Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

ehehehhehehe we unashangaa makofi!
watu wanazo mpka zenye meno,zenye ulimi,zenye kiduku,zingine zina filimbi!
uuuwih! dada mkubwa yupo banaaa!

Ha ha ha ha ah haaaa...na viduku...mmhhh

Dada Fixed Point naomba unifungulie mlango pacha wako ana mpango wa kuvunja mbavu zangu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah lol! Aisee Nivea umenichekesha sana, hii NJEMBA iliyokuwa inalia kama mbuzi "Meee, Meee, Meee" ni wewe mavitu yako ndio yaliifanya ilie kama mbuzi!? hahahahah lol! Kweli JF ni burudani ya aina yake 🙂🙂

Uone maajabu.....nimejikuta nacheka baada ya wewe kucheka.....mee meee meeeee lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
we baki hapa hapa banaa!muache akalale!
sas nenda af urudi baadae uone kama ntakwambia zinachotaje maji!
ENH nenda!akakutie makwenzi kwanza na kukupa vifinyo vya mapajani!
mi sendi!labda kesho asubuhi!

Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa zinachota maji? mi staki bwana snowhite..huku filimbi....

Haya siendi..na makwenzi ya dada yanavyoumaa...ngoja nibaki nipate expiriensi.

Kumbe ndo maana wababa wanaliaaa...we ichote maji mmmhhh
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa zinachota maji? mi staki bwana snowhite..huku filimbi....

Haya siendi..na makwenzi ya dada yanavyoumaa...ngoja nibaki nipate expiriensi.

Kumbe ndo maana wababa wanaliaaa...we ichote maji mmmhhh
we baki hapa hapa ntakwambia zinachotaje maji!af uone shemeji yako alikuwa na haki ya kulia kimee mee au alikuwa anafanya masikhara!

AF usikute ahta hajui kama analiaga!
ahahahhah hii imfikie watu8 usiute analiaga af hajui kama analia au anachekaga!
wapi mtaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:
KOKUTONA hiyo ni hatari hatari..kilio hapana naweza kujiuliza nimemfanya nini mtoto wa watu, ila kugumia maraha hapo swadakta...lol
 
Last edited by a moderator:
Je wale wanaowang'ata wenzi wao wanapofika kileleni hujawahi kuwasikia..
Unakutana na mwanaume au mwanamke ana makovu ya meno shingoni na kifuani utadhani alikuwa kibaka.....
Yani umekwepa wee mwishowe umeona ucomment!!
Haya mambo haya kila ntu na ujuzi wake!!
 
ukisemaga hv huwa sikawiagi kuacha ndala hapo!
yani ndukiiiiii! KOKUTONA twenzetu huku!
dada mkubwa nishamsololesha kwa niaba ya BAK hapa ana hasiraje!
mi naona we hujui kipondo chake wewe!

Dada usiseme hivyoo...tukimaliza yetu tutakuja....usitupigr lakini eti dada?

Twenzetu snowhite..dada keshaingia kingi...twende tukastorishe za viduku lol
 
Last edited by a moderator:
KOKUTONA hiyo ni hatari hatari..kilio hapana naweza kujiuliza nimemfanya nini mtoto wa watu, ila kugumia maraha hapo swadakta...lol


Unaambiwa ni hatari lakini salama...dada yangu yeye rahaa...ki ukweli kushuhudia m baba anaililia naniliu mmhhh
 
we baki hapa hapa ntakwambia zinachotaje maji!af uone shemeji yako alikuwa na haki ya kulia kimee mee au alikuwa anafanya masikhara!

AF usikute ahta hajui kama analiaga!
ahahahhah hii imfikie watu8 usiute analiaga af hajui kama analia au anachekaga!
wapi mtaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Ha ha haaaaa kweli imekubali....inawezekana akili zikirudi akiambiwa alikuwa analia ataeza bisha kiama.
watu8...mtani wako anasema inatokeaga unalia bila kujijua
 
Last edited by a moderator:
Acha tu lol! ngoja Nivea aje kutoa clarification maana hii ya kulia kama Mbuzi ni kiboko ya zote...Chezeya utamu weye!!!
Nivea, njoo bhana...umetuachia hewani tumeshindwa kurudi chini lol
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaaa kweli imekubali....inawezekana akili zikirudi akiambiwa alikuwa analia ataeza bisha kiama.
watu8...mtani wako anasema inatokeaga unalia bila kujijua

haka kaverb phrase haka kanaweza kuleta vita ya tatu ya dunia humu!
ngoja aje!yani umesema kana kwamba mi huwa namshuhudia!?
 
haka kaverb phrase haka kanaweza kuleta vita ya tatu ya dunia humu!
ngoja aje!yani umesema kana kwamba mi huwa namshuhudia!?

Mhhhh...ngoja nifute kauli maana KUTHIBITISHA sitaweza, na vielelezo sina lool

NAFUTA KAULI.
 
Back
Top Bottom