Kumbe wale wanaotaka order ya kiti moto kilo 1.5 na ugali huwa wanapanua utumbo tu

duh!!!! watu wanajua kuhudumia matumbo yao bhana lah!!!! yani kilo 1.5 ya kitimoto na ugali?

sasa wa hivo akienda chooni sianakunya ndoo nzima ya mavi?.
 
Maisha yenyewe yamejaa tozo, Kiukweli mi nashindilia,Nikiwa kwangu nikipika wali Ni kilo na nusu,Wala usishangae nikikwambia hua sushibi.
Acha nile duniani maana mbinguni havita kuwepo
 
Unaacha kula unavyotaka......unapata ajali Isevya unakufa. Unagongwa na boda boda unakufa, magaidi wanalipua sehemu nawe umo unakufa.

Life's too short. Tule tu.
 
Ule yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!

Wanawake wenyewe wa Kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!
kauli tata sanaaa .. hahaha
 
Ule yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!

Wanawake wenyewe wa Kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!

Acha kabisa lazima ushibe
 
Yule dokta Isack Ndodi, alikua anatufundisha ulaji ni msabato yule nilikutana nae sehemu anakamua coca baridi na pilau nyama na ana bonge la kitambi sasa wakati alikua anasema kitambi hakifai kabisa.
 
Ngoja niende Vegas pub kurasini nikale kilo moja ya kitimoto na altar....kila mtu atakufa utake usitake[emoji848]
Ngoja nikivunja kikoba uje unitembeze tembeze huko mjini Dar nasikia ni pazuri sana eti
 
Maisha yenyewe yamejaa tozo, Kiukweli mi nashindilia,Nikiwa kwangu nikipika wali Ni kilo na nusu,Wala usishangae nikikwambia hua sushibi.
Acha nile duniani maana mbinguni havita kuwepo
😂😂 mkuu kilo na nusu unamaliza kwa siku moja?
 
Mkuu kama hutajali unaweza kutupa orodha ya mbadala Wa hivi vyakula vyetu vya kushiba?

Kwa Mfano Jumatatu Nile Nini na Nini, Jumanne halikadhalika mpaka wiki iishe?
 
Maisha yenyewe yamejaa tozo, Kiukweli mi nashindilia,Nikiwa kwangu nikipika wali Ni kilo na nusu,Wala usishangae nikikwambia hua sushibi.
Acha nile duniani maana mbinguni havita kuwepo
Jirani yangu ananunua kilo tano za mchele kila mwisho wa mwezi na yuko single. Nilimwambia kilo tano kwangu zinakata miezi 4-6.
 
Mkuu kama hutajali unaweza kutupa orodha ya mbadala Wa hivi vyakula vyetu vya kushiba?

Kwa Mfano Jumatatu Nile Nini na Nini, Jumanne halikadhalika mpaka wiki iishe?
Kipande cha mhogo wa kuchemsha, hoho mbichi na nyanya na changu wa kukaanga.

Vijiko vinne vya wali, bilinganya na yai la kuchemsha.

Wali, maharage mchicha

Ndizi mbichi nyama hoho na carrots.
 
Nilikuwa nafanya mazoezi yule trainer akawa anasema usiku huruhusiwi kula pilau,Nilikuwa namcheka sana moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…