Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Ha ha ha haaaaaaa you burst mi with kicheko lool

Kama ni kweli sema tu....what we need is experience..unajisikiaje hadi unalia machozi tena kwa sauti

We wont kill u Asprin
Kamuulize mme wa shosti yako.... mi hapana kujua uliberali.

Mmh, wee kwa mayowe hujambo, unapenda kweli.
Hapa kinazungumziwa kilio, si mayowe.

Mayowe kayaanzishie thread yake kule chit chat.
 
Sio bure huyo atakua analiwa kabaang(bwabwa baridi ana do na kugegedwa)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwa maelezo ya rafiki...yuko fit kwenye mchezo mbayaaa....magoli anafunga meengi tu na yanafika golini kiuhakikaaa
 
Mhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mtambuzi nahisi una roho yangu.
Ulifika salama???
Shemejio hupiga ukunga kama anakamuliwa jipu la wapi sijui.........
Basi hapo hapo huingiza na Bajeti yangu ya lotiona na kope.
Nasikitika siku zile mkatutosa wewe na wenzako.... Asprin alikuwa anafanya tu udadisi maana wewe ulialikwa futari Mwananyamala nyuma ya Hospitali, amu alialikwa futari Kariakoo, na Paloma yeye alialikwa futari huko Tua Ngoma,

Is it a coincidence au?
 
Kwa maelezo ya rafiki...yuko fit kwenye mchezo mbayaaa....magoli anafunga meengi tu na yanafika golini kiuhakikaaa
Nani alikudanganya wanaoliwa kabang hawapigi gemu? Kuna midume kabla ya kunaniliu madem zao ni lazima kwanza yakapigwe starter na maliberali.

Source: watu8
 
Last edited by a moderator:
Daaaanh hii sasa kali!!!

Huyu jamaa inabidi apigwe interview atueleze mwenzetu yanayomsibu!!!!!!

Au ndio body ya scania engine bajaj!!!!????
 
Habari ya mapumziko ya EID na long weeked.

Hii kwangu ilikuwa kali kwangu but km ipo means wapo pia.

Nilienda msalimu rafiki yangu ambaye ni ndugu yangu pia, i told her the day before kuwa nitakuja kukutembelea.

Sasa basi nilipofika sbb tumezoeana na haishi na mumewe nikaingia varandani huku nkimwita jina lake....hakuitika but nilisikia kilio flani bedroom, tena cha mwanamme....mmmhh analia ujue milio haswaaa.

Nikapata ganzi ya miguu nikarudi nyuma tartiibu nikatoka nje uani nikielekea mlango wa kutokea, ghafla mlangoni nakutana na mwanae na msichana wa kazi wanatoka sokoni. Mtoto....mamdogooo daddy kajaa, katulete.....,.....nikasema lol mtoto huyu akienda kusikia hayo ya daddy and mummy aibu.

Nikambeba nikatoka nae na msichana wa kazi nikamtuma tena ili ku buy time......nikakaa sehemu na mtoto tukinywa juice for an hour..then nikamcall rafiki..akapokea nikamwambia niko njianai naja..akanambia njoo.

Tukaenda nikiwa na mtoto tukaingia mara mzee akatoka bedroon macho mekunduu..shemeji za siku tukasalimiana then akatoka zake.

"Dada mbona hukunambia km shem kaja? (kumbe hata makelele yangu nlokuja nayo hakuyasikia lolz) aah nilijisahau bhana alinijibu...baada ya kuongea uzalendo ulinishinda...ukweli nilimuuliza.

Her experience...."Ni kweli my hubby hulia sana tu tunapokuwa 6by6 , unajua hata tukila dend...analegea kabisa kwa kulia, unamuona kabisa akilia anafeel something"..i asked wewe unajisikaije vile "aah mbona rahaa..kumliza mwanaume...rahaaa"...tuliongea mengi, si unajua wakina mama tukikutana.

But kikuba nilichotaka kushare na wana MMU ni hili la m baba kufil vitu hadi kumwaga machozi na kulia kwa sauti...mmmh...yani hata kwa kupewa ulimi tuuu.

Mpoo mnaoliaga? Mpo wenye wababa wanotoa machozi na kulia kwa sauti? Tupeni experience.....

Mimi kwangu limekuwa jipya...hadi nimetamani kupata wa hivyo loool


CC Mtambuzi, Nivea, Arushaone Madame B, amu, Fixed Point Kaizer Bishanga, Baba V, Asprin, Filipo, @gfsonwwin Mamndenyi, Paloma, sosoliso, na wana MMU woote
Nina wasi wasi huenda rafiki yako kaolewa na bwabwa kama si chizi kabisaaaa... mwanaume rijari, tena aliye timamu analia eti utamu wa kugegeda? No, no, no, noooooo!
 
Hahahahaha lol! ungejifanya ulienda kusaidia mtu aliyekuwa analia na kuingizana chumbani kwa speed kali sana 🙂🙂 au ungetulia kwa dakika chache ili kusikiliza vilio vya maraha vya shem wako 🙂🙂 wakati nduguyo akifanya vitu vyake 🙂🙂 ungeweza kuchanganyikiwa kabisa kwi kwi kwi kwi....Chezeya utamu weye!!!!

Unadhani nilitoka ghafla BAK nilisikiliza kwa makini nijue kwanza hiki kilio anapigwa mtu au laa...baada ya kujiridhisha na kuhisi miguu yafa ganzi...ndo kinyume nyume huyoooo.

Kuingia ingekuwa soo..:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: kweli hapana chezeya utamu mmmh.
 
Last edited by a moderator:
Nasikitika siku zile mkatutosa wewe na wenzako.... Asprin alikuwa anafanya tu udadisi maana wewe ulialikwa futari Mwananyamala nyuma ya Hospitali, amu alialikwa futari Kariakoo, na Paloma yeye alialikwa futari huko Tua Ngoma,

Is it a coincidence au?

We nawe mdaku duh!!!!!!!!!!
 
lol!...Kumbe ulisikiliza kwa makini ili uridhike kwamba kilio kile kilikuwa ni kilio cha maraha ya utamu 🙂🙂🙂 kisha ndio ukasepa zako taratibu baada ya miguu kuanza kufa ganzi kwi kwi kwi


Unadhani nilitoka ghafla BAK nilisikiliza kwa makini nijue kwanza hiki kilio anapigwa mtu au laa...baada ya kujiridhisha na kuhisi miguu yafa ganzi...ndo kinyume nyume huyoooo.

Kuingia ingekuwa soo..:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: kweli hapana chezeya utamu mmmh.
 
Back
Top Bottom