Kumbe wale wanaotaka order ya kiti moto kilo 1.5 na ugali huwa wanapanua utumbo tu

Kumbe wale wanaotaka order ya kiti moto kilo 1.5 na ugali huwa wanapanua utumbo tu

View attachment 2027840
Huyu Mzee mwaka 1550 alijiona anachoka sana, Ali angalia chakula anachokula na kukipunguza kufikia 350g na 414 mls za wine kwa siku.

Kwa hesabu za haraka haraka alikula yai moja asubuhi kama kifungua kinywa.

Kipande cha nyama, kuku au samaki saa kumi jioni kikiwa na kiazi na mboga. Ukubwa wa kopo la Coca Cola aliweka wine. Maji ni muhimu hapa kati kati.

Tunakula vyakula vingi tusivyo vihitaji. Wakati wa WWII, wanajeshi wa Magharibi waliotekwa Japan walilishwa kibakuli cha wali na kipande cha nyama kila baada ya masaa 24. Wengi waliishi mpaka kurudi makwao wakiwa wamekonda sana.

Iliwachukua zaidi ya mwezi kuzoea milo mitatu kwa siku.
Dah ila amekufa kitambo jamani, imepita miaka 400+ nyuma.

Ila wataalamu wanakuambia ukifanikiwa kumuasha leo, ataona alikua na usingizi mzito toka jana tu.

Atashangaa tu mabadiliko na joto kali la dunia.

Hahaha
 
View attachment 2027840
Huyu Mzee mwaka 1550 alijiona anachoka sana, Ali angalia chakula anachokula na kukipunguza kufikia 350g na 414 mls za wine kwa siku.

Kwa hesabu za haraka haraka alikula yai moja asubuhi kama kifungua kinywa.

Kipande cha nyama, kuku au samaki saa kumi jioni kikiwa na kiazi na mboga. Ukubwa wa kopo la Coca Cola aliweka wine. Maji ni muhimu hapa kati kati.

Tunakula vyakula vingi tusivyo vihitaji. Wakati wa WWII, wanajeshi wa Magharibi waliotekwa Japan walilishwa kibakuli cha wali na kipande cha nyama kila baada ya masaa 24. Wengi waliishi mpaka kurudi makwao wakiwa wamekonda sana.

Iliwachukua zaidi ya mwezi kuzoea milo mitatu kwa siku.
Let mguu wa mbele wa mbuzi na konyagi kubwA. Kila mtu atakufa kimpango wake
 
Ule yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!

Wanawake wenyewe wa kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!
Mkuu hivi walewanawake wa miaka ya 70 walitokea sayari ipi?wale ulikuwa ukiingiza tu ze dudu wamemaliza kilele,hawa wasiku hizi wamegeuza mapenzi kama vita mkuu mpaka afikekileleni umetumika hasa.
 
Mkuu hivi walewanawake wa miaka ya 70 walitokea sayari ipi?wale ulikuwa ukiingiza tu ze dudu wamemaliza kilele,hawa wasiku hizi wamegeuza mapenzi kama vita mkuu mpaka afikekileleni umetumika hasa.

Mimi nawatafuta wale tulikuwa tukiwala wanalia machozi, siku hizi unapiga miti demu linarekodi video.!
 
Kulaaa msosi wa kiafrika.

Tena kula vizuri tu vyakula vya asili. Si lazima tufate wazungu. Piga ugali mchicha pilipili mixer maharage na shushia na maji kisha kafanye kazi.

Kama huna kazi ngumu chukua mkeo mshughulikie mpaka atake kukurudishia mahari akulipie yeye.

TUSIENDEKEZE SANA UZUNGU SISI NI WASWAHILI.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]
 
Kulaaa msosi wa kiafrika.

Tena kula vizuri tu vyakula vya asili. Si lazima tufate wazungu. Piga ugali mchicha pilipili mixer maharage na shushia na maji kisha kafanye kazi.

Kama huna kazi ngumu chukua mkeo mshughulikie mpaka atake kukurudishia mahari akulipie yeye.

TUSIENDEKEZE SANA UZUNGU SISI NI WASWAHILI.
ndio unataka kutwambia kufanya ngono kwa muda mrefu nayo ni kazi yakujenga afya!?
 
Best nimepigwa sana na baridi ni kutafuta ngamia ya kujengea ghorofa langu, nitachukua precautions zote ni ishi mpaka hata 80-90 by God’s will.
Mungu ni mwema. Tutafika tu huko. Babu yangu alikuwa anakunywa gongo tena msabato, anakula mabata na samaki wasio na magamba. Anakula hadi nguruwe. Kama mwaka huu akiwa na miaka 91, afya njema kabisa, alikufa akitabasamu usingizini
 
ndio unataka kutwambia kufanya ngono kwa muda mrefu nayo ni kazi yakujenga afya!?
Kama huna kazi ngumu kazi zako ni nyepesi au za kutumia peni na computer na una mke ngono ni mbadala wa kazi ngumu. Usipofanya kazi huku unatia msosi unajitafutia matatizo tu.
 
Kuishi miaka mingi haitokani na kula tu kuna mambo ya genetic na nk, Shangazi yangu ni muumini mkubwa sana wa diet toka usichana wake nakumbuka toka mwaka 1992 halikuwa hanywi soda wala pombe kali yeye ni mtumiaji mara chache wa dry wine, yeye ni maji, matunda, mboga mboga hasa broccoli zile mboga zenye virutubisho.

Lakini ajabu sana leo ni mgojwa anasumbuliwa na figo, sukari na pressure annafanya dailyis kwa wiki mara 3.
 
Sisi kufakamia minyama ya kuku na kitimoto ukubwani Ni kwa sababu tulivi miss hivi vitu wakati tunakua.
Mbona hatuoni watu wakifakamia makande au maharagwe?
Ni Kama waliokulia seminary za ukweli wanavyopenda visichana vidogo.
 
View attachment 2027840
Huyu Mzee mwaka 1550 alijiona anachoka sana, Ali angalia chakula anachokula na kukipunguza kufikia 350g na 414 mls za wine kwa siku.

Kwa hesabu za haraka haraka alikula yai moja asubuhi kama kifungua kinywa.

Kipande cha nyama, kuku au samaki saa kumi jioni kikiwa na kiazi na mboga. Ukubwa wa kopo la Coca Cola aliweka wine. Maji ni muhimu hapa kati kati.

Tunakula vyakula vingi tusivyo vihitaji. Wakati wa WWII, wanajeshi wa Magharibi waliotekwa Japan walilishwa kibakuli cha wali na kipande cha nyama kila baada ya masaa 24. Wengi waliishi mpaka kurudi makwao wakiwa wamekonda sana.

Iliwachukua zaidi ya mwezi kuzoea milo mitatu kwa siku.
Mwili wa mwanadamu hauitaji chakula kingi unless wee ni mtu wa kuchimba msingi na kubeba zege. Lakini kama ni wa kukaa kwa ofisi unachapa marimba ya mzungu unatakiwa kula kiduchu tuu.
 
Back
Top Bottom