Kumbe Wema Sepetu alikuwa mzuri hivi?

Kumbe Wema Sepetu alikuwa mzuri hivi?

Wema alikuwa bomba sana mtoto enzi hizo.. Siku hizi hana tofauti na binti bomba..
 
Huyu Dada sura yake haijajipanga milima na mabonde yamezidi nadhani ushindi wake wa Umiss Lundenga alihusika..

Mwenye Lips Pana.. akicheka utachoka... Komwe mashavu dodo... Ndio maana Tanzania huwa Haishindi kwa vigezo vya Lundenga
 
Mleta Uzi sijui ana maana gani kumuhusisha Lowassa hapa, tena amemueka kwenye noti ya sh. 5,ooo/=
Sijui alikuwa ana maana ya Lowassa mpiga hela au raisi wa hela au raisi ajaye atayeweka picha yake kwenye noti... huko Kwa Wema siingilii kabisaaa kwani naona hata kichefuchefu
Kama umeona kichefuchefu maana yake tayari umeshaingia
 
Kweli hujafa hujaumbika yaani huyu binti kageuka albino hivi hivi
...??
 
Kinyago Ptyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!
 
Acheni kufoji noti za fedha zenye picha za Lowassa.. Siyo jambo jema, sisiti kusema lazima utakuwa umetumwa na Membe uheshimu mamalaka iliyopo madarakani wakuu....
 
Na amerudia kujichubua tena yaani akati alitamka kuwa yeye mkorogo tena basiiiii
Juzi valentine kapelekewa mkorogo na fundi wao mkuu wa mikorogo #directorjoan
 
Ole wake atembelee mwanza. Wachuna ngozi na wakata viungo lazima wamlie dili
 
Kuna tatizo kubwa kwa dada zetu wanaojichubua, ambalo wenzi wao, hawaambii ukweli ili isije kuonekana ni kuwadhalilisha au kashfa!.

Japo sina uthibitisho wowote wa kibaolojia au anatomy, ila 'asali' kwenye 'ua' natural ni sweet zaidi, kuliko kwenye 'ua' mkorogo!, tena mikorogo mingine unakuta ni tasteless kabisa ila huwezi kusema!.

Sasa kitu mtakachoshuhudia kwa wadada zetu hawa, ni 'magari' tuu kujazana, kupishana au hata kugongana, ila mwisho wa siku magari hayo huishia kujipitia tuu na kuendelea na safari, mtashuhudia hakuna gari yoyote itakayo park jumla!, ni kuja na kupita tuu!, yaani kituo hicho ni kama zile stendi za njiani, magari kupita tuu na kuendelea na safari zake, hivyo mnaweza kuwashangaa iweje wadada wenye kila sifa ya urembo na uzuri wa kutazamika, cha ajabu, 'nyuki' hawatulii kabisa kwenye 'ua' ili kufyonza 'asali', na badala yake 'nyuki' hao wanaruka ruka tuu juu juu wakipishana!.

Hivyo kwa wale wadada waliochubua walio ndani ya ndoa zao, wa kupongezwa sio wao kwa kujichumbua, bali ni waume zao, kwa kuwa wavumilivu kupitiliza!, maana kula kipande cha mua cha juu wakati wote, chataka mono!, vinginevyo, ni kuendeleza utulivu kwa uvumilivu kwa ajili ya watoto, lakini wanapo pao pengine wanapoponea!.

Paskali
 
ImageUploadedByJamiiForums1424128590.882156.jpg
Cheki balaa la bibi harusi Usoni
 
Huyu binti nilikua namlaumu sana matendo yake.....lakini..nimejua kuwa anamapungufu flan....so watu wanayatumia hayo mapungufu yake...pia..asipopona..yatampelekea pabaya....
 
Kumbe Wema baba ake lowasa au ndo ya Mengi ataka muenzi mm sjaelewa
 
Back
Top Bottom