Kumbe walishasaini siku nyingi tu!!!

Kumbe walishasaini siku nyingi tu!!!

Document ya kwanza, kwa upande wetu ilisainiwa na Mzanzibari mwezi February 2022.

Document ya pili ilisainiwa na Mzanzibari mwingine Octobwr 2022.

Ni biashara za wazanzibari kwa mali za watanganyika.
 
Habari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikithibitisha hilo na Mama anasomeka katika hizo documents.

Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.

Kazi tunayo.
FB_IMG_1686331153731.jpg
 
Document ya kwanza, kwa upande wetu ilisainiwa na Mzanzibari mwezi February 2022.

Document ya pili ilisainiwa na Mzanzibari mwingine Octobwr 2022.

Ni biashara za wazanzibari kwa mali za watanganyika.
Sipati picha hii kitu ingefanyika kinyume, huo moto ungekua zaidi ya ule wa Jehanam
 
Habari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikithibitisha hilo na Mama anasomeka katika hizo documents.

Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.

Kazi tunayo.
Ukiona usaha jua jipu limeshaiva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha wamatumbi sie tutawaliwe na ma sultan akili itukae sawa. Kama tunaona shida kutamka sisi ni watanganyika kama wanavyo jiita wazanzibari kuna lipi lingine isipokuwa kutwaliwa na masultan?
 
Habari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikionyesha hivyo na Mama anasomeka katika moja ya hizo documents.

Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.

Kazi tunayo!!
Shida yako nini
 
Habari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikionyesha hivyo na Mama anasomeka katika moja ya hizo documents.

Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.

Kazi tunayo!!
Ndo maana walikuwa wanatumia nguvu nyingi sana maana ongegoma ingekuwa nia aibu
 
Habari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikionyesha hivyo na Mama anasomeka katika moja ya hizo documents.

Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.

Kazi tunayo!!
Kama ni kweli...........!!!!
 
Back
Top Bottom