Kumbe wanawake walianza kusuka nywele za rasta miaka 3,300 iliyopita

Kumbe wanawake walianza kusuka nywele za rasta miaka 3,300 iliyopita

a8269831b04ff9bde80a77317a25d310.jpg

Haya ni mabutu yaliyosukwa kwa rasta.
Fantastic-Hairstyle-With-Cornrow-Braids-322x270.jpg

Na haya ni mabutu aliyosuka kwa kutumia nywele yake ya asili.
 
hivi huwa mnaamini hayo mamiaka wanayotajaga wanasayansi?eti wanasema mamba kaishi duniani kwa zaidi ya miaka milioni 3 iliyopita!mmh...
 
Basi kama ni hivyo huo msuko unaitwa MABUTU STYLE na siyo rasta style. Kumbuka ukiwa na nywele ndefu za asili unaweza kusuka mabutu na ukinunuwa rasta kutoka dukani unaweza pia kusuka mabutu.


aaa Mkuu kwa kweli natofautiana nawe kidogo, kuna tofauti kubwa kati ya kusuka mabutu ya nywele zako an kusuka mabutu kwa nywele za kuazima
 
Ukweli ni kwamba huwezi kumtenganisha mwanamke na urembo. Lakini swali la kujiuliza ni je miaka hiyo kulikuwa na viwanda au kiwanda cha kutengeneza rasta? (snythetic hair). Mimi nafikiri kama hiyo picha ya fuvu ni ya ukweli basi hizo nywele ni nywele zake original na siyo rasta.

Uislam haukuwepo? wanawake walikuwa wakipendeza sana, sasa hivi wengi wanafunika nywere zao hatuoni urembo bali vichogo, ama kweli binadamu ana mambo sayansi vs dini, kaaaaaaaaazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom