Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Hahahahaha lol! ungejifanya ulienda kusaidia mtu aliyekuwa analia na kuingizana chumbani kwa speed kali sana 🙂🙂 au ungetulia kwa dakika chache ili kusikiliza vilio vya maraha vya shem wako 🙂🙂 wakati nduguyo akifanya vitu vyake 🙂🙂 ungeweza kuchanganyikiwa kabisa kwi kwi kwi kwi....Chezeya utamu weye!!!!

Ha ha haa rafki yangu BAK mwenzio niliona maaajabu....kumbe raha zinaliza.

Yaani wish nishuhudie live lol....eti ni raha mwili mzima dah
 
Mmmh...kuchapa nichape miye halafu kulia niliye miye...majanga kweli majanga!!!
 
Mie mwenyewe bado niko HOI dada....!

Mpe jamaa yko ktu kabaan'g lakini ka kipo tight uone ka hajalia.
Pia pengine demu anajua kunyonya mapumbu.
Lakini pia unajuaje labda walikua na ugomvi na jamaa akang'ang'aniwa mapumbu!
 
KOKUTONA, usiombe dume akulilie kunako 6 kwa 6,...........
Hata ukimwambia amtukane mama'ake mzazi atamtukana.
Wa kwanza ni Asprin....aje abishe hapa.

Ila kiukweli mimi husikia raha sana pale mwanaume anapotoa kilio au mguno kuashiria kuwa amekolea na midundo yangu.
Ila sasa kuna wengine ni kero tupu maana yake mpaka mtaa wa pili watajua kuwa baba flani huyoooo....keshaanza.
Mfano hai ni katika nyumba niliyokuwa nimepanga kule Boko, kulikuwa na dada flani hivi akiishi na bwana, sasa ikifika mida ya saa moja moja lazima tukonyezane maana ndio muda wao wa sebene.
Mwanaume kilio, na mwanamke pia kilio....wakitoka hapo sura kavu wanashikana viuno hao bafuni.
Sie wapambe tunaishia kutoana alama kwa kufinyana.
Ila ndo hivo bhana..........tukimuulizaga anasema huwa bwana wake huwa anashindwa kujizuia.

Ahsante kwa experience Madame B, kumbe wapo..mie sikuwahi kufikiri kabla....ila kilio nilichokisikia kweli nilikuwa hoi hoi
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, mi anionyeshe tu kuwa anakolea, lakini kilio sitaki

My Dear,....kuna wengine hawawezi kupiga chafya mpaka wanuse ugolo.
Vivyo hivyo kwa baadhi ya wanaume wengine hawatoi ukelele mpaka kitandani.
Ila kama vipi mzibe na mto.
 
My Dear,....kuna wengine hawawezi kupiga chafya mpaka wanuse ugolo.
Vivyo hivyo kwa baadhi ya wanaume wengine hawatoi ukelele mpaka kitandani.
Ila kama vipi mzibe na mto.
wewe unataka kunisababishia mada kesi dadako, nimzibe na mto tena!
si atatoka amededi kabisa?
 
Back
Top Bottom