KUMBE WANAJUA! Janja ya Raila na Kalonzo kurudi bungeni kinyemela yazimwa na IEBC!

KUMBE WANAJUA! Janja ya Raila na Kalonzo kurudi bungeni kinyemela yazimwa na IEBC!

Mpe za uso mkuu naona huyu hakujui!!

Sasa yeye anayeng'ang'ania RAO na mwenzake wavunje katiba ana nini kwao kama siyo mapenzi? Wakubali tu hii imekula kwao kutokana na timing zao kuwa mbovu kuliko ilivyokuwa inatarajiwa. Mwenzao alicheza game vizuri ndo maana akashinda. Hata kama uchaguzi ungerudiwa leo RAO jamani hashindi!!! Maana kwenye marudio Mumbi watapeleka kupiga kura hadi wagonjwa walioko vitandani (yaani hawajiwezi)!!!

Tunawatakia mapumziko mema ya miaka mitano. Kalonzo avumilie tu maana umri yeye bado unaruhusu atarudi tu mbona miaka mitano siyo kitu!!! Ila jamaa aliwaahidi angependa kufanya nao kazi sasa wamejiharibia wenyewe walau wangekubali kushindwa tu wakasubiri nafasi za sandakarawe!!

Mashabiki wao humu jamvini ni mapovu tu yanawatiririka. Hawaamini somo na mwishowe wameishia matusi hata kilichomkuta swahiba wao hata hawakijui. Wasichojua raila alifeli darasa la nne sasa kazi ya kuongoza nchi kweli ataweza? Wapigakura wamesema hawamhitaji sasa anajaribu kujenga mazingira ya serikali ya mseto jambo ambalo katiba mpya limesema "NO"
 
punguza mahaba mkuu,utaolewa bure bure hii habari nimeisoma dailynation na standard.sio kama unavajaribu kupotosha humu.jamaa wameomba kuifanyia mrekebisho list yao ya awali,lakini hakuna sehemu inaonyesha wanataka wajipachika wao(kalonzo,Raila)kumbuka namination list huwakilishwa kabla ya uchaguzi,pia kuna odm big wings kama henry kosgey,bett,sally gosgei,pia upande wa wiper kuna watu.labda wanatafuta jinsi ya kuwa acomodate hawa watu.ni jambo la ufinyu wa fikra kupindisha au ku edit habari kisa una mahaba na mtu flani.kumbuka vyanzo vya habari kutoka kenya tunavyo.wewe jidanganye mwenyewe lakini humu adanganywi mtu.angalizo mahaba yamezidi mkuu mpaka unajisahau na kuedit habari.hata kama unalipwa angalia ucje uka obwa ....
Jamani tuache hasira, haya mambo yanawahusu Wakenya! Asilimia kubwa mnaotoka mapovu humu ni wa-TZ sijui kwa nini? Sasa unaposema habari ya ku-accommodate watu kwani upande wa Muigai hawapo? Mbona wenzao hawajaomba kuifanyia marekebisho ile list yao? Hiyo ilikuwa janja ya nyani IEBC imestukia mchezo mchafu wa RAO na mwenzake. Watu kama Charity Ngilu, Najib Balala, Karau Ali Mwakwere (Zipapa) umewaona wako wapi kwenye ile list ya Jubilee? Sasa ingekuwa ku-accommodate watu muhimu si na wenzao wangeomba ili kuwaingiza hawa wapiganaji?

Jamani tuwe wapole kama ulikuwa upande wa RAO imekula kwenu mkuu!!
 
Raila hajashindqa bado,Supreme Court haijatoa uamuzi. Na mimi niyashangaa Raila akishindwa hii petition. Kuleta wakili wa George Bush,huyo ni wakili from deep in the heart of the Illuminati.
 
This move is one in futility. kenyans spoke loudly during election and the supreme court should not try to redefine the process of democratic polls. They will judge all manner accusations from cord petitioners whos intentions are to slow and to frustrate kenyans who braved all odds againsts various forms of meddling to slay the giant of lawlessness in governance from getting services from those they preferred to elect. (raila has requested to file a second petition to the high court but the court has halted the appeal and information is that the supreme court will not allow a second petition).

Supreme court can never be someone's rag
....kenyans have spoken............period! it is time politicians came of age and respect the sovereignty of kenyans to decide who they choose and desire to govern them.

Jubilee was elected and they should get into office as soon as possible to start doing the jobs they were elected to do..
 
This move is one in futility. kenyans spoke loudly during election and the supreme court should not try to redefine the process of democratic polls. They will judge all manner accusations from cord petitioners whos intentions are to slow and to frustrate kenyans who braved all odds againsts various forms of meddling to slay the giant of lawlessness in governance from getting services from those they preferred to elect. (raila has requested to file a second petition to the high court but the court has halted the appeal and information is that the supreme court will not allow a second petition).

Supreme court can never be someone's rag
....kenyans have spoken............period! it is time politicians came of age and respect the sovereignty of kenyans to decide who they choose and desire to govern them.

Jubilee was elected and they should get into office as soon as possible to start doing the jobs they were elected to do..

very true Kabaridi
 
Last edited by a moderator:
Inasikitisha na tena maajabu duniani baada ya uchaguzi kukamilika na wakenya kuchagua kiongozi, kuwezekana mahakama kutengua matokeo ya uchaguzi. ikizingatiwa gharama ya maandalizi, nk kusafirisha maafisa mashinani na muda wa kuanda mazoezi na shughuli yenyewe.

mahakama imekomesha kauli ya cord kupitia mawakili wao kujaribu kuchapisha fomu zote za 34 na kuleta misururu ya kesi. hawafahamu kuwa mahakama haina jukumu ya kusikiza kila tetesi. Afrika viongozi lazima watambue na kujifunza zoezi la uchaguzi lazima kuwa na ushindi na kushindwa. hii ndio sifa moja ya mtu kutambulika kiongozi.

Mbona viongozi kama mandela hakungangana kuchukua usukani SA mbona hatukuona wakitumia au kutegemea majeshi ....na mpaka sasa hivi SA ni kielelezo cha siasa zilizokomaa Africa kote na ulimwenguni. Afrika kusini mataifa mengi wanaoshindwa uchaguzi hawatoi hamasa kwa wananchi kugeukiana kwa silaha na kuuana hovyo. Mbona chaguzi huendelea huko bila majeshi na vyombo vya usalama kutajwa hovyo hadharani kuburutwa katika siasa za hitilafu na mvurutano.

mfano mataifa mengine SADC wakati uchaguzi unatendeka hatuoni wala hatusikii vurugu mpaka kwenye vyombo vya habari na ulimwenguni kote. ni kwamba wanasiasa wao wamengamua aina ya siasa za kutumika kulinda umoja. Kenya ya kutegemewa AM haitaweka mfano mbaya. kenya haitasambaratishwa kutokana na siasa mbaya.

Natarajia kiongozi atakayeapishwa ataweka jambo hili kama msingi wa uchaguzi za baadae. Sikutarajia demokrasia ya sasa kuwa kweli. pengine uongozi wa uhuru na ruto utatia muhuri wazo la heshima kutendeka kwa wakenya wanapotoa uamuzi hasa katika zoezi za uchaguzi. na isiwezekane mahakama kutumika kama mbinu ya wanasiasa kugeuza maamuzi ya wakenya.
 
Nadhani tuache mpaka hiyo ijumaa tuone mwisho wa hii saga ni nini maana tunaweza kusema sana humu na mwisho wake tukaja kuonekana ni watu tusiojua kutamka kuendana na hali halisi.
Ila Kenya wamepiga hatua kubwa sana kisiasa ambayo sisi Tanzania itatuchukua muda mrefu kuifikia.

Hatua ipi iliyopigwa na Kenya katika siasa!?
 
CORD wana kila sababu ya kuwa kortini kutokana na irregularities zilizojitokeza katika uchaguzi uliopita,ukizangatia ni haki ya yao kikatiba na kidemokrasia kufanya hivyo.Wapuuzi ni wale wanaoshindwa kutetea/kusimamia haki itendendeke pindi wanapoona wamekandamizwa kwa maslahi ya watu wachache.
 
Katiba ya Tanzania,hairuhusu mgombea kiti cha rais kupeleka pingamizi mahakamani dhidi ya matokeo yaliyotolewa na tume ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom