Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikithibitisha hilo na Mama anasomeka katika hizo documents.
Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.
Kazi tunayo.
Nimeona hizo documents nimebaki kushangaa!!!Document ya kwanza, kwa upande wetu ilisainiwa na Mzanzibari mwezi February 2022.
Document ya pili ilisainiwa na Mzanzibari mwingine Octobwr 2022.
Ni biashara za wazanzibari kwa mali za watanganyika.
Huu ni sawa na udalali kabisa!!Document ya kwanza, kwa upande wetu ilisainiwa na Mzanzibari mwezi February 2022.
Document ya pili ilisainiwa na Mzanzibari mwingine Octobwr 2022.
Ni biashara za wazanzibari kwa mali za watanganyika.
🤣🤣 Mpaka tuvimbiweKila Kona ni thread za bandari tu😀
Sipati picha hii kitu ingefanyika kinyume, huo moto ungekua zaidi ya ule wa JehanamDocument ya kwanza, kwa upande wetu ilisainiwa na Mzanzibari mwezi February 2022.
Document ya pili ilisainiwa na Mzanzibari mwingine Octobwr 2022.
Ni biashara za wazanzibari kwa mali za watanganyika.
Ukiona usaha jua jipu limeshaivaHabari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikithibitisha hilo na Mama anasomeka katika hizo documents.
Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.
Kazi tunayo.
Hivi TICTS karamagi alimpa ganji nani?Sipati picha hii kitu ingefanyika kinyume, huo moto ungekua zaidi ya ule wa Jehanam
Hivi wizara isiyokuwa ya Muungano Katiba inaruhusu mzanzibari kuchaguliwa waziri kuiongoza?Document ya kwanza, kwa upande wetu ilisainiwa na Mzanzibari mwezi February 2022.
Document ya pili ilisainiwa na Mzanzibari mwingine Octobwr 2022.
Ni biashara za wazanzibari kwa mali za watanganyika.
Shida yako niniHabari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikionyesha hivyo na Mama anasomeka katika moja ya hizo documents.
Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.
Kazi tunayo!!
Ndo maana walikuwa wanatumia nguvu nyingi sana maana ongegoma ingekuwa nia aibuHabari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikionyesha hivyo na Mama anasomeka katika moja ya hizo documents.
Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.
Kazi tunayo!!
Kama ni kweli...........!!!!Habari ndio hio na kuna documents kabisa nimeziona twitter kwa Mdau mmoja zikionyesha hivyo na Mama anasomeka katika moja ya hizo documents.
Halafu kumbe hii kitu ilifanyika tangu mwaka jana na Mjengoni ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.
Kazi tunayo!!
Umeziona au ni mitandaoni tu??Mbona sahihi zenyewe zimekaa kimchongo sana.