela hizo za posho ya kujikimu ya Mzungu ni nyingi sana kwa M-Bongo, utanunua mabasi mpaka ulie poo!...mwenyewe utamwambia baaaasi inatosha wacha nijetegemee!!