Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nishaona mwanaumne analia kama mbuzi chezea k wewe.kawaida sana.
ahahahhahah mekubamba mtani!na wewe unataka kulia enh?Hata wewe ipo siku utakuwa mkubwa teh...
Btw nipo mujengoni already
Mi nishaona mwanaumne analia kama mbuzi chezea k wewe.kawaida sana.
ahahahhahah mekubamba mtani!na wewe unataka kulia enh?
hujakutana na kitu kinapiga makofi wewe mtani!Hahaha yatakushinda mtani lol haupitwi
Mtani miye nitakuwa wa mwisho kulia kunako majamboz...
pacha upo?Mi nishaona mwanaumne analia kama mbuzi chezea k wewe.kawaida sana.
hii sijaiona mdogo wangu...hujakutana na kitu kinapiga makofi wewe mtani!
ehehehhehe hv hapa niko wapi kwani!?
mi thijathema bana!:tape:
hii sijaiona mdogo wangu...
mtani watu8 uwe unamfunga gavana huyu dogo, sawa?
ehehehhehehe we unashangaa makofi!Kinapiga makofi?
mmhhhh aaje hayo makofi shosti..mbona watunyima uhondo?
na ninawaona tu mnavyofundishana na KOKUTONA....ehehehhehehe we unashangaa makofi!
watu wanazo mpka zenye meno,zenye ulimi,zenye kiduku,zingine zina filimbi!
uuuwih! dada mkubwa yupo banaaa!
h haaaa, haya nimewaacheni kwa raha zenuah! we naweeeee!
kwani si nikuacha kule kwa Baka mnadiskasi kale kawimbo na kale kavideo!
sasa huku umekuja kufanya nini!
nilikuwa namwambia mtani kuwa kuna zingine zinapiga vigelegele!zenywe!ehehehhehehhe hala hala asiomeb POOH TU!
ahahahahahha watu8 hakyamama kuna mtu anataka kutugombanisha mimi na wewe!
hatujakutana barabarani mtani!huyu anayeandika hayo maneno hapo juu ni nani lakini?
Basi dada tunakuja huko chumbani kwako..tufungulie basi.