Tatizo la wana wake wengi siku hizi wanamitako na mitumbo....hawa wanawake wwtu ndio hii diet inawafaa. Yaani mbususu kuiona mpaka unyanyue tumbo bwanaUle yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!
Wanawake wenyewe wa kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!
mkuu hivi niambie me niko chunya ktk timba zaidi ya mita 30 kwenda chini natakiwa nile chakula gani maana hapa naona ugali ndio unasongwa na maharagweView attachment 2027840
Huyu Mzee mwaka 1550 alijiona anachoka sana, Ali angalia chakula anachokula na kukipunguza kufikia 350g na 414 mls za wine kwa siku.
Kwa hesabu za haraka haraka alikula yai moja asubuhi kama kifungua kinywa.
Kipande cha nyama, kuku au samaki saa kumi jioni kikiwa na kiazi na mboga. Ukubwa wa kopo la Coca Cola aliweka wine. Maji ni muhimu hapa kati kati.
Tunakula vyakula vingi tusivyo vihitaji. Wakati wa WWII, wanajeshi wa Magharibi waliotekwa Japan walilishwa kibakuli cha wali na kipande cha nyama kila baada ya masaa 24. Wengi waliishi mpaka kurudi makwao wakiwa wamekonda sana.
Iliwachukua zaidi ya mwezi kuzoea milo mitatu kwa siku.
Mkuu haujui kiungo cha mbuzi kitamu.Let mguu wa mbele wa mbuzi na konyagi kubwA. Kila mtu atakufa kimpango wake
....mkuu umechekesha Sana...hii kweli kabisa...midada ya siku hizi usipolitia ipasavyo huna chako...na Kama ni mkeo anakukimbia...ndio maana wanaume na wanawake wanashindana Kula kilo za nguruwe siku hizi ..unakuta jimama/jidada/jimke limejaa kitambi...mijitako na Hadi k limejaza mifuta...hili kulikojolesha lazima ule Sana ugali na kilo za nguruwe.Ule yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!
Wanawake wenyewe wa kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!
Viwanja au mabanzi ya kufa mtu...[emoji38][emoji38][emoji38]Binafsi mimi sitaki kufika huko kwenye miaka 100 ya nini? Nigonge 80 to 85 niondoke zangu nikiw na nguvu kidogo nikawahi viwanja vyangu huko peponi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Miaka hiyo ulikuwepo?Mkuu hivi walewanawake wa miaka ya 70 walitokea sayari ipi?wale ulikuwa ukiingiza tu ze dudu wamemaliza kilele,hawa wasiku hizi wamegeuza mapenzi kama vita mkuu mpaka afikekileleni umetumika hasa.
Haya mambo bana hayaeleweki kabisa...Maisha haya hayana kanuni bali tunatumia maarifa ya wanadamu tu,
Nina mtu wangu wa karibu ni daktari wa muda mrefu tu,
Alipenda sana kutoa somo kuhusu namna ya ulaji chakula na namna ya kupunguza mwili ili kuepuka kupata magonjwa yasio ya kuambukiza.
Sasa hivi yupo hospitali anauguza kidonda baada ya mguu mmoja kukatwa kwa sababu ya kisukari,
Nashindwa kuelewa, namuangalia mpaka natamani nile chochote kitakacholetwa mezani.
Sasa itabidi nimtegemee Mungu na kanuni kidogo tu.
Ukifuatilia wafanya mazoezi magumu haikuwasaidia kutokuondoka duniani mapema.
Wachagga kwa nyama...Bibi zangu wamekula nyama tangu utoto wao mwingine alikufa na miaka zaidi ya 115 mwingine na miaka 110 na wao chakula Chao daily ilikuwa nyama tu bila hivo Hawa enjoy life
Mkuu nani kakudokeza kuwa utaenda peponi na siyo motoniBinafsi mimi sitaki kufika huko kwenye miaka 100 ya nini? Nigonge 80 to 85 niondoke zangu nikiw na nguvu kidogo nikawahi viwanja vyangu huko peponi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kile huwa nafunga kwa ajili ya kula nyumbani na vijana wangu mashabibi. Sio mtoto wa kiume unalilia tu utumbo wa kuku.Mkuu haujui kiungo cha mbuzi kitamu.
Unakulaje mguu?
Pata mbavu choma, mbavu yote kuanzia inapoishia shingo, kidari chake hadi kiunoni huko!
Ichomwe iive vizuri kwa ugali, wacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kitu ya kuulizaWachagga kwa nyama...
Mipododo inataka kupelekewa motoUle yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!
Wanawake wenyewe wa Kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!