suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 196
Nimekumithije.....
Ntasemaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumithije.....
Nimekumithije.....
Ntasemaaaaaa
Ntasemaaaaaa
Mekumithi pia jamani
Kwenye hivyo vitu asee ni muoga ila sio vingine lol!!!
usiwe busy sana basi... huu moyo nao ukishapenda ni matatizo!!!
Basi kama ni hivyo huo msuko unaitwa MABUTU STYLE na siyo rasta style. Kumbuka ukiwa na nywele ndefu za asili unaweza kusuka mabutu na ukinunuwa rasta kutoka dukani unaweza pia kusuka mabutu.
Ukweli ni kwamba huwezi kumtenganisha mwanamke na urembo. Lakini swali la kujiuliza ni je miaka hiyo kulikuwa na viwanda au kiwanda cha kutengeneza rasta? (snythetic hair). Mimi nafikiri kama hiyo picha ya fuvu ni ya ukweli basi hizo nywele ni nywele zake original na siyo rasta.
hahahha we kausha ukoo... usione kichaka
Duuuu mama unazoom wewe loooh
natumia lensi mbinuko mama naona had marekani ahahahahaha
tabibumtaratibu kuna mtu anasogelea mali yako huku
Hahahahah hatareee sana hiyo