Hukuharisha maana wengine tukinywa maji na njaa ni kuhara tuHii ni kweli, kula sana sio afya.
Binafsi nilishawahi kaa siku nne nakunywa chai kavu na maji mengi.
Maji ni muhimu sana.
Kuna mama mzungu ali muasili mtoto wa Kitanzania, ilimchukua muda mtoto kuzoea kiasi cha chakula kwenye sahani yake.Hii ni kweli, kula sana sio afya.
Binafsi nilishawahi kaa siku nne nakunywa chai kavu na maji mengi.
Maji ni muhimu sana.
Inategemea na chakula unachokula pia. Protein inasagika taratibu huwa tumbo hushisi kushiba kwa muda mrefu. Kwasababu ya uwezo na ukubwa wa familia wengi tunakula protein kidogo na wanga mwingi.Inategemea na kazi unayofanya..hivi nibebe tofali au nilime alafu nile kidogo
Mbwa nao wanayahitajiSasa haya maparachichi huku tukuyu tumuachie nani
Hapana, na nikawa fresh tu..ila kama nikaadha kupungua ila mm ni mwembamba asilimia kwaiyo ni ngumu kuonekana mwili ukipungua.uku halisha Mana wengine tukinywa maji na njaa ni kuhara tu
Sasa haya maparachichi huku tukuyu tumuachie nani
Halafu hayo ndio mazuri sana, ukila moja tu linatosha maana katika tunda lenye virutubisho vingi ni Parachichi.Sasa haya maparachichi huku tukuyu tumuachie nani
Alikufa akiwa na umri mkubwa na bila kuugua magonjwa mengi ya uzee..hahaha,Na bado alikufa, nawe utakufa tu.[emoji276]