Kumbe wadada nao wamo, leo kalegea tukiwa kwenye daladala

We umemuacha kaenda malizia hamu zake kwa mwingine
 
Hadithi.nyingine unabaki unacheka tu ili mradi usogeze siku jamani
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akili kumkichwa angejuta alilegea kuvizia hela yako!ungecheua wazungu lazima ungekuwa mguu sawa
Yani hapo utajaziwa shazi mpaka mwenyewe ukome..Na huu ulimwengu wa Smartphone ndo balaa tupu..Dakika sifuri unashangaa kitu kimeenea kwenye magroup yote ya whatsapp
 
huna maana umeshaniudhi
 
Umekimbia chakula bure sana ww
 
Tanzania akuna njaaa mtukufu kasema naona kijana unawaza danta (Chini, papuchi) we umeshiba
 
Au hukuwa na hela ya kwenda nyumba za wenyeji ukashtue?Ungechukua hata namba ya simu kwa maandalizi ya pambano la mbeleni.
 
Would you please kindly compose your message properly, I cannot make sense of the initials you use in your composition, perhaps it would be good to compose your views in Swahili? Sorry for this.
Funny, that was like pouring cold water over someone during winter.
 
Mwanamke umembana muda wote huo umeshindwa kuongea naye? Ole wako nikute siku umeanzisha uzi unatafuta mke....
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…