Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe!hata mi nilijuaga mkenya.Dokii Mkenya wapi ni wamatombo uyo mji kasoro bahari
Ni lafudhi ya keii anayopenda kuitumia lakini ni MtzDokii ni m-keii
Nilikua sijui kama ni ndugu hawa jamaa, infact simfahamu huyo mwingineDokii ni Mkenya original, hao tini na richie ni mtu na kaka yake tena wa damu, ukichunguza kwa makini kuna mfanano sema tu kuna mmoja wao kajipodoa akapodoka.
Dokii ni m-keii
Dokii ni Mkenya original, hao tini na richie ni mtu na kaka yake tena wa damu, ukichunguza kwa makini kuna mfanano sema tu kuna mmoja wao kajipodoa akapodoka.
Dokii ni mtanzania kabisa ndio mwaana hata hata harakati za uchaguzi mwaka juzi naye alishirikiDokii ni Mkenya original, hao tini na richie ni mtu na kaka yake tena wa damu, ukichunguza kwa makini kuna mfanano sema tu kuna mmoja wao kajipodoa akapodoka.