Kumbe wanawake walianza kusuka nywele za rasta miaka 3,300 iliyopita

Kumbe wanawake walianza kusuka nywele za rasta miaka 3,300 iliyopita

duh huyo mwanamama alikuwa mzuri sana hata kama ni rasti sio za kuchakachua kama za sasa hivi
 
hizo ni nywele za aina gani zisizooza kama chuma cha pua
 
Nzuri kuliko hawa wanaoshonea makatani yao kichwani
 
sie tena tupitwe... haya mahaba ya tanga ni sheeeda, watu wanatangaza ndoa tu kila siku

Ahhhhha usijali siku ikiwa hiyo.ndoa mungu ajalie uzima ntaweka.picha humu had kop ntawapa wewe na mwenzio Mafikizolo.....ila Mafikizolo ntakupa mwaliko wewe upo tanga usiache kuja
 
Last edited by a moderator:
Niliwai kumsikia muhubiri mmoja mkongwe apa tz miaka 5 ya nyuma, akisema rasta za akina mama wanazo nunua ni nywele za maiti zilizo kufa zamia na hivyo huyo muhubiri kuwa zuia wahumini wake wasivae wigi wala rasta. sasa sijui hiyo statement ilikuwa ina ukweli au siasa za watumishi?
 
Back
Top Bottom