Kumbe Wizkid aliomba pesa nyingi hivi!

Kumbe Wizkid aliomba pesa nyingi hivi!

Hiyo maana yake ni kwamba asieuliza Kabila yeye ni wa KWENDA!!! Hongereni wanakwenda. Turudi kwenye mada.. Mtu unapotafuta sifa humu unafaidika nini?? Katafute sifa bank huko utaheshimika Sio hapo JF,


I didn't do anything wrong to you. Naona Tu Leo umeamka vibaya.
 
Mbona Vanesa alimwachia Yule m Nigeria !! huyu linah kwani Hana management ??
 
Weka picha ya Linah kunogesha sredi.

Screenshot_2016-01-30-21-24-38-1.png
Linah katika ubora wake
 
Hapa ndipo mzungu anapo pata nafasi ya kuendeleza kututawala ss Waafrica! Hatuna ushirikiano Tutaendela kutawaliwa hadi shetani a comeback
 
m
Teh teh mbona picha wanatuma tu hata kwa masela kama sisi tusio na uspooni town sembuse hao ma star alafu hela ipo ? Nude pic ni Zuga tu huyo kabla hajombwa atakua ametuma tu ,Gigi money si alipiga picha na lichupi lake likubwa sijui na Tecno kesho yake akatangaza ameliwa na jamaa ,
Hiyo 40m ni kolabo tu bado video Godfather 30M ,acha tu atafunwe hakuna namna
Mkuu nimekuelewa
 
Ndio maana kanyimwa collabo. Wakina dada msivae bikini za kizee Kama hizi, mnatakiwa mwende na wakati
 
Haka ka andunje nako kangeimba nini na yule dogo! Linah hajawahi nivutia! Am sorry!
Sijawahi hata kuona anachokiimba mi naona anafanya tu remix za watu ila remix nazo ni kichefuchefu kama ule wimbo wa d'banj Oliva twist yani ile remix ya linah huwa inanipa kichefuchefu.. . Analazimisha muziki
 
Back
Top Bottom